Nirvana G7
Member
- Nov 5, 2024
- 35
- 66
Habar za jion wakuu,
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa Mungu aliyaumba maji (kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa Mungu aliyaumba maji (kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.