Mungu na Shetani: Nani kaua zaidi?

Mungu na Shetani: Nani kaua zaidi?

Watu wamekula mana miaka nenda rudi, wakalalmika tu, mungu kawaua ..
What's wrong with God's thinking?
 
Vita,ajali,ugaidi,ujambazi,ugomvi,kujiua,kurogana,.....aina hii ya vifo sjui umeweka upande gani
 
Sijui kwanini umeweka hii mistari.. .
Haitetei chochote kuhusu uuaji na ukatili wa mungu.
Sijamaliza endelea hapa chini usome

Yohana 1:1-18

1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu.

2 Tangu mwanzo Neno amekuwa na Mungu.

3 Vitu vyote viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote kilichoumbwa ambacho hakukiumba.

4 Uzima ulikuwa ndani yake na uzima huo ndio ulikuwa nuru ya watu.

5 Nuru hiyo huangaza gizani na giza haliwezi kamwe kuizima.

6 Mtu mmoja aitwaye Yohana alitumwa na Mungu

7 awaambie watu kuhusu hiyo nuru, ili kwa ushuhuda wake wapate kuamini.

8 Yohana mwenyewe hakuwa ile nuru. Yeye alitumwa kuishuhudia hiyo nuru.

9 Nuru halisi ambayo inawaangazia watu wote ilikuwa inakuja ulim wenguni.

10 Neno alikuwepo ulimwenguni, lakini japokuwa aliumba ulimwengu, watu wa ulimwengu hawakumtambua!

11 Alikuja nyumbani kwake, lakini watu wake hawakumpokea!

12 Bali wote waliompokea na kumwamini aliwapa haki ya kufanywa watoto wa Mungu.

13 Hawa hawakuwa watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili, wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali wamezaliwa na Mungu mwenyewe.

14 Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utukufu na kweli. Tuliona utukufu wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba.

15 Yohana alishuhudia habari zake, akatangaza: “Huyu ndiye yule niliyewaambia kuwa, ‘Yeye ajaye baada yangu ni mkuu kuliko mimi kwa kuwa alikuwapo kabla sijazaliwa.”’

16 Na kutokana na ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema tele.

17 Musa alituletea sheria kutoka kwa Mungu, lakini Yesu Kristo ametuletea neema na kweli.

18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote. Lakini Mwanae pekee, ambaye ana uhusiano wa karibu sana na Baba yake, amemdhihirisha Mungu kwetu.

Sijamaliza naendelea...
 
Ndugu WanaJF,

Mungu ni muuaji ambaye amefanya mauaji ya halaiki mara kwa mara na wote tumeyasoma kwenye simulizi za biblia.

Pamoja na hivyo, bado shetani analaumiwa zaidi kwa kudaiwa kusababisha mauaji, magonjwa na mambo ya hivyo yasiyompendeza binadamu.


Tutumie agano la kale kujionea wenyewe jinsi huyu mungu mwenye 'huruma' alivyowatenda wanadamu.


Matukio Ambapo Mungu Aliua Watu Katika Agano la Kale


1. Gharika – Idadi ya vifo: Haijulikani, inakadiriwa 1,000,000+


Rejea: Mwanzo 6:5-7


“BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani, na kwamba kila kusudi analoliwaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. BWANA akasema, Nitamfuta mwanadamu, niliyemuumba, usoni pa nchi; mwanadamu, na mnyama, na kitambaacho, na ndege wa angani; maana, najutia ya kwamba nimewafanya.”




2. Uharibifu wa Sodoma na Gomora – Idadi ya vifo: 1,000

Rejea: Mwanzo 19:24-25

“Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka mbinguni kwa BWANA; akaangusha miji hiyo, na Bonde lote, na wote waliokaa katika miji hiyo, na yote yaliyomea katika nchi ile.”

3. Mke wa Lutu – Mtu 1

Rejea: Mwanzo 19:26
“Lakini mkewe Lutu akaangalia nyuma akawa nguzo ya chumvi.”


4. Mapigo ya Misri – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 50,000

Rejea: Kutoka 12:29-30
“Ikawa usiku wa manane, BWANA akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, tangu mwana wa kwanza wa Farao aketiye juu ya kiti chake cha enzi, hata mwana wa kwanza wa mfungwa aliyekuwa gerezani; na wazaliwa wote wa kwanza wa wanyama. Farao akaondoka usiku huo, yeye na watumwa wake wote, na Wamisri wote; kukawa na kilio kikuu katika Misri, maana hapakuwa na nyumba pasipokuwa na maiti.”

5. Kisa cha Ndama wa Dhahabu – Watu 3,000

Rejea: Kutoka 32:27-28
“Akaawaambia, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Kila mtu na ajifunge upanga wake pajani mwake; mpitieni na kuupitia marago toka lango hili mpaka lango lile, kila mtu amwue ndugu yake, na rafiki yake, na jirani yake. Wana wa Lawi wakafanya kama vile Musa alivyosema; wakaanguka watu kama elfu tatu siku ile.”

6. Uasi wa Kora – Watu 14,950

Rejea: Hesabu 16:31-35, 49
"Ikawa, alipokwisha kusema maneno hayo yote, nchi ikapasuka iliyo chini yao; nchi ikafunua kinywa chake, na kuwameza, na nyumba zao, na watu wote waliokuwa wa Kora, na vyombo vyao vyote. Wakatumbukia ndani ya shimo, wao na wote waliokuwa nao hai, nchi ikawafunikiza, wakapotea katika mkutano.”


“Nao waliokufa kwa ile tauni walikuwa watu kumi na nne elfu na mia saba, zaidi ya wale waliokufa kwa sababu ya Kora.”


7. Malalamiko Katika Jangwa – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 100

Rejea: Hesabu 11:1-3
“Watu walikuwa kama wanaonung’unika kwa ajili ya mabaya masikioni mwa BWANA; BWANA akasikia, hasira zake zikawaka, moto wa BWANA ukawaka kati yao, ukateketeza katika mipaka ya marago.”


8. Tauni kwa Kulalamikia Mana – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 500

Rejea: Hesabu 11:33-34
“Kama nyama ilikuwa bado kati ya meno yao, kabla haijatafunwa, hasira za BWANA zikawaka juu ya watu, BWANA akawapiga watu kwa mapigo makuu sana. Kwakuo walipaita pale Kibroth-Hataava, kwa sababu hapo ndipo walipowazika watu waliokuwa na tamaa.”


9. Adhabu kwa Kuabudu Baali-Peori – Watu 24,000

Rejea: Hesabu 25:9
“Nao waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa ishirini na nne elfu.”


10. Nyoka Wenye Moto – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 200

Rejea: Hesabu 21:6
“BWANA akatuma nyoka za moto kati ya watu, wakawauma; wakaanguka watu wengi katika Israeli.”

11. Adhabu kwa Sababu ya Sensa – Watu 70,000

Rejea: 2 Samweli 24:15

“Basi BWANA akaleta tauni katika Israeli tangu asubuhi hata wakati ulioagizwa; wakafa watu sabini elfu miongoni mwa watu toka Dani mpaka Beer-Sheba.”

Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Mungu: Inakadiriwa 1,100,000+

-
Vifo vilivyosababishwa na Shetani Katika Agano la Kale


1. Watoto wa Ayubu – Watu 10

Rejea: Ayubu 1:18-19


“Alipokuwa bado akinena, akaja mwingine, akasema, Wana wako na binti zako walikuwa wakila na kunywa divai katika nyumba ya ndugu yao mkubwa; kumbe, upepo mkubwa ukatoka upande wa jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, ikaanguka juu ya hao vijana, nao wamekufa; nami peke yangu nimepona ili nikuambie.”


Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Shetani: 10


Kwa mantiki hii, Mungu ni muuaji mkubwa sana. Anachojali ni kuogopwa tu. Ni mkatili na ana tabia za psychopaths.


Mungu ni dikteta, character yake ni kama ya wakina Adolf Hitler au wale drug lords wa cartels za Amerika ya kusini.


Anyways, ni fiction tu. Waamini msijenge chuki. Twajua hata ninyi hamumpendi Mungu, ni hofu tu imewatawala, mnaogopa kuchomwa moto.​

Siku njema mkiendelea kutafakari ukatili wa Mungu wa Yakobo.
Mpango wa Mungu ulikuwa mwanadamu Aishi milele huku duniani aendeleze ufulme wake wa milele duniani

Ila mwanadamu Kwa kushawishiwa a shetani akakubali na kufanya maamuzi Kwa hiari yake akachagua kufa

16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
Mwanzo 2:16

17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Mwanzo 2:17




Najua umejazwa uongo na baba wa uongo Ila kiukweli aliyesababisha kifo ni shetani mwenyewe kwa kuwashawishi wanadamu wachague kifo

4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Mwanzo 3:4

5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
Mwanzo 3:5

6 Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewe, naye akala.
Mwanzo 3:6
 
Ingekuwa wewe ungefanya nini??
Mimi ningewabadilishia menu.

Kama aliweza kuwapa manna, alishindwaje kuwapa nyama na misosi walikuwa wanakula misri?
 
huenda mtoa mada umekula ugali leo...sasa naanza kuamini ugali haufai kwa afya ya akili
 
huenda mtoa mada umekula ugali leo...sasa naanza kuamini ugali haufai kwa afya ya akili
Jibu hoja kwa hoja mkuu.
Kejeli za oh ugali , mara nini hazisaidii chochote.

Je una hoja za kupinga hoja zangu?
 
Ndugu WanaJF,

Mungu ni muuaji ambaye amefanya mauaji ya halaiki mara kwa mara na wote tumeyasoma kwenye simulizi za biblia.

Pamoja na hivyo, bado shetani analaumiwa zaidi kwa kudaiwa kusababisha mauaji, magonjwa na mambo ya hivyo yasiyompendeza binadamu.


Tutumie agano la kale kujionea wenyewe jinsi huyu mungu mwenye 'huruma' alivyowatenda wanadamu.


Matukio Ambapo Mungu Aliua Watu Katika Agano la Kale


1. Gharika – Idadi ya vifo: Haijulikani, inakadiriwa 1,000,000+


Rejea: Mwanzo 6:5-7


“BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani, na kwamba kila kusudi analoliwaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. BWANA akasema, Nitamfuta mwanadamu, niliyemuumba, usoni pa nchi; mwanadamu, na mnyama, na kitambaacho, na ndege wa angani; maana, najutia ya kwamba nimewafanya.”




2. Uharibifu wa Sodoma na Gomora – Idadi ya vifo: 1,000

Rejea: Mwanzo 19:24-25

“Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka mbinguni kwa BWANA; akaangusha miji hiyo, na Bonde lote, na wote waliokaa katika miji hiyo, na yote yaliyomea katika nchi ile.”

3. Mke wa Lutu – Mtu 1

Rejea: Mwanzo 19:26
“Lakini mkewe Lutu akaangalia nyuma akawa nguzo ya chumvi.”


4. Mapigo ya Misri – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 50,000

Rejea: Kutoka 12:29-30
“Ikawa usiku wa manane, BWANA akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, tangu mwana wa kwanza wa Farao aketiye juu ya kiti chake cha enzi, hata mwana wa kwanza wa mfungwa aliyekuwa gerezani; na wazaliwa wote wa kwanza wa wanyama. Farao akaondoka usiku huo, yeye na watumwa wake wote, na Wamisri wote; kukawa na kilio kikuu katika Misri, maana hapakuwa na nyumba pasipokuwa na maiti.”

5. Kisa cha Ndama wa Dhahabu – Watu 3,000

Rejea: Kutoka 32:27-28
“Akaawaambia, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Kila mtu na ajifunge upanga wake pajani mwake; mpitieni na kuupitia marago toka lango hili mpaka lango lile, kila mtu amwue ndugu yake, na rafiki yake, na jirani yake. Wana wa Lawi wakafanya kama vile Musa alivyosema; wakaanguka watu kama elfu tatu siku ile.”

6. Uasi wa Kora – Watu 14,950

Rejea: Hesabu 16:31-35, 49
"Ikawa, alipokwisha kusema maneno hayo yote, nchi ikapasuka iliyo chini yao; nchi ikafunua kinywa chake, na kuwameza, na nyumba zao, na watu wote waliokuwa wa Kora, na vyombo vyao vyote. Wakatumbukia ndani ya shimo, wao na wote waliokuwa nao hai, nchi ikawafunikiza, wakapotea katika mkutano.”


“Nao waliokufa kwa ile tauni walikuwa watu kumi na nne elfu na mia saba, zaidi ya wale waliokufa kwa sababu ya Kora.”


7. Malalamiko Katika Jangwa – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 100

Rejea: Hesabu 11:1-3
“Watu walikuwa kama wanaonung’unika kwa ajili ya mabaya masikioni mwa BWANA; BWANA akasikia, hasira zake zikawaka, moto wa BWANA ukawaka kati yao, ukateketeza katika mipaka ya marago.”


8. Tauni kwa Kulalamikia Mana – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 500

Rejea: Hesabu 11:33-34
“Kama nyama ilikuwa bado kati ya meno yao, kabla haijatafunwa, hasira za BWANA zikawaka juu ya watu, BWANA akawapiga watu kwa mapigo makuu sana. Kwakuo walipaita pale Kibroth-Hataava, kwa sababu hapo ndipo walipowazika watu waliokuwa na tamaa.”


9. Adhabu kwa Kuabudu Baali-Peori – Watu 24,000

Rejea: Hesabu 25:9
“Nao waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa ishirini na nne elfu.”


10. Nyoka Wenye Moto – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 200

Rejea: Hesabu 21:6
“BWANA akatuma nyoka za moto kati ya watu, wakawauma; wakaanguka watu wengi katika Israeli.”

11. Adhabu kwa Sababu ya Sensa – Watu 70,000

Rejea: 2 Samweli 24:15

“Basi BWANA akaleta tauni katika Israeli tangu asubuhi hata wakati ulioagizwa; wakafa watu sabini elfu miongoni mwa watu toka Dani mpaka Beer-Sheba.”

Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Mungu: Inakadiriwa 1,100,000+

-
Vifo vilivyosababishwa na Shetani Katika Agano la Kale


1. Watoto wa Ayubu – Watu 10

Rejea: Ayubu 1:18-19


“Alipokuwa bado akinena, akaja mwingine, akasema, Wana wako na binti zako walikuwa wakila na kunywa divai katika nyumba ya ndugu yao mkubwa; kumbe, upepo mkubwa ukatoka upande wa jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, ikaanguka juu ya hao vijana, nao wamekufa; nami peke yangu nimepona ili nikuambie.”


Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Shetani: 10


Kwa mantiki hii, Mungu ni muuaji mkubwa sana. Anachojali ni kuogopwa tu. Ni mkatili na ana tabia za psychopaths.


Mungu ni dikteta, character yake ni kama ya wakina Adolf Hitler au wale drug lords wa cartels za Amerika ya kusini.


Anyways, ni fiction tu. Waamini msijenge chuki. Twajua hata ninyi hamumpendi Mungu, ni hofu tu imewatawala, mnaogopa kuchomwa moto.​

Siku njema mkiendelea kutafakari ukatili wa Mungu wa Yakobo.
Shetani ni muuaji kwa sababu yeye ndiye aliyesababisha wanadamu wote tunakufa kwa kuanzia kule bustani ya edeni..

Sasa jiulize wewe kwanini utakufa na chanzo chake ni nani?
 
Jibu hoja kwa hoja mkuu.
Kejeli za oh ugali , mara nini hazisaidii chochote.

Je una hoja za kupinga hoja zangu?
hoja haipingwi kwa hoja....hoja ikishakua kwa mtu haibadishi ila inalingwanishwa...
ndio maana nimelinganisha hoja yako na ugali uliokula leo
 
Watu wamekula mana miaka nenda rudi, wakalalmika tu, mungu kawaua ..
What's wrong with God's thinking?
Kwani hiyo Mana waliomba Mungu awape au Mungu ndo akiamua kuwapa Aina hiyo chakula ?
Je unafikiri Mungu hakujua umuhimu wa hiyo Mana kulingana na mazingira waliokuwa nayo ?
 
Ndugu WanaJF,

Mungu ni muuaji ambaye amefanya mauaji ya halaiki mara kwa mara na wote tumeyasoma kwenye simulizi za biblia.

Pamoja na hivyo, bado shetani analaumiwa zaidi kwa kudaiwa kusababisha mauaji, magonjwa na mambo ya hivyo yasiyompendeza binadamu.


Tutumie agano la kale kujionea wenyewe jinsi huyu mungu mwenye 'huruma' alivyowatenda wanadamu.


Matukio Ambapo Mungu Aliua Watu Katika Agano la Kale


1. Gharika – Idadi ya vifo: Haijulikani, inakadiriwa 1,000,000+


Rejea: Mwanzo 6:5-7


“BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani, na kwamba kila kusudi analoliwaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. BWANA akasema, Nitamfuta mwanadamu, niliyemuumba, usoni pa nchi; mwanadamu, na mnyama, na kitambaacho, na ndege wa angani; maana, najutia ya kwamba nimewafanya.”




2. Uharibifu wa Sodoma na Gomora – Idadi ya vifo: 1,000

Rejea: Mwanzo 19:24-25

“Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka mbinguni kwa BWANA; akaangusha miji hiyo, na Bonde lote, na wote waliokaa katika miji hiyo, na yote yaliyomea katika nchi ile.”

3. Mke wa Lutu – Mtu 1

Rejea: Mwanzo 19:26
“Lakini mkewe Lutu akaangalia nyuma akawa nguzo ya chumvi.”


4. Mapigo ya Misri – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 50,000

Rejea: Kutoka 12:29-30
“Ikawa usiku wa manane, BWANA akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, tangu mwana wa kwanza wa Farao aketiye juu ya kiti chake cha enzi, hata mwana wa kwanza wa mfungwa aliyekuwa gerezani; na wazaliwa wote wa kwanza wa wanyama. Farao akaondoka usiku huo, yeye na watumwa wake wote, na Wamisri wote; kukawa na kilio kikuu katika Misri, maana hapakuwa na nyumba pasipokuwa na maiti.”

5. Kisa cha Ndama wa Dhahabu – Watu 3,000

Rejea: Kutoka 32:27-28
“Akaawaambia, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Kila mtu na ajifunge upanga wake pajani mwake; mpitieni na kuupitia marago toka lango hili mpaka lango lile, kila mtu amwue ndugu yake, na rafiki yake, na jirani yake. Wana wa Lawi wakafanya kama vile Musa alivyosema; wakaanguka watu kama elfu tatu siku ile.”

6. Uasi wa Kora – Watu 14,950

Rejea: Hesabu 16:31-35, 49
"Ikawa, alipokwisha kusema maneno hayo yote, nchi ikapasuka iliyo chini yao; nchi ikafunua kinywa chake, na kuwameza, na nyumba zao, na watu wote waliokuwa wa Kora, na vyombo vyao vyote. Wakatumbukia ndani ya shimo, wao na wote waliokuwa nao hai, nchi ikawafunikiza, wakapotea katika mkutano.”


“Nao waliokufa kwa ile tauni walikuwa watu kumi na nne elfu na mia saba, zaidi ya wale waliokufa kwa sababu ya Kora.”


7. Malalamiko Katika Jangwa – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 100

Rejea: Hesabu 11:1-3
“Watu walikuwa kama wanaonung’unika kwa ajili ya mabaya masikioni mwa BWANA; BWANA akasikia, hasira zake zikawaka, moto wa BWANA ukawaka kati yao, ukateketeza katika mipaka ya marago.”


8. Tauni kwa Kulalamikia Mana – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 500

Rejea: Hesabu 11:33-34
“Kama nyama ilikuwa bado kati ya meno yao, kabla haijatafunwa, hasira za BWANA zikawaka juu ya watu, BWANA akawapiga watu kwa mapigo makuu sana. Kwakuo walipaita pale Kibroth-Hataava, kwa sababu hapo ndipo walipowazika watu waliokuwa na tamaa.”


9. Adhabu kwa Kuabudu Baali-Peori – Watu 24,000

Rejea: Hesabu 25:9
“Nao waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa ishirini na nne elfu.”


10. Nyoka Wenye Moto – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 200

Rejea: Hesabu 21:6
“BWANA akatuma nyoka za moto kati ya watu, wakawauma; wakaanguka watu wengi katika Israeli.”

11. Adhabu kwa Sababu ya Sensa – Watu 70,000

Rejea: 2 Samweli 24:15

“Basi BWANA akaleta tauni katika Israeli tangu asubuhi hata wakati ulioagizwa; wakafa watu sabini elfu miongoni mwa watu toka Dani mpaka Beer-Sheba.”

Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Mungu: Inakadiriwa 1,100,000+

-
Vifo vilivyosababishwa na Shetani Katika Agano la Kale


1. Watoto wa Ayubu – Watu 10

Rejea: Ayubu 1:18-19


“Alipokuwa bado akinena, akaja mwingine, akasema, Wana wako na binti zako walikuwa wakila na kunywa divai katika nyumba ya ndugu yao mkubwa; kumbe, upepo mkubwa ukatoka upande wa jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, ikaanguka juu ya hao vijana, nao wamekufa; nami peke yangu nimepona ili nikuambie.”


Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Shetani: 10


Kwa mantiki hii, Mungu ni muuaji mkubwa sana. Anachojali ni kuogopwa tu. Ni mkatili na ana tabia za psychopaths.


Mungu ni dikteta, character yake ni kama ya wakina Adolf Hitler au wale drug lords wa cartels za Amerika ya kusini.


Anyways, ni fiction tu. Waamini msijenge chuki. Twajua hata ninyi hamumpendi Mungu, ni hofu tu imewatawala, mnaogopa kuchomwa moto.​

Siku njema mkiendelea kutafakari ukatili wa Mungu wa Yakobo.
Stupid question from a stupid man
 
Kifo ni matokeo ya Uasi ,unapopanda mbegu lazima uvune haijalishi itachelewa au itawahi
Mshahara wa dhambi ni mauti,
Kifo ni adhabu hivyo huwezi kujipangia Muda wa kupewa adhabu yako Ila hakimu ndo huamua
Na Mungu ndo anamua Muda wa kupata adhabu na huwezi kuchagua iwe kwa namna gani
Akiamua iwe gharika ni maamuzi yake
Akiamua iwe moto ni yeye hakimu

Kwa hiyo ACha kupangia mahakama ya Mungu juu ya Adhabu uliyochagua mwenyewe

Mungu ni mwenye haki lazima akulipe haki yako unayostahili

mwenye kuwaonea huruma watu elfu elfu, mwenye kusamehe uovu na makosa na dhambi; wala si mwenye kumhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe; mwenye kuwapatiliza watoto uovu wa baba zao, na wana wa wana wao pia, hata kizazi cha tatu na cha nne.

Kutoka 34:7
Kwa andiko hili unathibitisha kwamba mungu ni muuaji ila tunajaribu kujustify kuwa anawaua watu kwa kutofuata masharti yake?
 
Back
Top Bottom