Mungu ni mwema watoto wangu ninao mimi sasa

Mungu ni mwema watoto wangu ninao mimi sasa

Hongera sana na pole Kwa Changamoto ulizokutana nazo. Hapo ndo umekuwa mwanaume kamili. Kuna kitu naona kama si kizuri ulichofanya kwenye kumuachia nyumba. Hiyo uliofanya ni laana maana mbeleni huko lazima atauza na kurudi zero Kisha kuomba msamaha. Ni heri kesi iende Mahakamani tu Ili mgawane then Kila mtu afe na chake wewe ukiendelea kuwekeza Kwa watoto. Tena kitendo Cha wewe kuchukua watoto ndo umempa uhuru kabisa wa kufanya anachotaka. Ni heri ungemwachia watoto hapo akili ingemkaa na kuona nyumba Mali ya watoto. Anyway kuanza upya napo si mbaya Mungu ndo mtoaji kama alikubariki wkt ule hata Sasa atakupigania. Ongera.
 
Na hizi ndio NDOA ZENU.
🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

#YNWA
 
Mbaya zaid ukute ata sio wako
Ni copy right, mimi sinaga ujinga na wanawake simuamini mwana mke kuhusu kunibabikiza mtoto, siku za mimba na zisimamia mwanzo kuanzia tarehe ya saba tangu aingie hedhi hadi siku ya 15. Sitoki nyumbani hizo siku mpaka nikikishe amenasa mimba au la.
 
Back
Top Bottom