Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,585
- 1,546
All things were made by him....Labda uniambie kwamba unaweza ukasema all things na kukawa na exclusive.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama Dunia ilikiwa tupu hayo maji ambayo juu yake roho wa bwana ilikiwa inalea yalitoka wapi? Au maji pia ni utupu?1 Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi. 2 Nayo nchi haikuwa na umbo na ilikuwa tupu. Giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji. Roho wa Mungu alikuwa akielea juu ya uso wa maji.
Haonekani kwa macho ya mwanadamu lakini yupo na anaonekana kwa macho ya rohoni kwa sababu Mungu ni Roho. Ukiwa na nia ya kumfahau utamuona na kumshukuruMungu hajawahi kuwepo na hayupo.
Ukungu mzito ambayo ni gesi isiyoonekana nimeandika kila kitu katika kujibu hili nitaanza kurudia rudia tena upya soma comment kwa utulivu tu utaelewaSasa kama Dunia ilikiwa tupu hayo maji ambayo juu yake roho wa bwana ilikiwa inalea yalitoka wapi? Au maji pia ni utupu?
Jibu langu nalitaka.
Haya.Ukungu mzito ambayo ni gesi isiyoonekana nimeandika kila kitu katika kujibu hili nitaanza kurudia rudia tena upya soma comment kwa utulivu tu utaelewa
Ukisoma hapo juu nimekufungulia kila kitu kuhusu hilo ukisoma kwa kutulia utapata conceptHaya.
Na viongozi wa TanzaniaHabar za jion wakuu
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa mungu aliyaumba maji(kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.
Tunaomba elimHizi Mada Naona Mna Nia Ya Kunikufurisha Mwaka huu..
Lengo Lenu Nikufuru?
Ukungu mzito yaan gesi isiyoonekana H2O, hahaha majibu mengine km hujasoma huwezi kuyajibu kiwepesiSio doughts ni Doubt. Halafi maji ni simply Hydrogen na Oxygen molecules, H20, kama ilivyo kwa compounds zingine na molecules zingine alizoumba Sir God.
Yes ukungu wa Hydrogen na Oxygen ambazo ndizo basics za Uhai wa viumbe vyote. Hauwezi kusema Mungu hajaumba Jua wakati Jua ni simply a ball of burning Hydrogen ambayo Sir God ndiye kaitengeneza hiyo Hydrogen 😀Ukungu mzito yaan gesi isiyoonekana H2O, hahaha majibu mengine km hujasoma huwezi kuyajibu kiwepesi
Mleta mada kashaishiwa pozi hapa hana lingine la kuongea majibu yote amepatiwa mujarabu kabisa labda aje na maelezo yake ya kutoka huko mafichoni ila kila kitu amekwisha ambiwa nini na nini kilikua nini kikatokea niniYes ukungu wa Hydrogen na Oxygen ambazo ndizo basics za Uhai wa viumbe vyote. Hauwezi kusema Mungu hajaumba Jua wakati Jua ni simply a ball of burning Hydrogen ambayo Sir God ndiye kaitengeneza hiyo Hydrogen 😀
Kwenye Qur'an ipo imeelezwa Allah ameumba maji( amekuumbieni maji ) Aya nyingi zinaelezo Hilo.Habar za jion wakuu
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa mungu aliyaumba maji(kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.
Kuna aina tatu za maji kwa mujibu wa kemia na maji yanayozingatiwa hapa ni katika gas na ndio element ya kwanza kuumbwa according to Islam. Oksijeni ni uhai na kila kitu kiliumbwa kwa maji.Sasa kama Dunia ilikiwa tupu hayo maji ambayo juu yake roho wa bwana ilikiwa inalea yalitoka wapi? Au maji pia ni utupu?
Jibu langu nalitaka.
Maji Ni maji . Leteni Andiko Mungu kaumba maji kwenye Biblia ndo anachotaka muulizajiMleta mada kashaishiwa pozi hapa hana lingine la kuongea majibu yote amepatiwa mujarabu kabisa labda aje na maelezo yake ya kutoka huko mafichoni ila kila kitu amekwisha ambiwa nini na nini kilikua nini kikatokea nini
Hapa anaongelewa mwana wa MunguMithali 8:23-27
[23]Nalitukuka tokea milele, tangu awali,
Kabla haijawako dunia.
I was set up from everlasting, from the beginning, or ever the earth was.
[24]Wakati visipokuwako vilindi nalizaliwa,
Wakati zisipokuwako chemchemi zilizojaa maji.
When there were no depths, I was brought forth; when there were no fountains abounding with water.
[25]Kabla milima haijawekwa imara,
Kabla ya vilima nalizaliwa.
Before the mountains were settled, before the hills was I brought forth:
[26]Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde
Wala chanzo cha mavumbi ya dunia;
While as yet he had not made the earth, nor the fields, nor the highest part of the dust of the world.
[27]Alipozithibitisha mbingu nalikuwako;
Alipopiga duara katika uso wa bahari;
When he prepared the heavens, I was there: when he set a compass upon the face of the depth:
Anaongelewa kuhusu nini Katika wakati gani??Hapa anaongelewa mwana wa Mungu
Hii maada imenifanya nirudi kwanza nisome kitabu cha mwanzoNi muhimu kutambua kwamba maji yalikuwepo siku ya kwanza. Kwa hakika, jambo pekee ambalo linaonyeshwa kuwa lilikuwepo siku ya kwanza lilikuwa ni maji.
Zaidi ya hayo vitu vyote vinavyoonekana—vilifanywa kutokana na maji hayo yasiyoonekana. Jiangalie mwenyewe kwa usomaji rahisi wa maandishi.
Maji ndiyo kitu pekee ambacho Mungu aliumba Siku ya Kwanza na kwamba maji hayo yalikuwa kama gesi isiyoonekana katika “hali” yao bila umbo lolote, na utupu, au kujaa utupu.
Kw wataka kusema kuwa maji yalikuwepo kabla ya mungu auHabar za jion wakuu
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa mungu aliyaumba maji(kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.