Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
-
- #201
Balaa gani Mkuu, Wakati bado nina kesi naye. Yeye mwenyewe anajua amenikosea.Ndugu yangu unatafuta balaa!!!! MUNGU hadhakiwi,nakuonya kama binadamu mwenzako,"ACHA KUTAFUTA BALAA!!!",,,,,,,shauri yako!!!
Labda kweli, Maana kama yupo basi amenikatili sana.Mungu hayupo mkuu. Ni muhusika wa kwenye hadithi ya kutungwa na watu tu.
Hapana mtumish hajashindwa wala hawezi shindwa
Hajawahi acha kumjibu mtu maombi yake
Unafaa uwe imara kama mlima piga moyo konde MUNGU MWENYEZI ni MUNGU mwenye nguvu
Kumbe ni kweli Mungu hayupo eeh.Mlikua wengi takribani milioni na kila mmoja alikua na chance ya kuja duniani,... Ila wewe ulijitia kimbelembele.
Basi ungewaachia wenzio nafasi.
Mkuu unauhakika kua haikua ridhaa yako kuja duniani... 😁😁😁Kwa taarifa yako hata mama yako ni wewe ndio uliemchagua na wala sio mzee.
Mungu anapaswa kuniomba msamahaMakubwa
Sasa kama anaratibu mpango si kakupa akili na wewe zitumie akili zako kuratibu mipango yako. Mungu ameumba binadamu na akawapa utashi/akili za kuwaongoza katika maisha yao. Sasa tuzitumie akili zetu vyema.
Kwa alichonifanyia Mungu anapaswa kuniomba msamaha 🙏Pole sana.. Usikate Tamaa, pambana. Nenda hospital za Saikolojia kwa ajili ya kurudisha tena Mentality yako katika usawa.
Sawa Mkuu 🙏Huna mantiki yoyote na jambo lako unakesi na mungu kivipi?
Thibitisha kuwa mungu yupo.
Unakuwaje na kesi na kitu/ mtu asiyetambulika,hujawahi kumuona, huna ushahidi wowote tangible...ndomaana tunakwambia wewe una MENTAL ILLNESS,wahi MIREMBE.
Kama unashupaza shingo nenda mahakamani huko ndo wanatoa hukumu,watakusaidia🤝
Ilikuwa ni busara sana kama ungekaa kimya tu,usingepungukiwa na chochote kuliko kuongezekewa na maudhi uliyo pata kwenye uzi huu na hatia siku zinazo kuja.Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Mungu hawezi kunisikiaKumbe maisha magumu kwa kila mtu,nilijua ni mimi tu.
Mkuu vumilia tu kama sisi,halafu endelea kumuomba Mungu ,yatapita
Huwezi elewa kijana sawa.Tatizo vijana wa sasa hivi tunapenda kamseleleko ukitingishwa kidogo tu unaanza kukufuru
Pole ibilisiMungu anapaswa kuniomba msamaha.
Yesu wanguHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Baada ya kushiba maboga yaliyopandwa kwenye ardhi yake ukiwa unavuta Oxygen ya bure kabisa kutoka kwake,akakupa na utashi wa kujiona shababi na kumtaka akuombe msamaha...dah...Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
UNAHITAJI MSAADAHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.