Uliomba nini ukapewa..ngachihio iwona Irina lyafyo!!Hongera sana Mwl mwenzangu, wiki yote hii nimejitolea kukushikia vipindi ukiwa fungate.[emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliomba nini ukapewa..ngachihio iwona Irina lyafyo!!Hongera sana Mwl mwenzangu, wiki yote hii nimejitolea kukushikia vipindi ukiwa fungate.[emoji12]
Kalibu ktk Changamoto na Fulsa nyingineHabari ndugu zangu,
Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.
Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.
Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.
Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.
NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.
Mbarikiwe sana wana JF.
[emoji23] apoteze vipi sasa.!! acha akujibu tu labda tutapata somo.samahan !nakumbuka ni mwaka huu huu ulikuwa unatafta mume !umekaa naye muda gan kwenye mahusiano !kama hutajali lakini nijibu !au km vipi potezea !
kila la heri
Mahari alijilipia mwenyewe mume alipeleka tu!Ndoa bado unamuita mume?
[emoji23] apoteze vipi sasa.!! acha akujibu tu labda tutapata somo.
Kupenda au kupendwa??![emoji32][emoji32][emoji32].......mwanamke kuanza kupenda yeye ni kiherehere ambacho hasara yake ni kubwa sana!!!hiv hao single mom hawana haki ya kupenda?
Ahsante kwa taarifa na ushauri.Habari ndugu zangu,
Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.
Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.
Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.
Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.
NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.
Mbarikiwe sana wana JF.
Kupenda au kupendwa??![emoji32][emoji32][emoji32].......mwanamke kuanza kupenda yeye ni kiherehere ambacho hasara yake ni kubwa sana!!!
Habari ndugu zangu,
Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.
Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.
Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.
Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.
NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.
Mbarikiwe sana wana JF.
nakushauri funga ndoa, usipofunga ndoa mtachokana na yeyote kati yenu hatakuwa na kizuizi kufunga ndoa na mtu mwingine. kumbuka kisheria uhawara (kama huo wenu) hautambuliki kama ni ndoa. na hata presumption of marriage (kama mmekaa pamoja miaka miwili na zaidi watu wakijua ni wanandoa) huja tu kukoa maslahi ya upande unaoonewa lakini generally muunganiko wowote hautambuliki kama ni ndoa hapa tz kama haujafunga na kupata certificate of marriage. hii ina maana kwamba, hata mmeo akifa sasaivi, utahangaika sana kugomboa mali mlizochuma pamoja, mkiachana itakusumbua sana kupata haki zako, hata kama unampenda siku akiamka vibaya au akiwekewa limbwata huko nje au hata kunenguliwa vizuri na mchepuko akaamua kukubwaga, hautakuwa na sababu ya kupinga kwasababu hamjaoana kisheria. mbumbumbu kaalaga baho!Habari ndugu zangu,
Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.
Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.
Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.
Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.
NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.
Mbarikiwe sana wana JF.
Hongera saana sana dada, kila la heri katika ndoa yakoHabari ndugu zangu,
Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.
Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.
Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.
Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.
NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.
Mbarikiwe sana wana JF.