Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii itakua mwendo kasi, express Gerezani terminal to Kimara terminalsamahan !nakumbuka ni mwaka huu huu ulikuwa unatafta mume !umekaa naye muda gan kwenye mahusiano !kama hutajali lakini nijibu !au km vipi potezea !
kila la heri
Nilikuwa sijakupata mpaka MBITIYAZA aliposahihisha, ila all the bests katika maisha ya ndoaHahaaa,nishamwelewesha mkuu
Hii itakua mwendo kasi, express Gerezani terminal to Kimara terminal
MBITIYAZA,love is not time love is love.kikubwa tuvumiliane coz wapo walochunguzana miaka na miaka na ndoa zao hazipo tena.B blessedsamahan !nakumbuka ni mwaka huu huu ulikuwa unatafta mume !umekaa naye muda gan kwenye mahusiano !kama hutajali lakini nijibu !au km vipi potezea !
kila la heri
MBITIYAZA,love is not time love is love.kikubwa tuvumiliane coz wapo walochunguzana miaka na miaka na ndoa zao hazipo tena.B blessed
Naomba umshauri waende kanisani wakafunge ndoa ili wapate baraka zake aliyeagiza ndoa takatifuahahhaha namkumbuka sana afu alikujha kwa mwamvuli wa rafik km sikosei !anywsy yote heri
Karibu mkuu, jamaa yeye siyo single father?Asante sana mkuu
Naomba umshauri waende kanisani wakafunge ndoa ili wapate baraka zake aliyeagiza ndoa takatifu
Hahaha, basi utabaki uchumba tuu, ndoa ni mpaka ifungwe kwa utaratibu unaotambulikaah hamna hivyo hvyo bwana wee ! kwan sh ngap
yule alikuwa ni rafiki yangu mkuu,kama unanikumbuka kweli basi soma na thread zangu zote
Hahaha, basi utabaki uchumba tuu, ndoa ni mpaka ifungwe kwa utaratibu unaotambulika