Mungu mkubwa,hatimaye wameanza kutandanza mataaluma ya reli ya Standard gauge

Mungu mkubwa,hatimaye wameanza kutandanza mataaluma ya reli ya Standard gauge

Hahahaha...
Jibu hoja, jpm hakununua Panton Bovu akiwa Ujenzi?? Alipaswa awe jela huyu mtu kama akina Yona na Mramba walivyofungwa wakati ule.
1.3Tril za wapi?
TRA wanakusanya na madeni/pesa za mashirika mengine kama TPA zinachanganywa kama mapato ya TRA, mnadanganywa mnakubali..?
Gawio..unajua maana ya Gawio?
Yani KICHAA cha JPM sasa ni dhahiri na kimewa impact nyie Mataahira yote ya pale Lumumba.

Nimewahi kuwa mwalimu. Darasani kila mmoja ana UELEWA WAKE. Mwalimu anapofundisha darasani, labda sema Jumatatu, wanafunzi wengine wanaelewa hapo hapo, wengine watapata MAANA ya somo na kuelewa siku ya jumanne, wengine jumatano, na kuendelea MPAKA baada ya mwezi.
Kwa hiyo sishangai kuona wengine MPAKA SASA hawajaelewa anachokifanya RAIS. Acha tuache kipindi cha WAKATI kipite, utaelewa tu.
 
Anyway ngoja nikupe darasa japo la juu juu

Ili nchi iwe na sifa za kupata mkopo kwenye taasisi au mataifa ya Nje lazima awe na uwezo wa kulipa katika makusanyo yake ya kila mwezi baada ya kutoa government expenditures zote muhimu.

Hivyo sisi bado tunapesa za kutosha za kuweza kuhudumia mkopo wowote mpya utakaokuja baada ya kutoa matumizi ya serikali na marejesho mengine tunayoendelea kulipa katika taasisi na mataifa tulipokopa.

Hiyo ndio mantiki ya hiyo kauli kwa PM wa Korea na yeye alimuelewa JPM vizuri sana sababu ni lugha ya wanaoelewa national economics sasa wewe lazima ikupe tabu kuelewa sababu hujui hata namna mataifa yanavyokopa

Kuna kitu mkuu hawakielewi. Kinaitwa credit rating. Our creditworthiness is high, this is why any ONE of the lenders is confident to give us loan.
 
Kuna kitu mkuu hawakielewi. Kinaitwa credit rating. Our creditworthiness is high, this is why any ONE of the lenders is confident to give us loan.
exactly,
For instance our current debt sustainability analysis shows tupo njema kabisa we are absolutely innocent

Tanzania debt ni 31.2 per cent of GDP as of June 2018 – well below the red line of 70 per cent, we could double it and still remain safer

Sasa nashangaa hawa wasiojua hili wala lile kutaka kuwa Wachambuzi kwa wasilolijua
 
duh.hufai hata kuwa member wa jf. you are not a great thinker
Wewe ndio great thinker unaeongelea proposal, hiyo hyperloop ni kitu ambacho kipo kwenye makaratasi ni imagination ideas hazipo in real life bapo wala hazitakua kwa miaka 30 ijayo.

Sasa hapa tunaongelea sensitive issues wewe unatuletea ndoto za usiku.
 
Bravo my beloved President JPM
Bravo my beloved country TANZANIA

Tutaelewana tu. Hata Mimi nakumbuka nilivyokuwa darasa la 5 nilitaka kuacha Shule. Lkn mama yangu akakomaa na Mimi, MPAKA akanihamishia mbali kwa mjomba wangu ili niondokane na marafiki wapotoshaji. Mazingira yale ugenini yakanibadirisha kabisa. MAANA nilikuta watoto wa anko wanasoma buku hatari. Na Mimi nikaanza kupiga BUKU MPAKA anko akasema KWELI dada yangu ulifanya la MAANA kumhamisha. Nilifaulu na kuchaguliwa shule za kipaji maalum. Basi nikawa focused katika maisha MPAKA leo hii.
UKWELI ni KUWA, mwanzoni sikuwa nimemuelewa mama yangu. Lkn baada ya miaka mingi, nikaanza kumuelewa, na sasa namuombea tu kwa Mola ambariki.

Hivyo hata kwa RAIS wetu, weengi hawatamuelewa kwa SASA, lkn baadaye watajilaumu kwa kutoelewa. Wengine wataanza kumbariki.
Umeanza vizuri ila umemalizia utumbo....
 
Miundombinu ya hii reli itakua na tight surveillance equipments sio za nchi hii, haitakua holela kama ya mjerumani
Tusubiri tuone mkuu, binafsi nina wasiwasi sana, hii nchi ina watu wa hovyo sana.
 
Wewe ndio great thinker unaeongelea proposal, hiyo hyperloop ni kitu ambacho kipo kwenye makaratasi ni imagination ideas hazipo in real life bapo wala hazitakua kwa miaka 30 ijayo.

Sasa hapa tunaongelea sensitive issues wewe unatuletea ndoto za usiku.
hiyo bangi uliyovuta leo umevutia tundu lipi? maana naona imekurudisha miaka 30 nyuma mpaka hujui kitu gani kinaendelea ulimwengu wa sasa.
 
Hakuna kinchoshndana hata tukisema tunaweka flyng over toka dar hadi mwanza au tulete bomba ya mafuta toka uarubuni.shda je ipo kwnye mkakati?athari yake ikoje kwnye uchumi?je nikapao mbele yetu?tunachangamoto mengi ya muhimu kuliko hayo.shule zetu hazina walimu wakutosha na madawati vitabu hosp zetu nayo hvyo tuna t scan moja nch nzima.maji ndyo tusiseme.mambo ni mengi sna.tungeboresha huduma za jamii kwanza
Jifunze kuandika basi..
 
bado tupo nyuma sana .treni za umeme ni teknolojia ya zamani.teknolojia ya sasa hiv ni hyperloop,yaan ni transport system ambayo inafika speed ya 1000km/hr. mzee magu angeleeta hyperloop ningemkubali
teknolojia nyingine ambayo ni mpya ni ya kutumia laser technolgy for air transport hapa tunaweza safiri dunia nzima for just nusu saa tu, na tunaweza travell kwa spid ya 30 percent of the speed of light
mzee magu ukitaka nikupigie salute lete hyperloop, laser technology kwenye industry ya transportation
Hypreloop bado ipo kwenye concept na testing.. na bado sio viable mode ya transport kwa cargo.

Hyperloop ni expensive na kwa design ya sasa sio kwa ajili ya mass transit.

California wangeona hyperloop ni ya maana wasingekuwa wanajenga high speed train kati ya LA na San Francisco.

So yeah hyperloop ndiyo new sexy but not attractive kwa uchumi wetu.
 
Tunawaalika Korea waje watukopeshe fedha za kujenga reli. Fedha za kuwalipa tunazo kabisa kwenye mabenki yetu.
ni mikopo kwenda mbereeee na huku PESSA IPOO HATUNA SHIDDAA na wara hatukopi tunatumia codi zenu wananchi
 
Back
Top Bottom