Mungu, nakuomba uwaamshe Watanzania kutoka usingizini

Mungu, nakuomba uwaamshe Watanzania kutoka usingizini

Hakuna Mungu wa hivyo. Mungu aliyepo ni yule tu ambaye unamuomba akupe ridhiki wewe. Yule wa kutaka mtu mwingine aharibikiwe ni Shetani tu.

Tanzania haiwezi kuharibikiwa kwa maombi ya mtu ambaye hajishughulishi anataka aletewe tu. Wewe mtoa mada tafuta shughuli ya ki-uchumi na ifanye acha ujinga
Wewe hata "TOZO" huzijui, ndiyo maana hujui unacho andika humu.
 
Back
Top Bottom