Mungu kaumba vyote lakini kasoro kitu kimoja

Mungu kaumba vyote lakini kasoro kitu kimoja

1 Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi. 2 Nayo nchi haikuwa na umbo na ilikuwa tupu. Giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji. Roho wa Mungu alikuwa akielea juu ya uso wa maji.
Sasa kama Dunia ilikiwa tupu hayo maji ambayo juu yake roho wa bwana ilikiwa inalea yalitoka wapi? Au maji pia ni utupu?

Jibu langu nalitaka.
 
Habar za jion wakuu
I hope mko good.

Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji

Kwanini ninasema hivyo?

Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa mungu aliyaumba maji(kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.

Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.

Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.

Asanteni nafungua mjadala.
Na viongozi wa Tanzania
 
Sio doughts ni Doubt. Halafi maji ni simply Hydrogen na Oxygen molecules, H20, kama ilivyo kwa compounds zingine na molecules zingine alizoumba Sir God.
Ukungu mzito yaan gesi isiyoonekana H2O, hahaha majibu mengine km hujasoma huwezi kuyajibu kiwepesi
 
Ukungu mzito yaan gesi isiyoonekana H2O, hahaha majibu mengine km hujasoma huwezi kuyajibu kiwepesi
Yes ukungu wa Hydrogen na Oxygen ambazo ndizo basics za Uhai wa viumbe vyote. Hauwezi kusema Mungu hajaumba Jua wakati Jua ni simply a ball of burning Hydrogen ambayo Sir God ndiye kaitengeneza hiyo Hydrogen 😀
 
Yes ukungu wa Hydrogen na Oxygen ambazo ndizo basics za Uhai wa viumbe vyote. Hauwezi kusema Mungu hajaumba Jua wakati Jua ni simply a ball of burning Hydrogen ambayo Sir God ndiye kaitengeneza hiyo Hydrogen 😀
Mleta mada kashaishiwa pozi hapa hana lingine la kuongea majibu yote amepatiwa mujarabu kabisa labda aje na maelezo yake ya kutoka huko mafichoni ila kila kitu amekwisha ambiwa nini na nini kilikua nini kikatokea nini
 
Habar za jion wakuu
I hope mko good.

Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji

Kwanini ninasema hivyo?

Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa mungu aliyaumba maji(kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.

Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.

Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.

Asanteni nafungua mjadala.
Kwenye Qur'an ipo imeelezwa Allah ameumba maji( amekuumbieni maji ) Aya nyingi zinaelezo Hilo.
 
Sasa kama Dunia ilikiwa tupu hayo maji ambayo juu yake roho wa bwana ilikiwa inalea yalitoka wapi? Au maji pia ni utupu?

Jibu langu nalitaka.
Kuna aina tatu za maji kwa mujibu wa kemia na maji yanayozingatiwa hapa ni katika gas na ndio element ya kwanza kuumbwa according to Islam. Oksijeni ni uhai na kila kitu kiliumbwa kwa maji.
 
Mleta mada kashaishiwa pozi hapa hana lingine la kuongea majibu yote amepatiwa mujarabu kabisa labda aje na maelezo yake ya kutoka huko mafichoni ila kila kitu amekwisha ambiwa nini na nini kilikua nini kikatokea nini
Maji Ni maji . Leteni Andiko Mungu kaumba maji kwenye Biblia ndo anachotaka muulizaji
 
Mithali 8:23-27

[23]Nalitukuka tokea milele, tangu awali,
Kabla haijawako dunia.
I was set up from everlasting, from the beginning, or ever the earth was.

[24]Wakati visipokuwako vilindi nalizaliwa,
Wakati zisipokuwako chemchemi zilizojaa maji.
When there were no depths, I was brought forth; when there were no fountains abounding with water.

[25]Kabla milima haijawekwa imara,
Kabla ya vilima nalizaliwa.
Before the mountains were settled, before the hills was I brought forth:

[26]Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde
Wala chanzo cha mavumbi ya dunia;
While as yet he had not made the earth, nor the fields, nor the highest part of the dust of the world.

[27]Alipozithibitisha mbingu nalikuwako;
Alipopiga duara katika uso wa bahari;
When he prepared the heavens, I was there: when he set a compass upon the face of the depth:
Hapa anaongelewa mwana wa Mungu
 
Ni muhimu kutambua kwamba maji yalikuwepo siku ya kwanza. Kwa hakika, jambo pekee ambalo linaonyeshwa kuwa lilikuwepo siku ya kwanza lilikuwa ni maji.

Zaidi ya hayo vitu vyote vinavyoonekana—vilifanywa kutokana na maji hayo yasiyoonekana. Jiangalie mwenyewe kwa usomaji rahisi wa maandishi.

Maji ndiyo kitu pekee ambacho Mungu aliumba Siku ya Kwanza na kwamba maji hayo yalikuwa kama gesi isiyoonekana katika “hali” yao bila umbo lolote, na utupu, au kujaa utupu.
Hii maada imenifanya nirudi kwanza nisome kitabu cha mwanzo

Nimerudi kusoma nimegundua MUNGU MWENYEZI ndo aliyaumba maji siku ya kwanza kabisa

Nimejifunza nini bas? Nimejifunza kwamba Dunia ni maji yaan Dunia aliyoiumba MUNGU MWENYEZI ilikuwa ni maji tupu

Kupitia maji ndo MUNGU MWENYEZI akapata nchi kavu, udongo kwa ajili ya kumuumbia mwandam, udongo kwa ajili ya kuoteshea mimea

Yaan mpaka siku ya pili MWENYEZI MUNGU alikuwa anahangaika na maji tu

Ilipofika siku ya tatu baada ya kumalizana na maji na kuweka mfumo sawa sawa kwa ajili ya viumbe vyake ndo MWENYEZI MUNGU akashusha pumzi kubwa sana akasema ni VYEMA


Hakika MUNGU ni MWAMINIFU sana

Nakupenda ee MWENYEZI MUNGU nguvu yangu
 
Habar za jion wakuu
I hope mko good.

Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji

Kwanini ninasema hivyo?

Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa mungu aliyaumba maji(kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.

Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.

Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.

Asanteni nafungua mjadala.
Kw wataka kusema kuwa maji yalikuwepo kabla ya mungu au
 
Back
Top Bottom