Mungu kaumba vyote lakini kasoro kitu kimoja

Mungu kaumba vyote lakini kasoro kitu kimoja

Iyo gharika sidhani kama maji yalitoka chini bali juu baada ya mifuniko ya mbingu kufunguka kwani mkuu bado unaamini kuwa dunia ni duara maana nnachojua mm dunia ni flat na ni closed system ambapo hakuna awezaye kutoka na ninichojua pia kuna mabara zaidi yaa 100.
Fungua code hapo kwenye Flat na kwenye mabara zaidi ya 100 wengi tukuelewe unamaanisha nini?
 
"Mungu akasema, "Na liwe anga katikati ya maji (fikiria mbingu) na litenganishe maji na maji (fikiria mbinguni)." Mungu akafanya anga (mbingu ya kwanza) akatenganisha maji yaliyokuwa chini ya anga (mbingu, chini ya anga, yaliyoshika maji yaliyo juu katika mbingu mbili zilizo juu) na maji yaliyokuwa juu ya anga (maji yaliyo juu ya anga. ) Na ikawa hivyo. Na Mungu akaliita anga Mbingu (umoja na mbingu ya kwanza). Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili. Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, na nchi kavu ionekane. Na ikawa hivyo.”

Mwanzo 1:6-9

Niambie wapi pameandikwa mungu aliyaumba maji. Naona unaongelea jinsi alivyo yagawa sio kuyaumba maana maji yalikuwepo hata kabla ya mungu kufikiria uumbaje na roho yake ilikua inatembea juu ya maji ko apo niambie maji yalitoka wap.

Ukibisha sikulazimishi mkuu.
 
Niambie wapi pameandikwa mungu aliyaumba maji. Naona unaongelea jinsi alivyo yagawa sio kuyaumba maana maji yalikuwepo hata kabla ya mungu kufikiria uumbaje na roho yake ilikua inatembea juu ya maji ko apo niambie maji yalitoka wap.

Ukibisha sikulazimishi mkuu.
Mboni nimeelezea kila kitu si usome kila nilichokiandika ndio unielewe vizuri
 
Bado hujafungua code flat kivipi na mabara 100 kivipi?

Kwanza biblia yako inaushahidi wa kwanza katika mwanzo soma kama mtu mwenye akili alaf kuhusu mabara hayo yapo beyond Antarctica kuna system special ya kuzuia taarifa hiz ko kwanza unatakiwa uamke baadae utaelew
 
Babu toa maelezo wewe maelezo yako yapo wapi?
Ila utakuj kuelew baada ya kutoa uoga wa kukufuru mana ukiwa bado mtu wa mungu hutanielew kamwe kwa sababu unatakiwa kutoka nje ya zizi ili uone yaliyo nje la sivyo Hautakuja kuyaona
 
Ila utakuj kuelew baada ya kutoa uoga wa kukufuru mana ukiwa bado mtu wa mungu hutanielew kamwe kwa sababu unatakiwa kutoka nje ya zizi ili uone yaliyo nje la sivyo Hautakuja kuyaona
Wewe toa maelezo hayo tukusikilize
 
Back
Top Bottom