Mungu ni mwema, nimefanikiwa kupata mume

Nilijaribu kuomba uhamisho ilishindikana mkuu,yeye kuja kwangu alikataa alisema mishe za hela zipo dar
Pole mpnz, ni dhahiri hakukupenda au alkua na shida tofauti. All ain all Mungu hutenda kwa wakati wake. Wakati wako utafika.
 
Kumbe uliolewaga weye
 
Hongera dear!hatimae sio single mom tena u have a family now..congrats kipenz may GOD bless u and your family be a good mom take care,respect u hubby and children well wish u all da best in your marriage mammie.
Kweli ndoa nyoko pamoja na vingereza vingi lakini wapi...🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 

Du hicho kimombo balaa! Bora ungeandika kiswahili hadi mwisho!
 
Asante sana,kukurupuka kuliniponza
Ulikurupuka kiaje wakati ulisema kuwa no mater how many hit and run unakutana nao never be discouraged? So inamaanisha ulikuwa tayari na uzoefu tosha wa wanaume
 
Ulikurupuka kiaje wakati ulisema kuwa no mater how many hit and run unakutana nao never be discouraged? So inamaanisha ulikuwa tayari na uzoefu tosha wa wanaume
Yeah,sure
 
Asante sana,kukurupuka kuliniponza
Hapana ulitimiza wajibu km mwanamke ila yeye hakuona umuhimu. Ila nikwambie kitu utasahau na kujiuliza kwanini yule pale utakapopata mtu sahihi.Nakuombea sana sana MUNGU HASHINDWI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…