Mungu Ndiye Anayejua Atakayempokea Urais Rais Samia 2030

Sina sababu ya kuendelea kubishana na wewe maana nimeshaona akili yako imelegea mahali na unahitaji kuwa hospitali kuu ya akili pale Mirembe Dodoma ,upate matibabu bure kabisa pasipo malipo kwa afya ya akili yako.
Wewe na yule bibi ako mkome!! Mirembe wakupeleke kwanza wewe unaesifia ovyo! Wewe ni hasara kubwa!
 
Nenda shambani ukalime. Acha kujipendekeza kwa wasiokutaka
Mtoto wa kiume unakua fala ivi wewe ni hovyo kabsa
 
Naona mnampangia Mungu nini anatakiwa kufanya!
 
Wewe na yule bibi ako mkome!! Mirembe wakupeleke kwanza wewe unaesifia ovyo! Wewe ni hasara kubwa!
Wewe ndiye unapaswa kwenda kumalizia matibabu yako pale Mirembe.Sasa wewe umetoka kabla ya kumalizia matibabu na kujiona umepona wakati watu wanajuwa bado hujapona vizuri
 
Nenda shambani ukalime. Acha kujipendekeza kwa wasiokutaka
Mtoto wa kiume unakua fala ivi wewe ni hovyo kabsa
Hakuna anayejipendekeza hapa .mimi naandika ukweli ambao naona unakuchoma sana.
 
Mkuu

HUWA natamani nikuchape viboko vingi sana !sema sikuoni tu!!

Unakera sana!
 
Ubarikiwe Sana na Uwe na Maisha marefu yenye Heri na Baraka.
Lucas wew umekuwa mtu mjinga Sana mama enu Ana usa bandari alfu kila siku kukah hapa kuja kumsifiaa

Acha ujinga laiti ungejuwa arhari za ule mkataba Sasa HV ungekuta una boromosha matus kwa Samia na genge lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…