Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

Doktori,,hakika hizi ni habar za faraja kwetu sisi wanajf,,Mungu azidi kukupigania

Na pole sana kwa unyanyapaa pamoja na kutengwa na watu wako wa karibu

Maisha lazima yasonge mbele,naamini ipo siku na tunataka siku ifike utuambie you are back kwa asilimia mia

Pamoja sana
Asante Sanaa mkuu
 
Pole sana kiongozi ila sisi ma atheists tunashangaa unavyosema unamshukuru Mungu kama vile yeye alichagua uvunjike mguu.
Kama alikuwepo huyo Mungu aliruhusu vipi hiyo ajali itokee?
Haya mambo haya mpaka yakukute MKUU..

Hii dunia Ina science 🧪 zake za asili unaweza uka bisha Ila ukawa hauna ufahamu

Kasome
EZEKIEL 5:1
 
pole sana mkuu, Ukiachana na mistakes ambazo sometimes huwa tunazifanya kwenye maisha yetu kwa kujua/kutokujua so God may use to punish us mara nyingi huwa ni spiritual battle ambayo makusudi yake huwa ni mawili tu KUKUUA au KUKATIZA KUSUDI LA MAISHA YAKO na mara nyingi huwa inatokea either kwenye mambo ya kazi (Vyeo) au mahusiano ( ndugu wa mtu uliyenaye kwenye mahusiano kutokukuridhia au mchakato wa kutaka kuoa/kuolewa).

Ila kwa kuwa upo hai ni ishara inayoonesha God still loves you
Cha kwanza angalia kama kuna kajisehemu uliteleza then talk to God and correct it kwasababu we re not completed by human kind.
Cha pili Be strong as a MAN and faith High ili upone haraka even though bone healing takes time but al least utaweza kuendelea na shughuli ndogondogo
Cha tatu kula vizuri, tumia dawa inavotakiwa na ibada kwa sana i believe utakaa sawa ila ukipona USIMUACHE MUNGU.

Nimezungumza by Experience not just thoughts.
Hii ilikua moja ya comment touching Sanaa...Kuna muda nilijiuliza Kama ntakuja kutembea TENAA..

Asanteni kwa Dua zenu naendelea vyema nazidi ku imarika day after day..
 
Siku ya Leo last year ilianza vyema nikaingia mishe mishe vizuri kurudi Ila sikurudi nyumbani Tena nikawa mtu wa hospital..
Sina kawaida ya kulala out na nyumbani.
Siku iyo niliahidi kuwai nyumbani kumsaidia wife kupika na shughuli ndogo ndogo maana alikua MJAMZITO.

Muda mwingi moyo ulikua na pressure ya juu nikipimwa pressure ilikua juu Sana mpaka kuwaogopesha madaktari..

Bro alimpigia simu wife wangu kamwambia nimepata ajari Ila tunarud nyumbani Ila baadae aka ambiwa nimeambiwa nipumzike..

Tulichati mpaka usiku Sana..kesho alikuja Kuni visit hospital akakuta nimesha fungwa muhogo na sikua najiweza kwa chochote... akaniambia UMENIDANGANYA kumbe umeumia Sanaa...huku tabasamu na machozi kwa pamoja vikimtoka.

Nashukuru memba wote ambao mlikua faraja kwangu kwenye kipindi kigumu na kizito nilicho pitia.

Asante kwa ndugu Intelligent businessman kwa kunijulia Hali Mara kwa Mara niliiona roho/ moyo wa pekee nafsi ya ajabu kwa mtu asiye mfahamu kumjali Kama ndugu kwake..

Nawasiliana wote humu nyumbani JF mbalikiwe woteeee kwa upendo wenu wa ki pekee
 
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF

Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye.

Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto.

Dua ZENU wadau ndio ivyo mwenzenu nipo kitandani muda huu

Skin trankction hapa inaniuma balaa it's first time kuwekewa urine catheter.

Japo Mimi ni mdau wa afya MWANDAMIZI nimekamatika wakuu usiombe yakukute kuna muda na lia nikifikilia

Leo ndio day one kwenye safari yangu hii ya kutibu kuvunjika miguu.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
POLE SANA AISEE , MUNGU AZIDI KUKUPA UPONYAJI WA HARAKA!!!! JAMAA ZANGU WA BODA BODA NA HATA MADEREVA WA MAGARI TUWE MAKINI NA KUVUMILIANA MU BARABARA.
 
Hii ilikua moja ya comment touching Sanaa...Kuna muda nilijiuliza Kama ntakuja kutembea TENAA..

Asanteni kwa Dua zenu naendelea vyema nazidi ku imarika day after day

Hii ilikua moja ya comment touching Sanaa...Kuna muda nilijiuliza Kama ntakuja kutembea TENAA..

Asanteni kwa Dua zenu naendelea vyema nazidi ku imarika day after day..
MUNGU ni MWEMA
 
Mleta uzi umesema ni mtu wa afya so unashuhudia deaths and the worst condition unaweza kuukuta mwili wa binadamu yet hii ishu ilikugusa to the max.

Pole sana mkuu
 
POLE SANA AISEE , MUNGU AZIDI KUKUPA UPONYAJI WA HARAKA!!!! JAMAA ZANGU WA BODA BODA NA HATA MADEREVA WA MAGARI TUWE MAKINI NA KUVUMILIANA MU BARABARA.
True true....kuamka asubuh salama na kurudi nyumbani salama ni Jambo la kumshukuru MUNGU.
 
Mleta uzi umesema ni mtu wa afya so unashuhudia deaths and the worst condition unaweza kuukuta mwili wa binadamu yet hii ishu ilikugusa to the max.

Pole sana mkuu
Nilikua najidanganya ajari ni za watu wengine..aisee hakuna binadamu special ajar hazichagui zinawachukuaga hata mwenye taadhari

Ilikua safari ngumu Sana kwenye Maisha yangu... mwenyezi Mungu ni mwema.

Labda pengine nisinge kua hai muda huu..
 
Back
Top Bottom