Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuolewa tena kaka? Japo nduguze waliniambia ivo pia lakini mi nishakata tamaa...nimeichukia hii hali..siwezHapana ulitimiza wajibu km mwanamke ila yeye hakuona umuhimu. Ila nikwambie kitu utasahau na kujiuliza kwanini yule pale utakapopata mtu sahihi.Nakuombea sana sana MUNGU HASHINDWI
Sasa sii anahitaji wakupelekea moto mbususuYote maisha tu...fanya mishe zako tu mrembo wa Nzovwe/Mbalizi
Sasa sii anahitaji wakupelekea moto mbususu
🤣🤣🤣🤣Wee besty bwana najua wee haunaga kujivunga ikija mambo ya mbususu yako kupelekewa moto...nitumai ile ofa yangu bado ipoTulia
Tena umeona tako hilo kwenye avatar yake....yaani style pendwa ya msomali kafiankwenye fiata inapendeza kweli kweliMchizi wako huyo wa msomali kafanya nini sijui kwenye fiat...
Sema naye vizuri
Yaani mie nahamiankabisa huko mbeya...na tena wakati huu na hii baridi naona kazi itakuwa moja tuu....kupelekeana motoAisee
Wee bwana ndoa itadumu vipi wakati watu tunaoana tukiwa tayari used products....kilanmtu ana ma ex wasiooungua kumipole
pengine alikuwa ni mume wa mtu tyr.
ila hizi ndoa hizi, ikidumu ndani ya miaka 5 mkatoe sadaka
Eeh guest tenaHuenda,maana kuna siku nilijifunga kwenda dar,akanifikishia gesti.Pale ndo nilikangaza ndoa kunishinda
Hongera sanaHabari ndugu zangu,
Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.
Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.
Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.
Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.
NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.
Mbarikiwe sana wana JF.
Labda nijaribu kwako uje uniokoe mremboHivi umewahi jaribu kuingia kwenye wokovu?