Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Maji ni 75% si 78% katika mwili wa Binadamu.Ndo mana unaambiwa maji yana asilimia 78 ya mwili wako
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji ni 75% si 78% katika mwili wa Binadamu.Ndo mana unaambiwa maji yana asilimia 78 ya mwili wako
Hapo unazungumzia UbongoMaji ni 75% si 78% katika mwili wa Binadamu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
"Mungu akasema, "Na liwe anga katikati ya maji (fikiria mbingu) na litenganishe maji na maji (fikiria mbinguni)." Mungu akafanya anga (mbingu ya kwanza) akatenganisha maji yaliyokuwa chini ya anga (mbingu, chini ya anga, yaliyoshika maji yaliyo juu katika mbingu mbili zilizo juu) na maji yaliyokuwa juu ya anga (maji yaliyo juu ya anga. ) Na ikawa hivyo. Na Mungu akaliita anga Mbingu (umoja na mbingu ya kwanza). Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili. Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, na nchi kavu ionekane. Na ikawa hivyo.”Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
"Msifuni, enyi mbingu za juu, Nanyi maji juu ya mbingu!"Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
"Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya, kwa maana mbingu ya kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, na bahari haikuwako tena."Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Uko karibu sana. Mungu alitumia “kuumba” kwake, “kutengeneza” na “kuanzisha” kudhihirisha uwezo na Uungu wa Muumba wetu. Uko sahihi kwamba Neno lilikuwa halionekani wakati huo. Lakini Mungu alitumia maji yasiyoonekana na vitu “vilivyofanywa” na “kufanywa” kutoka kwao, ili kutusaidia kuelewa mambo yake tangu kuumbwa kwa ulimwengu (Warumi 1:19-20). Maji yaliyoumbwa yasiyoonekana ni aina TU ya NENO la Mungu - mwanzo wa uumbaji wa Mungu - ambapo "vitu vinavyoonekana" vyote "vilifanyika". Unakaribishwa kila wakatiKama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Unajua kua binadamu tunaweza tukawepo somewhere pasipo hata kuwepo dunia wale elements zinazo support uhai.Habar za jion wakuu
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa mungu aliyaumba maji(kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.
Wewe ni kichaa kabisa. Period.Habar za jion wakuu
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa mungu aliyaumba maji(kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.
Kwa sasa imengezekaa ni 78% mkuu nipo kitengo cha hayo mambo..Maji ni 75% si 78% katika mwili wa Binadamu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Uchambuzi wa Kikemikali wa Kimaandiko wafunua kwamba hapo mwanzoni Mungu aliumba kundi moja lenye mipaka la maji yenye gesi isiyoonekana ambayo yalijaza eneo moja lenye umbo la duara la anga ya juu. Nuru ilifanywa haraka kwa mujibu wa Sheria mpya ya Nishati iliyoamriwa na muda ulioitwa Siku ulianzishwa kwa amri.Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Kufurusha tu kwani shingapi?Hizi Mada Naona Mna Nia Ya Kunikufurisha Mwaka huu..
Lengo Lenu Nikufuru?
Ni muhimu kutambua kwamba maji yalikuwepo siku ya kwanza. Kwa hakika, jambo pekee ambalo linaonyeshwa kuwa lilikuwepo siku ya kwanza lilikuwa ni maji.Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Maji yasiyoonekana kama ya gesi yaliumbwa Siku ya Kwanza kama mwili mmoja wa vitu viwili na kuitwa "mbingu na ardhi."Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.