Mungu mkubwa,hatimaye wameanza kutandanza mataaluma ya reli ya Standard gauge

Mungu mkubwa,hatimaye wameanza kutandanza mataaluma ya reli ya Standard gauge

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
**mod masahihisho heading isomeke mataruma
Mungu mkubwa ule mradi tuliombiwa hatuuwezi leo wanatandanza mataruma ya reli ,yaani ni kama ndoto eti baada ya mwaka mmoja watu watakuwa wanaenda Morogoro na treni ya umeme.kutakuwa na vituo sita kati ya hivyo vinne viko katikati,Soga,Kwala,Pugu nk.
Ajira karibia elfu nne zimemwagwa huku 90% wakiwa wazawa.
Kama namuona magufuli anavyonoa mkasi wa ufunguzi.
 
Kwani kuna mtu alisema kuwa haliwezekani?walichokataa watu ni kuongopewa kuwa eti tunaijenga kwa pesa za ndani!!akiwa mwanza anasema hiyo SGR,pesa tunayo tunaijenga kwa pesa zetu,akiwa morogoro SGR,tumewaomba ndugu zetu wa uturuki watusaidie kujenga SGR ,na wako tayari,huku tena unasikia mzee wa mipango ambaye hana mipango mala kuna mkopo wa masharti nafuu tumeupata wa dola bilioni tano kujengea SGR!!hapo watu ndio wanachoka!!kama watu walikula nyasi ndege mkangafu ikanunuliwa itakuja kuwa hiyo!!hata mseme kuwa kuna fly over inajengwa toka dar hadi chato itajengwa tu kwani ,usipokuwa na vipaumbele unaona bora watu wafe ila ulilokusudia lifanyike sawa!!mbona mobutu aliyafanya hayo tena kjijini kabisa!!leo mnakuja tena na fly over coco beach to aghakani!!kweli kazi ipo
 
Bravo my beloved President JPM
Bravo my beloved country TANZANIA

Tutaelewana tu. Hata Mimi nakumbuka nilivyokuwa darasa la 5 nilitaka kuacha Shule. Lkn mama yangu akakomaa na Mimi, MPAKA akanihamishia mbali kwa mjomba wangu ili niondokane na marafiki wapotoshaji. Mazingira yale ugenini yakanibadirisha kabisa. MAANA nilikuta watoto wa anko wanasoma buku hatari. Na Mimi nikaanza kupiga BUKU MPAKA anko akasema KWELI dada yangu ulifanya la MAANA kumhamisha. Nilifaulu na kuchaguliwa shule za kipaji maalum. Basi nikawa focused katika maisha MPAKA leo hii.
UKWELI ni KUWA, mwanzoni sikuwa nimemuelewa mama yangu. Lkn baada ya miaka mingi, nikaanza kumuelewa, na sasa namuombea tu kwa Mola ambariki.

Hivyo hata kwa RAIS wetu, weengi hawatamuelewa kwa SASA, lkn baadaye watajilaumu kwa kutoelewa. Wengine wataanza kumbariki.
 
**mod masahihisho heading isomeke mataruma
Mungu mkubwa ule mradi tuliombiwa hatuuwezi leo wanatandanza mataruma ya reli ,yaani ni kama ndoto eti baada ya mwaka mmoja watu watakuwa wanaenda Morogoro na treni ya umeme.kutakuwa na vituo sita kati ya hivyo vinne viko katikati,Soga,Kwala,Pugu nk.
Ajira karibia elfu nne zimemwagwa huku 90% wakiwa wazawa.
Kama namuona magufuli anavyonoa mkasi wa ufunguzi.

Kipofu kaona mwezi
 
Uvccm mmepata taabu sana kutetea maduhuli, masulufu na magawio
 
Sumu ya Chuki na ukabila inakumaliza taratibuuu.
MSAGA SUMU muongezee dozi huyu maduhuli ili aache kutapatapa.
Kwani ni uongo kuwa watukopeshe tuu kwakuwa tuna fedha za kulipa? sio kauli yangu hiyo, ni kauli "takatifu" toka juu
 
Back
Top Bottom