Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
- #221
Kama unaamini ni madhila kidogo, Basi endelea kuwaza tena.Sasa hivi maisha ya technology na usasa wa ajabu umetufanya kuwa walaini sana tukipitia madhila kidogo tuu tunaanza kulia lia