Mungu mkubwa,hatimaye wameanza kutandanza mataaluma ya reli ya Standard gauge

Mungu mkubwa,hatimaye wameanza kutandanza mataaluma ya reli ya Standard gauge

**mod masahihisho heading isomeke mataruma
Mungu mkubwa ule mradi tuliombiwa hatuuwezi leo wanatandanza mataruma ya reli ,yaani ni kama ndoto eti baada ya mwaka mmoja watu watakuwa wanaenda Morogoro na treni ya umeme.kutakuwa na vituo sita kati ya hivyo vinne viko katikati,Soga,Kwala,Pugu nk.
Ajira karibia elfu nne zimemwagwa huku 90% wakiwa wazawa.
Kama namuona magufuli anavyonoa mkasi wa ufunguzi.


sio kweli mataruma bado kabisa na kwa taarifa sahihi hata kutengenezwa bado hayajaanza. matarajio ni labda septemba hiyo kazi ya kutandaza reli itaanza, tazameni video hiyo mtasikia, mpaka sasa ujenzi ni asilimia 16 tu kwa hiyo kazi ya mayaruma bado
 
Kwani ni uongo kuwa watukopeshe tuu kwakuwa tuna fedha za kulipa? sio kauli yangu hiyo, ni kauli "takatifu" toka juu
Sasa kwenye hiyo kauli cha ajabu kipi kinachokushangaza.?
 
**mod masahihisho heading isomeke mataruma
Mungu mkubwa ule mradi tuliombiwa hatuuwezi leo wanatandanza mataruma ya reli ,yaani ni kama ndoto eti baada ya mwaka mmoja watu watakuwa wanaenda Morogoro na treni ya umeme.kutakuwa na vituo sita kati ya hivyo vinne viko katikati,Soga,Kwala,Pugu nk.
Ajira karibia elfu nne zimemwagwa huku 90% wakiwa wazawa.
Kama namuona magufuli anavyonoa mkasi wa ufunguzi.

Mzee baba kuna wenzetu huko watakuja kuiloga hii reli ili mataruma yageuke sponge 😀😀😀😀😀😀

Vigagula vya hii nchi vitapata tabu sana 😛
 
Hasara ya kuongozwa na Kichaa.
Hahaha kichaa aliepandisha gawio kwa mashirika ya umma kutoka billion 40 mwaka 2015 alivyochukua nchi mpaka billion 800 kasoro ndani ya miaka 2.5 huyo ni kichaa mzuri sana

Makusanyo kwa mwaka kutoka billion 850 kwa mwezi mpaka trillion 1.3 ongezeko la zaidi ya billion 500, huo ukichaa na mimi nautaka

Kigagula utapata tabu sana
 
bado tupo nyuma sana .treni za umeme ni teknolojia ya zamani.teknolojia ya sasa hiv ni hyperloop,yaan ni transport system ambayo inafika speed ya 1000km/hr. mzee magu angeleeta hyperloop ningemkubali
teknolojia nyingine ambayo ni mpya ni ya kutumia laser technolgy for air transport hapa tunaweza safiri dunia nzima for just nusu saa tu, na tunaweza travell kwa spid ya 30 percent of the speed of light
mzee magu ukitaka nikupigie salute lete hyperloop, laser technology kwenye industry ya transportation

Naona unatuletea MAMBO ya animation and fixation world.
 
Wamiliki wa mabasi ya abiria kwa upande wao hizi siyo habari nzuri kabisa, hii reli inakuja kuua kabisa biashara zao. Sio ajabu tukashuhudia vitendo vya kuhujumiwa kwa hii miundo mbinu siku zijazo itakapokuwa imekamilika.

Wengi wa hawa wamiliki wa mabasi wapo tayari hata kutoa watu kafara ili mradi tu mabasi yao yaingize faida. Kwenye swala la ulinzi Serikali inatakiwa kujipanga sana ili kuilinda reli hii.
Miundombinu ya hii reli itakua na tight surveillance equipments sio za nchi hii, haitakua holela kama ya mjerumani
 
Kama wanaweza kushirikiana na wanaotudai ili ndege zisifike nchini ndani ya muda uliopangwa, watashindwa vipi kuhujumu kitu chenye faida kwa Tanzania nzima!!.

Inasikitisha sana kwa mtanzania mmoja kuihujumu nchi yake, kuhujumu mahali anapopaita nyumbani, kuhujumu kitu pekee ambacho ni cha kwake kwa asilimia 100.
Ndio maana Mungu alimchapa yule msaliti na mtetezi wa mabepari
 
Mkuu unaonekana unapenda sana zile sinema za kisayansi. Upo very scientific, safi sana.
mkuu sio sinema hizo ni reality,teknolojia zipo tayari hyperloop ndo technolgy ya sasa ikiongozwa na mr elon musk na tech ya laser ipo kwaenye majaribio ya mwisho zote zinaongozwa na elon musk,
 
Hakuna kinchoshndana hata tukisema tunaweka flyng over toka dar hadi mwanza au tulete bomba ya mafuta toka uarubuni.shda je ipo kwnye mkakati?athari yake ikoje kwnye uchumi?je nikapao mbele yetu?tunachangamoto mengi ya muhimu kuliko hayo.shule zetu hazina walimu wakutosha na madawati vitabu hosp zetu nayo hvyo tuna t scan moja nch nzima.maji ndyo tusiseme.mambo ni mengi sna.tungeboresha huduma za jamii kwanza
Mmmmh em peleka upuuzi huko unaongea upumbavu gani hapa?

Hizo ajira zaidi ya 4000 kwenda wizara ya afya hujaziona juzi?

Ajira zaidi ya elfu 5000 kwenda wizara ya elimu hujaziona juzi?

T scan ndio kitu gani?
Mimi Najua CT scan ambazo JPM kazinunua zaidi ya 5 na MRI zimefungwa, x-rays kwenye kila hospital ya mkoa na wilaya na mpango wa kila kata kua na kituo cha afya upo 65%

Hujui kitu kaa kimya
 
bado tupo nyuma sana .treni za umeme ni teknolojia ya zamani.teknolojia ya sasa hiv ni hyperloop,yaan ni transport system ambayo inafika speed ya 1000km/hr. mzee magu angeleeta hyperloop ningemkubali
teknolojia nyingine ambayo ni mpya ni ya kutumia laser technolgy for air transport hapa tunaweza safiri dunia nzima for just nusu saa tu, na tunaweza travell kwa spid ya 30 percent of the speed of light
mzee magu ukitaka nikupigie salute lete hyperloop, laser technology kwenye industry ya transportation
Nenda kampelekee hiyo train hawara yako sisi ya umeme inatutosha
 
Hahaha kichaa aliepandisha gawio kwa mashirika ya umma kutoka billion 40 mwaka 2015 alivyochukua nchi mpaka billion 800 kasoro ndani ya miaka 2.5 huyo ni kichaa mzuri sana

Makusanyo kwa mwaka kutoka billion 850 kwa mwezi mpaka trillion 1.3 ongezeko la zaidi ya billion 500, huo ukichaa na mimi nautaka

Kigagula utapata tabu sana
Hahahaha...
Jibu hoja, jpm hakununua Panton Bovu akiwa Ujenzi?? Alipaswa awe jela huyu mtu kama akina Yona na Mramba walivyofungwa wakati ule.
1.3Tril za wapi?
TRA wanakusanya na madeni/pesa za mashirika mengine kama TPA zinachanganywa kama mapato ya TRA, mnadanganywa mnakubali..?
Gawio..unajua maana ya Gawio?
Yani KICHAA cha JPM sasa ni dhahiri na kimewa impact nyie Mataahira yote ya pale Lumumba.
 
Bado tuu huoni cha kushangaza hapo? Pole sana bwana mkubwa!
Anyway ngoja nikupe darasa japo la juu juu

Ili nchi iwe na sifa za kupata mkopo kwenye taasisi au mataifa ya Nje lazima awe na uwezo wa kulipa katika makusanyo yake ya kila mwezi baada ya kutoa government expenditures zote muhimu.

Hivyo sisi bado tunapesa za kutosha za kuweza kuhudumia mkopo wowote mpya utakaokuja baada ya kutoa matumizi ya serikali na marejesho mengine tunayoendelea kulipa katika taasisi na mataifa tulipokopa.

Hiyo ndio mantiki ya hiyo kauli kwa PM wa Korea na yeye alimuelewa JPM vizuri sana sababu ni lugha ya wanaoelewa national economics sasa wewe lazima ikupe tabu kuelewa sababu hujui hata namna mataifa yanavyokopa
 
Nenda kampelekee hiyo train hawara yako sisi ya umeme inatutosha
Una matatizo ya akili.nyie ndyo wale mnaonufaika na sytem.kwhyo ww niwakusamehe bure.hujui hata bibi yako anaishije vjjn
 
Back
Top Bottom