zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Sophia tena?Kuhusu hili hayakuwa maji yanayosema hayo, hayo yalisemwa na Hekima(sophia)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sophia tena?Kuhusu hili hayakuwa maji yanayosema hayo, hayo yalisemwa na Hekima(sophia)
Sijakuelewa kuhusu hekima(Sophia) ni Nani na anakuwaje hekima?
Sophia tena?
Sasa Sophia nae alishiriki uumbaji?Sophia ni neno la kigiriki linalomaanisha wisdom ambayo ni hekima
Yaani wakati Mungu anaumba alikua pamoja na huyo Sophia? Tupeleke mjiniSophia maana yake hekima
Ambaye anasemekana alikuwepo katika kumpa mungu mawazo katika uumbaji yaani mungu alitumia hekima kuiumba dunia lakini siamini katika hili kwani uthibitisho haupo
Sasa Sophia nae alishiriki uumbaji?
Leta hapa hio mithali tumuone Sophia hii itakua mithali mpyaNdio kasome mithali
Leta hapa hio mithali tumuone Sophia hii itakua mithali mpya
Wewe umesema Sophia alikuepo na Mungu kwenye uumbaji usitutoe kwenye reliMithali 8 alafu kumbuka nmekwambia sophia ni wisdom yani hekima
Usitutoe kwenye reli SophiaSophia maana yake hekima
Ambaye anasemekana alikuwepo katika kumpa mungu mawazo katika uumbaji yaani mungu alitumia hekima kuiumba dunia lakini siamini katika hili kwani uthibitisho haupo
Wwe skuwezUsitutoe kwenye reli Sophia
Usituchukulie poa tunakusoma nukta juu ya nukta shusha NONDO tukusomeWwe skuwez
Aisee..Mkuu, unataka kusema kwamba maji yalimuumba Mwenyezi Mungu?
Hata hivyo hiyo biblia yenu sio genuine pamoj na mungu wakeUsituchukulie poa tunakusoma nukta juu ya nukta shusha NONDO tukusome
Leta Biblia yenu ambayo ni genuine tukusomeHata hivyo hiyo biblia yenu sio genuine pamoj na mungu wake
Ndio ninayo mhaya anakosaje maji!?Sababu una maji mengi kule pangoni?
Imebidi nicheke kidogo hahahaN
Ndio ninayo mhaya anakosaje maji!?
Bomboclaaat
Mkuu usijiwekee mipaka katika kufikiri na kufikia tamati.Habar za jion wakuu
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa mungu aliyaumba maji(kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.