Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe unapofanya mambo yako hutumii wisdom,,,unataka uthibitisho gani kwamba Mungu alitumia wisdom kufanya mambo yake...Je unaelewa wisdom inaplay part gani Katika mafanikio yoyote????Sophia maana yake hekima
Ambaye anasemekana alikuwepo katika kumpa mungu mawazo katika uumbaji yaani mungu alitumia hekima kuiumba dunia lakini siamini katika hili kwani uthibitisho haupo
Hayo ni maneno ya pauloAll things were made by him....Labda uniambie kwamba unaweza ukasema all things na kukawa na exclusive.
Huyo ni paulo na mbwembwe zakemaana nasikia nae alitokewa na wahai akiwa peke yakebora hata MUDI alikua na wifeYohana 1:1-3
[1]Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.
[2]Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
The same was in the beginning with God.
[3]Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.
Wewe Kwa mtazamo wako Paulo unamchukuliaje??? Kuna mahali uliona Paulo akimkataza mtu kuoa?? Mwisho unamtizama Paulo ukiwa kwenye angle gani?? Unamzoom ili aje Kwa karibu au uko nae Kwa karibu???Huyo ni paulo na mbwembwe zakemaana nasikia nae alitokewa na wahai akiwa peke yakebora hata MUDI alikua na wife
Leta Biblia yenu ambayo ni genuine tukusome
[/QUOTESoma mithali 8 utaona jinsi hekima alivotumika na mungu kwenye uumbajiKwani wewe unapofanya mambo yako hutumii wisdom,,,unataka uthibitisho gani kwamba Mungu alitumia wisdom kufanya mambo yake...Je unaelewa wisdom inaplay part gani Katika mafanikio yoyote????
Alipataje utume wake?Wewe Kwa mtazamo wako Paulo unamchukuliaje??? Kuna mahali uliona Paulo akimkataza mtu kuoa?? Mwisho unamtizama Paulo ukiwa kwenye angle gani?? Unamzoom ili aje Kwa karibu au uko nae Kwa karibu???
Mungu tunamtengeneza sisi kwa mitazamo yetu na kiwango chetu Cha mtetemo, who named God GOD?Hauko mbali na ukweli Mwenyezi Mungu kitu cha kwanza kuumba ni maji, halafu akaumba vyote vilivyofuata kutoka katika maji. Na ni kweli maji yananguvu lakini kiumbe chenye nguvu na thamani zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu ni binadamu
ThibitishaMungu hajawahi kuwepo na hayupo.
Kumbe binadamu anaweza kutengeneza maji, through oxidation, Mungu katupa akili na utashiHivi kwamfano nikichukua pure oxygen na pure natural Hydrogen.
Nikaenda maabara kutengeneza Maji.
Hapo nitakuwa nimeumba maji?
Kwasababu hyo oxygen na hiyo Hydrogen itakuwa ndiyo kwa mara ya kwanza vimekua maji, nitakuwa nimeleta maji mapya ulimwenguni
Je nitakuwa nimeumba maji?
Nithibitishe kisicho kuwepo?Thibitisha
Mungu wa bibilia ni wa mchongo, rejea ktk quraan majibu mbona yapo,Habar za jion wakuu,
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa Mungu aliyaumba maji (kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.
Habar za jioni, mkuu,Habar za jion wakuu,
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa Mungu aliyaumba maji (kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.
Imeandikwa tayari,,,ina Maana hujawahi kusoma alipataje utume wake??Alipataje utume wake?
Tuanzie hapo kwanza
Sawa me sikulazimishi endelea kuamini ila asante kwa maelezo, ila hayajasaidia kitu .asanteHabar za jioni, mkuu,
Shukrani kwa kuanzisha mjadala huu wa kina. Ni jambo la busara na lenye kuhitaji tafakari.
Kwanza kabisa, ni vyema kufahamu kuwa imani ya kidini inategemea vyanzo vya msingi vya kila dini, kwa mfano Biblia, Qur’an, na maandiko mengine. Katika maandiko ya kidini, dhana ya uumbaji inahusisha mamlaka ya Mungu juu ya kila kitu, hata kile ambacho hakikutajwa moja kwa moja kwa majina.
Kuhusiana na hoja yako kwamba Mungu hakuumba maji kwa sababu hakuna mahali palipoelezwa hivyo katika Biblia, ni muhimu kufahamu kuwa Biblia inaanza kwa kueleza kwamba "Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi" (Mwanzo 1:1). Katika aya zinazofuata, maji yanatajwa kama kitu kilichokuwepo wakati wa uumbaji, lakini haimaanishi kwamba hayakuumbwa. Mungu ni Muumba wa vyote, na maandiko hayaonekani kuwa na lengo la kueleza kila kitu kwa undani wa kisayansi, bali kwa ujumla wa mamlaka ya Mungu juu ya viumbe vyote.
Katika Qur’an pia tunapata ufafanuzi wa pekee:
"Na tukafanya kila kilicho hai kutoka katika maji. Je, hawataamini?" (Qur’an 21:30).
Hii inaonyesha nafasi ya maji katika uumbaji na uhai wa viumbe. Ingawa maji yanatajwa kuwa sehemu ya uumbaji, yamepewa umuhimu mkubwa, na mamlaka yake yanatokana na uwezo wa Mungu.
Kwa mantiki yako kwamba maji yana kumbukumbu, nguvu za uponyaji, na umuhimu mkubwa katika maisha, hilo halipingani na imani za kidini, bali linathibitisha hekima na maajabu ya uumbaji wa Mungu. Ni vyema kuona maji kama moja ya maajabu ya Mungu, si kama kitu kinachojitegemea.
Natoa changamoto kwa sisi wote kuendelea kusoma maandiko, kutafakari kwa kina, na kutafuta ufafanuzi kutoka kwa wanazuoni wa dini na wasomi wa maandiko ili kujua zaidi. Mungu atupe hekima ya kuelewa.
Karibu kwa mjadala zaidi! 🙏
Mtume Paulo alielezea jinsi alivyoitwa kuwa mtume wa Yesu Kristo kupitia maandiko kadhaa katika Agano Jipya.Alipataje utume wake?
Tuanzie hapo kwanza
Biblia inafundisha kuhusu uumbaji wa ulimwengu mzima, ikiwemo maji. Hebu tuangalie kwa makini:Habar za jion wakuu,
I hope mko good.
Kama kichwa cha hoja kinavyojieleza, nilikua najihusisha sana na mambo ya dini na hiyo ilikua baada ya kuwa najikuta kuwa na doughts nyingi kuhusiana na uwepo wa mungu. Kwa sasa nimepata majibu lakin ndipo nikaja kugundua pia kwamba huyu Mungu niliekuwa na mashaka naye hakuyaumba maji
Kwanini ninasema hivyo?
Kwasababu katika kusoma Biblia sjaona mahali palipo andikwa kuwa Mungu aliyaumba maji (kama kuna mtu anaushahidi aulete). Hivyo kwa akili yangu nafikiri kuwa maji ni kitu ambacho ni cha kale katika dunia kwa kiasi cha kuwa yana kumbukumbu ya kila kitu kilicho tokea duniani tangu kale.
Pia nina imani maji yana nguvu za uponyaji alafu pia maji ni muhitajika muhimu sana wa viumbe vyote vilivyo hai ulimwenguni hivyo maji yana nafasi kubwa katika maisha ya hapa duniani.
Kama kuna mtu anahoja juu ya hili ailete tujuzane vizuri.
Asanteni nafungua mjadala.