Mungu ni mwema, nimefanikiwa kupata mume

Hongera sana. Mungu awabariki,lakini ya kwangu naomba tu Mungu niwachezeshe na mimi watu kwaito. Maana nacheza sana za watu
 
Hongera sana kwa kupata haja ya moyo wako dear
 
Asante kwa ushauri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…