kingunge wa jf
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 464
- 447
Naona limoyo lako limemdondokea Butogwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK sawa ngoja nikwambie kitu Kama dogo langu la kiume.
#mwanamke aliliwi hadharani hivyo unajua kwann wengine hawapendi publicity unaweza kumpoteza moja kwa moja na hakakuona mshambaa sana.
#Hata Kama anapenda unajua akiwa na wewe kitatokea nn..!
atakuwa anakupeleka kishezi maana anajua umedata kwake siyo yeye aliyedata in short mwanamke usimuoneshe direct kuwa umekufa kuoza kuwa mgumu (ugumu wa kiumee).
#mwanmke abembelezwi kupitiliza anawindwa kimya kimya mnamaliza huko kikibuma unamuweka kipolo unaendelea mbele.
#kwa huo umri na mahusiano uliyopitia ongeza juhudi Sana unajua experience make perfect Ongeza juhudi za kutongoza acha kulialia..
#Acha kuangalia movie Za kikorea na philipino hizo aziwi practical kwa mademu wa bongo.
#mwisho mchawi pesa tafuta pesa ndio mchawi wa kila kitu..
mleta mada kumbe yeye Ni Malaya wa kutupwa Farida anamtaka na butogwa anamtakaAcha tamaa najua huyo mtoto kweli ni wife material una haki lakini na moderator Farida vip? https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1569976/
OK sawa ngoja nikwambie kitu Kama dogo langu la kiume.
#mwanamke aliliwi hadharani hivyo unajua kwann wengine hawapendi publicity unaweza kumpoteza moja kwa moja na hakakuona mshambaa sana.
#Hata Kama anapenda unajua akiwa na wewe kitatokea nn..!
atakuwa anakupeleka kishezi maana anajua umedata kwake siyo yeye aliyedata in short mwanamke usimuoneshe direct kuwa umekufa kuoza kuwa mgumu (ugumu wa kiumee).
#mwanmke abembelezwi kupitiliza anawindwa kimya kimya mnamaliza huko kikibuma unamuweka kipolo unaendelea mbele.
#kwa huo umri na mahusiano uliyopitia ongeza juhudi Sana unajua experience make perfect Ongeza juhudi za kutongoza acha kulialia..
#Acha kuangalia movie Za kikorea na philipino hizo aziwi practical kwa mademu wa bongo.
#mwisho mchawi pesa tafuta pesa ndio mchawi wa kila kitu..
Sio mbaya wanaume tumeumbwa kutamani ila kila ukitamani unaanzisha uzi ipo siku unaweza kuwa serious watu wakajua ndo yaleyale.mleta mada kumbe yeye Ni Malaya wa kutupwa Farida anamtaka na butogwa anamtaka
Ni kweli ina gharama kwenye maisha hata siku ukiwa serious watu wanakuona tapeliSio mbaya wanaume tumeumbwa kutamani ila kila ukitamani unaanzisha uzi ipo siku unaweza kuwa serious watu wakajua ndo yaleyale.
Shule,kanisani,kazini nk hakuna mtu aweza kubali kuolewa na mtu ambaye yeye hamjui na yeye hamjui hizo zinaitwa internet marriage za scamSawa mkuu wewe unazan kumuoa mtu hadi uwe unaish naye mtaa mmoja? Au mnasoma shule moja?
Anafanana na demu wangu mmoja wa O'level.
Mleta mada Ni kidume Cha mjini kitapeli kula kulala kwa wazaziVyuma naona vimekaza.