Mungu maana yake ni nini? Au Mungu ni nini?

Hili swali , " Muumbaji aliumbwa na nani " inatakiwa lielekezwe kwa muumbaji mwenyewe ndio atakupa majibu sahihi, Lakini kumuuliza mtu aliyeumbwa swali kama hili logically muulizaji anaonekana ni mpumbavu.
.Sasa mbona umejibu wewe? Na mbona nyinyi wafia dini mda wote mnahubiri habari za Mungu! kwanini msikitulize kipira hiko mkaacha Mungu ahubiri habari zake yeye mwenyewe Kwa mujibu wa hiyo hoja Yako dhaifu!?
Je nyinyi wafia dini mnatupa majibu sahihi? Kwendeni zenu😁
 
Siwezi kumuelezea mtoto wangu hadithi za kipumbavu kama hizi upuuzi mtupu
 
Upeo wako unazunguka eneo unalo ishi tu. ndio maana umendika kwa kudhani dunia nzima imani ni mbili tu uislam na ukristo. Vipi kuhusu wa hindu nao wanabatizwa? Vipi Buddha shinto tao hizo zote ni dini nao wana batizwa?
 
Upeo wako unazunguka eneo unalo ishi tu. ndio maana umendika kwa kudhani dunia nzima imani ni mbili tu uislam na ukristo. Vipi kuhusu wa hindu nao wanabatizwa? Vipi Buddha shinto tao hizo zote ni dini nao wana batizwa?
Nao kuondolewa dini yao ya asili kwa kufanyiwa Dharma.

Ni sawa na ubatizo kwa wakiristo.
 
Pale tunapoingia kwenye "infinite regress", hali inayozaliwa kwa kuweka assumption ya kwamba kila kitu kina mwanzo flan au kusababishwa na kitu flan kilichokitangulia kitu/jambo hilo.
 
Mbinguni ni wapi?
 
Uwepo huo wa hali ya juu wenye ufahamu ndio huo ulimwengu wenyewe.

Kuita uwepo huo mara sijui nguvu/ Akili/ Mungu ni kupachika pachika tu majina uchwara.

Uwepo huo wenye ufahamu wa hali ya juu ndio ulimwengu.
Nkipitia hoja zako au majibu yako, Naona kabisa ambavyo thinking capacity yako ipo chini mnoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…