Mkuu uthibitisho wa kisayansi ni wewe mwenyewe. Kama unatafuta uthibitisho wa kisayansi kwamba kuna Mungu, mtu ndio uthibitisho huo.Mkuu ni vyema ukatupa huo uthibitisho wa kisayansi kwamba Mungu sio dhana ya kufikirika (imani) bali ni kitu halisi na kinathibitika
Sawa chief, Muda ni mwalimu mzuri.Huyo Mungu kama ana nguvu aje hapa ajidhihirishe mwenyewe na hizo nguvu zake.
Huyo Mungu angekuwa ana nguvu angesha jidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.
Mnahangaika sana kumwelezea huyo Mungu kwa vile hayupo kujidhihirisha mwenyewe wala hawezi kuja hapa kujitetea kwamba yupo.
Ni ninyi tu mnatapatapa kueleza fictional character.
Mpo sahihi ndugu,😂😂😂😂
Mkuu hawa watu wanashambulio la akili linaitwa imani ya Mungu
Mkuu ni vyema zaidi mgejikita kwenye IMANI kwasababu imani inachotaka ni kuamini tuMkuu uthibitisho wa kisayansi ni wewe mwenyewe. Kama unatafuta uthibitisho wa kisayansi kwamba kuna Mungu, mtu ndio uthibitisho huo.
Hakuna katika vitu vinavyoonekana kinachothibitisha kuwa kuna Mungu isipokuwa ulimwenguni na mtu ndio kielelezo chake.
Mkuu ili tusifanye mambo kuwa magumu. Naomba ueleze neno "uthibitisho" ni nini? Kisha tunaweza kuendelea.Nilidhani wewe unao uthibitisho lakini naona onazungusha maneno tu mkuu
Na ajabu zaidi ni pale unaposema Mungu anathibitika kisayansi....... sayansi haina longo longo mkuu
Kama inajua kitu inakupa FACT kama haijui ni haijui
Sijawahi kuona Scientific fact about GOD
Nategemea uzitoe hapa
Mkuu ili tusifanye mambo kuwa magumu. Naomba ueleze neno "uthibitisho" ni nini? Kisha tunaweza kuendelea.
Sawa mkuu. Sasa naomba nikuulize swali kulingana na hii tafsiri yako.Tafsiri rahisi
Thihirisha ukweli wa jambo pasi na shaka
Nyinyi mnasema hakuna Mungu, Mmethihirisha ukweli wa hilo jambo pasi na shaka ?Tafsiri rahisi
Thihirisha ukweli wa jambo pasi na shaka
Mkuu kwa tafsida ya mjadala huu mimi sihitaji kudhihirisha chochoteSawa mkuu. Sasa naomba nikuulize swali kulingana na hii tafsiri yako.
Je, wewe hapo unadhihirisha nini?
Mkuu mleta mada amekuja na HOJA kwamba kuna MUNGUNyinyi mnasema hakuna Mungu, Mmethihirisha ukweli wa hilo jambo pasi na shaka ?
Mkuu nani kati ya ulimwengu na watu anamtegemea mwenzake ili awepo?Mkuu kwa tafsida ya mjadala huu mimi sihitaji kudhihirisha chochote
You’re the one who claim there is God....... PROVE IT
Mkuu mbona umeanza kunishindilia maswali tena badala ya kuthibitisha?Mkuu nani kati ya ulimwengu na watu anamtegemea mwenzake ili awepo?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣una maswali magumu sanaKwa nini unadhani kwamba ulimwengu ulifanyika?
Kwa nini hudhani kwamba ulimwengu upo tu wenyewe pasipo kufanyika.
Una thibitisha vipi kwamba ulimwengu ulifanyika?
Eleza ni wakati gani kulikuwa hakuna ulimwengu, Kisha ulimwengu ukafanyika?
Na kabla ulimwengu haujafanyika, Huko ulikokuwa kulifanyika na nini?
Hahaha Hahaha HahahaHana jibu na hawezi kukujibu na hata akijibu atapuyanga tu.
Usichoke mkuu hapa tunabadilishana uzoefu na maarifa. Lengo tujue ukweli ni upi.Mkuu mbona umeanza kunishindilia maswali tena badala ya kuthibitisha?
Watu ni sehemu ya ulimwengu mkuu
Logically watu wote tunaweza tukafa na kupotea na ulimwengu ukaendelea kuwepo kama ambavyo hakuna watu wanoishi kwenye sayari zingine kama Mars Jupiter hata mwezini nk
Mkuu hili swali limekaa kitaalamu zaidi,Usichoke mkuu hapa tunabadilishana uzoefu na maarifa. Lengo tujue ukweli ni upi.
Hapo umeeleza vizuri. Hatahivyo nina swali.
Mkuu, unafikiri sayari yetu ya dunia inaweza kuwepo tu yenyewe, bila kutegemea uwepo wa sayari nyingine kama mars, Jupiter kwa mfano, katika mfumo wetu wa jua?
Mkuu, nakubaliana na hiki ulichosema.Mkuu hili swali limekaa kitaalamu zaidi,
Sijui ni kwa kiasi gani sayari zingine zinachagia mfumo wetu wa solar system kuwa hivi ulivyo na kuifanya dunia kuendela na mzunguko iwapo zitakua hazipo
Kwa hisia nadhani sayari zote zilizopo ndio zinaleta balance hii tuliyo nayo sasa
Unamaanisha nini unaposema kila kitu hapa ulimwenguni kina muumbaji?Mtu anakwambia Kila kitu hapa ulimwenguni kina muumbaji ila akiulizwa aliemuumba muumbaji ni nani. Kigugumizi kinaanza na maelezo yanakuwa meeeeengi😃 Shenzisana
Hili swali , " Muumbaji aliumbwa na nani " inatakiwa lielekezwe kwa muumbaji mwenyewe ndio atakupa majibu sahihi, Lakini kumuuliza mtu aliyeumbwa swali kama hili logically muulizaji anaonekana ni mpumbavu.Mtu anakwambia Kila kitu hapa ulimwenguni kina muumbaji ila akiulizwa aliemuumba muumbaji ni nani. Kigugumizi kinaanza na maelezo yanakuwa meeeeengi😃 Shenzisana