Mungu ndiye shetani(?)

Afrika Tena nawakati Ethiopian wanamfahamu tokea miaka hiyo ya before Christ (B.C) kwa hiyo Ethiopian haipo Africa
Ni Waafrika wangapi kipindi hicho walikuwa wakristo?
Mwaka 1400 ni watanzania wangapi walikuwa wakristo?
Mnaona Ukristo kama ndio imani universal vile wakati imekuja tu juzi,
 
Nimefanya ushenzi sana humu duniani ila sikawahi kumkufuru Mungu
Najua Munguu na ni mwingi wa rehema utanisamehe dhambi zangu.
Tenda jambo kwa huyu mtoa mada ehee Mungu nakuomba
....najua Mungu ni mwingi wa rehema utanisamehe dhambi zangu.

Ishia hapo, itapendeza.
 
Jamaa mmoja aliwaita watu kadhaa kutoka mataifa tofauti na Kila mmoja alimtaka ataje jina la Mungu wake...ikawa Kila mmoja akataja jina tofauti na basi mzozo ukaibuka miongoni mwao...Kila mmoja akisema kuwa jina la Mungu wake ndilo sahihi...wakati hayo yakiendelea chizi mmoja alikuwa akipita maeneo hayo na mara yule jamaa akamuuliza: " na wewe Mungu wako ni yupi" . Yule chizi bila kusema neno alinyoosha kidole kuelekea Jua....na Kisha akaondoka. Basi wale waliobaki walicheka sana...
It is a characteristic of a great mind to entertain a thought without accepting it.
 
Mawazo yake hayachunguziki, akili zake sio kama za kwetu.
 
Huu ni mfano mbaya
 
Umeandika pumba tupu hapa.
Pointless.
 
Ni Waafrika wangapi kipindi hicho walikuwa wakristo?
Mwaka 1400 ni watanzania wangapi walikuwa wakristo?
Mnaona Ukristo kama ndio imani universal vile wakati imekuja tu juzi,
Even kwenye agano la kale Ethiopian au kush wametajwa na wametoa baadhi ya watumish wa Mungu huyu Mungu ambaye unamtuhumu ameletwa na wazungu, ndo maana hata Leo Ethiopia ni nchi yenye wakristo wengi
 
Shetani yuko kama malaya, tangu lini malaya wa kujiuza akawa na wivu?
 
Usisahau mleta uzi ni J Makamba mlamba asali amevimbiwa na kukufuru
 
Hakika kungekuwa na Mungu, mateso hayangekuwapo, ni shetani kabeba ulimwengu akitaka umsujudu ili mambo yako yanyooke. Chunguza walionyoosha maisha yao wanafanya nini, hata kama anajiita mlokole.
 
Umeandika pumba tupu hapa.
Pointless.
Leta pointi zako achana na Pointless na Pumba za watu Wengine halafu unasema unamwamini Mungu.

Nyie ndio waumini Uchwara wanaopotosha maandiko Kwa uelewa MDOGO Wa maneno. Jadili mambo Kwa uelewa mpana kitabu Chako unachokisoma hakina majibu ya mambo Yote yanayoulizwa Kwa Ujumla wake.
Mfano Majibu ya sayansi hayajibiwi kirahisi rahisi. Serikali za kidunia zinafanya KAZI ya Mungu au Hilo huamini ? unafikiri KAZI ya mungu ni kushika vitambaa tu na Chumvi na mafuta ya upako Wa waonyesha mazingambwe?
 
Siku ukimjua Mungu ni nani, huyo hatakuwa Mungu tena...
 
Msitoe povu sana...jibuni hoja...mnaweza mkakasirikiana bure...kumbe Mungu na Shetani huwa wanakutana na kupiga stori, mfano kama mwanzoni mwa kitabu cha Ayubu...Truth is born out of an argument.
Kama vile Samia na mbowe[emoji1787]
 
Inshort: ajibu hoja,aache Mbambamba[emoji28]
 
Tatzo lenu hamujibu hoja za mleta
Mi sio mleta uzi,ukinishambulia sikuelewi[emoji4]
 
Ha ha ha....
 
Ngumu kumeza[emoji28]
 
Mitume wa mungu kina daudi,yakobo, Suleiman n.k wote walizini ila mungu bado akawa upande wao.

Imekaaje hii unaposema shetan ndo baba wa uzinzi[emoji848]
 
Wachina walijitambua mapema sana
ndo maana wanapata maendeleo kwa Kasi sana na kufanya Yale tuliyozani kwa uwezo wao yasingewezekana

Hizi Islamic& Christianity zimetulemaza Sana waafrika na ndo tools za kutufanya tuzid kuamaskini forever.

Rejea yanayoendelea nyumba za ibada,
Ni michango michango Kwenda mbele.
Watu hawafanyi kazi siku nzima wanasali

Kwa mwendo huu,
Taifa linasongaje mbele Sasa, tujitafakari[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…