Mungu na Shetani: Nani kaua zaidi?

Mungu na Shetani: Nani kaua zaidi?

Unaweza kunipa fact za uwepo wako ???
Logical non sequitur fallacy, mjadala ni uwepo wa Mungu, si uwepo wa Kiranga.

Nikiweza kukupa au nisipoweza kukupa, facts za uwepo wangu hayo yote hayathibitishi Mungu yupo.

Thibitisha kwamba Mungu yupo.
 
Logical non sequitur fallacy, mjadala ni uwepo wa Mungu, si uwepo wa Kiranga.

Nikiweza kukupa au nisipoweza kukupa, facts za uwepo wangu hayo yote hayathibitishi Mungu yupo.

Thibitisha kwamba Mungu yupo.
ACha maneno Mengi na misamiati isiyo kuwa na kichwa Wala miguu

Kabla ya kutaka kujua uthibitisho wa Mungu

Anza na fact za uwepo wako kwanza Kama huwezi kutupa fact za uwepo wako tulia na kubali umeshachanganyikiwa huna ujualo
 
ACha maneno Mengi na misamiati isiyo kuwa na kichwa Wala miguu

Kabla ya kutaka kujua uthibitisho wa Mungu

Anza na fact za uwepo wako kwanza Kama huwezi kutupa fact za uwepo wako tulia na kubali umeshachanganyikiwa huna ujualo
Hapana,

Kama Mungu yupo, atakuwa yupo tu, bila kujali mimi nipo au sipo.

Kama Mungu hayupo, atakuwa hayupo tu, bila kujali mimi nipo au sipo.

Au unataka kusema uwepo wa Mungu wako unategemea uwepo wangu?

Thibitisha Mungu yupo, hiyo ndiyo mada, usiihamishe mada iwe uwepo wangu mimi badala ya uwepo wa Mungu.
 
Wewe jifunze kuandika Kiingereza kwanza kabla ya kujishaua mengine.

"Your totally confused" ndiyo nini sasa?

Unaharibu lugha ya watu tu.
Hiyo hapo akili bandia inakusaidiwa
Maana wewe tayari umeshachanganyikiwa huwezi kuelewa chochote,
Huwezi kukanusha uwepo wa Mungu alafu uwe na akili za uelewa
IMG-20241013-WA0009.jpg
 
Hapana,

Kama Mungu yupo, atakuwa yupo tu, bila kujali mimi nipo au sipo.

Kama Mungu hayupo, atakuwa hayupo tu, bila kujali mimi nipo au sipo.

Au unataka kusema uwepo wa Mungu wako unategemea uwepo wangu?

Thibitisha Mungu yupo, hiyo ndiyo mada, usiihamishe mada iwe uwepo wangu mimi badala ya uwepo wa Mungu.
Ndo maana nakuambia umeshachanganyikiwa

Wewe mwenyewe Haina uhakika Kama upo au hapo alafu Unataka ujue uwepo wa mwingine

Usiendelee kuchanganya watu maana wewe mwenyewe hujijui au huujitambui wewe ni nani ?
 
Kwenye nyumba za ibada (kanisani, msikitini na kwenye synagogue) hakuna kipengele cha kuuliza maswali wakati wa ibada. Ni kuitikia tu amen
 
Ndo maana nakuambia umeshachanganyikiwa

Wewe mwenyewe Haina uhakika Kama upo au hapo alafu Unataka ujue uwepo wa mwingine

Usiendelee kuchanganya watu maana wewe mwenyewe hujijui au huujitambui wewe ni nani ?
Hujathibitisha Mungu yupo. Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Ndiyo maana unataka kunitoa katika reli.

Thibitisha Mungu yupo.
 
SHETANI UNAJUA KWANINI NASEMA SHETANI KWA SABABU SHETANI NI MUUAJI TOKA ZAMANI ALIANZA NA ADAM NA HAWA MPAKA SIKU ZETU ZIKAWA CHACHE TUNAKUFA KATIKA UMRI AMBAO MUNGU HAKUPANGA
mungu wenu dhaifu kweli,,, mipango yake haiaminiki,,, maana kuna siku shetaniiii ataiharibu Tena …Kama Alivyoiharibu Eden ☹️☹️☹️
 
Hujathibitisha Mungu yupo. Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Ndiyo maana unataka kunitoa katika reli.

Thibitisha Mungu yupo.
Ni mwendawazimu pekee anayedhani atafaulu masomo ya chuo kikuu huku akishindwa kuelewa masomo ya chekechea
 
Ni mwendawazimu pekee anayedhani atafaulu masomo ya chuo kikuu huku akishindwa kuelewa masomo ya chekechea
Hata kama hilo ni kweli.

Kuwepo kwa uwendawazimu nako ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, muwe,a wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Ila najua huna uwezo wa kuelewa hilo.

Na wewe kukosa uwezo wa kuelewa hilo nako ni uthibitisho Mungu huyo hayupo.

Ila hata hilo nalo huwezi kulielewa.
 
Wew ni mfugo tu mbele za Mungu huna umuhimu wowote kama ufati amri zake atakuchinja tu....

We ufunge kuku alafu wakuletee zarau mara wanatoroka mara wanapigana lazima utawachinja na utaacha wale wastarabu........
 
Hata kama hilo ni kweli.

Kuwepo kwa uwendawazimu nako ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, muwe,a wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Ila najua huna uwezo wa kuelewa hilo.

Na wewe kukosa uwezo wa kuelewa hilo nako ni uthibitisho Mungu huyo hayupo.

Ila hata hilo nalo huwezi kulielewa.
ACha nikubaliane na hili andiko tu ni kweli kabisa

1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
Zaburi 14:1

Unajua maana ya MTU au mwenye sifa hizo

Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.

Mithali 27:
22
 
Nakupeleka ignore list, sitaki kujibizana na guluguja asiye na ubongo wala uti wa mgongo.

Kuanzia haoa sitaona post yako yoyote.
Ni vizuri sana maana huna uwezo kujibu hoja zangu zaidi ya ubishi wa kijinga
 
Ndugu WanaJF,

Mungu ni muuaji ambaye amefanya mauaji ya halaiki mara kwa mara na wote tumeyasoma kwenye simulizi za biblia.

Pamoja na hivyo, bado shetani analaumiwa zaidi kwa kudaiwa kusababisha mauaji, magonjwa na mambo ya hivyo yasiyompendeza binadamu.


Tutumie agano la kale kujionea wenyewe jinsi huyu mungu mwenye 'huruma' alivyowatenda wanadamu.


Matukio Ambapo Mungu Aliua Watu Katika Agano la Kale


1. Gharika – Idadi ya vifo: Haijulikani, inakadiriwa 1,000,000+


Rejea: Mwanzo 6:5-7


“BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani, na kwamba kila kusudi analoliwaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. BWANA akasema, Nitamfuta mwanadamu, niliyemuumba, usoni pa nchi; mwanadamu, na mnyama, na kitambaacho, na ndege wa angani; maana, najutia ya kwamba nimewafanya.”




2. Uharibifu wa Sodoma na Gomora – Idadi ya vifo: 1,000

Rejea: Mwanzo 19:24-25

“Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka mbinguni kwa BWANA; akaangusha miji hiyo, na Bonde lote, na wote waliokaa katika miji hiyo, na yote yaliyomea katika nchi ile.”

3. Mke wa Lutu – Mtu 1

Rejea: Mwanzo 19:26
“Lakini mkewe Lutu akaangalia nyuma akawa nguzo ya chumvi.”


4. Mapigo ya Misri – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 50,000

Rejea: Kutoka 12:29-30
“Ikawa usiku wa manane, BWANA akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, tangu mwana wa kwanza wa Farao aketiye juu ya kiti chake cha enzi, hata mwana wa kwanza wa mfungwa aliyekuwa gerezani; na wazaliwa wote wa kwanza wa wanyama. Farao akaondoka usiku huo, yeye na watumwa wake wote, na Wamisri wote; kukawa na kilio kikuu katika Misri, maana hapakuwa na nyumba pasipokuwa na maiti.”

5. Kisa cha Ndama wa Dhahabu – Watu 3,000

Rejea: Kutoka 32:27-28
“Akaawaambia, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Kila mtu na ajifunge upanga wake pajani mwake; mpitieni na kuupitia marago toka lango hili mpaka lango lile, kila mtu amwue ndugu yake, na rafiki yake, na jirani yake. Wana wa Lawi wakafanya kama vile Musa alivyosema; wakaanguka watu kama elfu tatu siku ile.”

6. Uasi wa Kora – Watu 14,950

Rejea: Hesabu 16:31-35, 49
"Ikawa, alipokwisha kusema maneno hayo yote, nchi ikapasuka iliyo chini yao; nchi ikafunua kinywa chake, na kuwameza, na nyumba zao, na watu wote waliokuwa wa Kora, na vyombo vyao vyote. Wakatumbukia ndani ya shimo, wao na wote waliokuwa nao hai, nchi ikawafunikiza, wakapotea katika mkutano.”


“Nao waliokufa kwa ile tauni walikuwa watu kumi na nne elfu na mia saba, zaidi ya wale waliokufa kwa sababu ya Kora.”


7. Malalamiko Katika Jangwa – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 100

Rejea: Hesabu 11:1-3
“Watu walikuwa kama wanaonung’unika kwa ajili ya mabaya masikioni mwa BWANA; BWANA akasikia, hasira zake zikawaka, moto wa BWANA ukawaka kati yao, ukateketeza katika mipaka ya marago.”


8. Tauni kwa Kulalamikia Mana – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 500

Rejea: Hesabu 11:33-34
“Kama nyama ilikuwa bado kati ya meno yao, kabla haijatafunwa, hasira za BWANA zikawaka juu ya watu, BWANA akawapiga watu kwa mapigo makuu sana. Kwakuo walipaita pale Kibroth-Hataava, kwa sababu hapo ndipo walipowazika watu waliokuwa na tamaa.”


9. Adhabu kwa Kuabudu Baali-Peori – Watu 24,000

Rejea: Hesabu 25:9
“Nao waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa ishirini na nne elfu.”


10. Nyoka Wenye Moto – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 200

Rejea: Hesabu 21:6
“BWANA akatuma nyoka za moto kati ya watu, wakawauma; wakaanguka watu wengi katika Israeli.”

11. Adhabu kwa Sababu ya Sensa – Watu 70,000

Rejea: 2 Samweli 24:15

“Basi BWANA akaleta tauni katika Israeli tangu asubuhi hata wakati ulioagizwa; wakafa watu sabini elfu miongoni mwa watu toka Dani mpaka Beer-Sheba.”

Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Mungu: Inakadiriwa 1,100,000+

-
Vifo vilivyosababishwa na Shetani Katika Agano la Kale


1. Watoto wa Ayubu – Watu 10

Rejea: Ayubu 1:18-19


“Alipokuwa bado akinena, akaja mwingine, akasema, Wana wako na binti zako walikuwa wakila na kunywa divai katika nyumba ya ndugu yao mkubwa; kumbe, upepo mkubwa ukatoka upande wa jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, ikaanguka juu ya hao vijana, nao wamekufa; nami peke yangu nimepona ili nikuambie.”


Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Shetani: 10


Kwa mantiki hii, Mungu ni muuaji mkubwa sana. Anachojali ni kuogopwa tu. Ni mkatili na ana tabia za psychopaths.


Mungu ni dikteta, character yake ni kama ya wakina Adolf Hitler au wale drug lords wa cartels za Amerika ya kusini.


Anyways, ni fiction tu. Waamini msijenge chuki. Twajua hata ninyi hamumpendi Mungu, ni hofu tu imewatawala, mnaogopa kuchomwa moto.​

Siku njema mkiendelea kutafakari ukatili wa Mungu wa Yakobo.
Je na wale wanaojilipua mabomu kwa jina la Mungu wao?
 
Ndugu WanaJF,

Mungu ni muuaji ambaye amefanya mauaji ya halaiki mara kwa mara na wote tumeyasoma kwenye simulizi za biblia.

Pamoja na hivyo, bado shetani analaumiwa zaidi kwa kudaiwa kusababisha mauaji, magonjwa na mambo ya hivyo yasiyompendeza binadamu.


Tutumie agano la kale kujionea wenyewe jinsi huyu mungu mwenye 'huruma' alivyowatenda wanadamu.


Matukio Ambapo Mungu Aliua Watu Katika Agano la Kale


1. Gharika – Idadi ya vifo: Haijulikani, inakadiriwa 1,000,000+


Rejea: Mwanzo 6:5-7


“BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani, na kwamba kila kusudi analoliwaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. BWANA akasema, Nitamfuta mwanadamu, niliyemuumba, usoni pa nchi; mwanadamu, na mnyama, na kitambaacho, na ndege wa angani; maana, najutia ya kwamba nimewafanya.”




2. Uharibifu wa Sodoma na Gomora – Idadi ya vifo: 1,000

Rejea: Mwanzo 19:24-25

“Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka mbinguni kwa BWANA; akaangusha miji hiyo, na Bonde lote, na wote waliokaa katika miji hiyo, na yote yaliyomea katika nchi ile.”

3. Mke wa Lutu – Mtu 1

Rejea: Mwanzo 19:26
“Lakini mkewe Lutu akaangalia nyuma akawa nguzo ya chumvi.”


4. Mapigo ya Misri – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 50,000

Rejea: Kutoka 12:29-30
“Ikawa usiku wa manane, BWANA akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri, tangu mwana wa kwanza wa Farao aketiye juu ya kiti chake cha enzi, hata mwana wa kwanza wa mfungwa aliyekuwa gerezani; na wazaliwa wote wa kwanza wa wanyama. Farao akaondoka usiku huo, yeye na watumwa wake wote, na Wamisri wote; kukawa na kilio kikuu katika Misri, maana hapakuwa na nyumba pasipokuwa na maiti.”

5. Kisa cha Ndama wa Dhahabu – Watu 3,000

Rejea: Kutoka 32:27-28
“Akaawaambia, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Kila mtu na ajifunge upanga wake pajani mwake; mpitieni na kuupitia marago toka lango hili mpaka lango lile, kila mtu amwue ndugu yake, na rafiki yake, na jirani yake. Wana wa Lawi wakafanya kama vile Musa alivyosema; wakaanguka watu kama elfu tatu siku ile.”

6. Uasi wa Kora – Watu 14,950

Rejea: Hesabu 16:31-35, 49
"Ikawa, alipokwisha kusema maneno hayo yote, nchi ikapasuka iliyo chini yao; nchi ikafunua kinywa chake, na kuwameza, na nyumba zao, na watu wote waliokuwa wa Kora, na vyombo vyao vyote. Wakatumbukia ndani ya shimo, wao na wote waliokuwa nao hai, nchi ikawafunikiza, wakapotea katika mkutano.”


“Nao waliokufa kwa ile tauni walikuwa watu kumi na nne elfu na mia saba, zaidi ya wale waliokufa kwa sababu ya Kora.”


7. Malalamiko Katika Jangwa – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 100

Rejea: Hesabu 11:1-3
“Watu walikuwa kama wanaonung’unika kwa ajili ya mabaya masikioni mwa BWANA; BWANA akasikia, hasira zake zikawaka, moto wa BWANA ukawaka kati yao, ukateketeza katika mipaka ya marago.”


8. Tauni kwa Kulalamikia Mana – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 500

Rejea: Hesabu 11:33-34
“Kama nyama ilikuwa bado kati ya meno yao, kabla haijatafunwa, hasira za BWANA zikawaka juu ya watu, BWANA akawapiga watu kwa mapigo makuu sana. Kwakuo walipaita pale Kibroth-Hataava, kwa sababu hapo ndipo walipowazika watu waliokuwa na tamaa.”


9. Adhabu kwa Kuabudu Baali-Peori – Watu 24,000

Rejea: Hesabu 25:9
“Nao waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa ishirini na nne elfu.”


10. Nyoka Wenye Moto – Idadi ya vifo: Inakadiriwa 200

Rejea: Hesabu 21:6
“BWANA akatuma nyoka za moto kati ya watu, wakawauma; wakaanguka watu wengi katika Israeli.”

11. Adhabu kwa Sababu ya Sensa – Watu 70,000

Rejea: 2 Samweli 24:15

“Basi BWANA akaleta tauni katika Israeli tangu asubuhi hata wakati ulioagizwa; wakafa watu sabini elfu miongoni mwa watu toka Dani mpaka Beer-Sheba.”

Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Mungu: Inakadiriwa 1,100,000+

-
Vifo vilivyosababishwa na Shetani Katika Agano la Kale


1. Watoto wa Ayubu – Watu 10

Rejea: Ayubu 1:18-19


“Alipokuwa bado akinena, akaja mwingine, akasema, Wana wako na binti zako walikuwa wakila na kunywa divai katika nyumba ya ndugu yao mkubwa; kumbe, upepo mkubwa ukatoka upande wa jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, ikaanguka juu ya hao vijana, nao wamekufa; nami peke yangu nimepona ili nikuambie.”


Jumla ya Vifo Vilivyosababishwa na Shetani: 10


Kwa mantiki hii, Mungu ni muuaji mkubwa sana. Anachojali ni kuogopwa tu. Ni mkatili na ana tabia za psychopaths.


Mungu ni dikteta, character yake ni kama ya wakina Adolf Hitler au wale drug lords wa cartels za Amerika ya kusini.


Anyways, ni fiction tu. Waamini msijenge chuki. Twajua hata ninyi hamumpendi Mungu, ni hofu tu imewatawala, mnaogopa kuchomwa moto.​

Siku njema mkiendelea kutafakari ukatili wa Mungu wa Yakobo.
Jamaa analalamika kwa tunda moja yeye ndiye mbaya kuliko aliyeuwa mamilioni.
 

Attachments

  • FB_IMG_1727314031800.jpg
    FB_IMG_1727314031800.jpg
    84.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom