Quaresma Fai
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 590
- 630
Kwani una mchumba?Wanaonitakia mema wajibu amen!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani una mchumba?Wanaonitakia mema wajibu amen!
Naskia kuna nyomi sana hapo.nipo
nipo Dsm Kigamboni hapa mikadi... Blood
Am here nicheck in boxWanaonitakia mema wajibu amen!
Ila usiwe na maneno mingiWanaonitakia mema wajibu amen!
[emoji57][emoji57][emoji57]Usipoteze muda njoo PM sawa ? nakupa dkk 5 kabla sijabadili maamuzi.
[emoji57][emoji57][emoji57]njoo uwe mke wangu, tayari maombi yako yamejibiwa
sijaenda nipo home..... Naishi karibu na maeneo hayo...Naskia kuna nyomi sana hapo.
wangapi munaohitaji?Ungeweka cv yako ya kutaka mume ingependeza sana, isije ikawa una watoto debe, ni single mother sugu, useme una elimu gani, unafanya kazi gani, una umri gani, una dini na imani gani, ni mweusi au mweupe, si vibaya ukitaja kabila lako. Tunaohitaji mke tutajipima kuona kama tunakufaa
tuko wengi tunahitajiwangapi munaohitaji?
Sala zako zitajibiwa mwaka huu. Lakini wakati unamsubiria Mungu kujibu sala zako na wewe fanya upelelezi wa kinafsiya. Jiulize: Ni kweli niko tayari kuwa mke mwema kwa mwanaume wa ndoto zangu? Ni nini kitakachomfanya mwanaume aje kwangu na kunitaka niwe mke wake na mama wa watoto wake? What do I have to offer apart from my pussy? Ni kweli niko tayari kuwa mke mwema? Kuolewa ni uamuzi sahihi kwangu katika kipindi hiki cha maisha yangu? Nataka mume wa aina gani? Niko tayari kuwa mama bora kwa watoto wangu? Je, nina tabia zo zote mbaya ambazo pengine mpaka wakati huu zimekuwa zikiwafukuza wanaume wote wanaokuja kwangu (mf. Ujuaji mwingi, kutoambilika, ego, feminist uchwara n.k)? Niko tayari kuziacha tabia hizo? Na mengineyo...Wanaonitakia mema wajibu amen!
😅😅😅😅Usipoteze muda njoo PM sawa ? nakupa dkk 5 kabla sijabadili maamuzi.
😅😅😅😅😅Nangoja kwanza ulipe ada ya huyo mtoto wako ndo nikuombe namba
Komredi kama hujaoa kamata hilo jimbo.ni muhim sana kujiepusha na maringo, kiburi na kuchagua wanaume kupita kiasi.
mshirikishe Mungu katika kila hatua unapoelekea kuifikia haja ya moyo wako.
usijifungie sana ndani, toka na utafute kule ambako wanaume wapo.
Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuambatana nawe daima2025 🐒