Mungu nisaidie bado nina ndoto za kumuoa Butogwa Shija

Mungu nisaidie bado nina ndoto za kumuoa Butogwa Shija

Dah aisee
OK sawa ngoja nikwambie kitu Kama dogo langu la kiume.
#mwanamke aliliwi hadharani hivyo unajua kwann wengine hawapendi publicity unaweza kumpoteza moja kwa moja na hakakuona mshambaa sana.

#Hata Kama anapenda unajua akiwa na wewe kitatokea nn..!
atakuwa anakupeleka kishezi maana anajua umedata kwake siyo yeye aliyedata in short mwanamke usimuoneshe direct kuwa umekufa kuoza kuwa mgumu (ugumu wa kiumee).
#mwanmke abembelezwi kupitiliza anawindwa kimya kimya mnamaliza huko kikibuma unamuweka kipolo unaendelea mbele.

#kwa huo umri na mahusiano uliyopitia ongeza juhudi Sana unajua experience make perfect Ongeza juhudi za kutongoza acha kulialia..

#Acha kuangalia movie Za kikorea na philipino hizo aziwi practical kwa mademu wa bongo.

#mwisho mchawi pesa tafuta pesa ndio mchawi wa kila kitu..
 
Hongera kaka. Kwa kumshauri dogo. Kuna balehe za uzeeni
OK sawa ngoja nikwambie kitu Kama dogo langu la kiume.
#mwanamke aliliwi hadharani hivyo unajua kwann wengine hawapendi publicity unaweza kumpoteza moja kwa moja na hakakuona mshambaa sana.

#Hata Kama anapenda unajua akiwa na wewe kitatokea nn..!
atakuwa anakupeleka kishezi maana anajua umedata kwake siyo yeye aliyedata in short mwanamke usimuoneshe direct kuwa umekufa kuoza kuwa mgumu (ugumu wa kiumee).
#mwanmke abembelezwi kupitiliza anawindwa kimya kimya mnamaliza huko kikibuma unamuweka kipolo unaendelea mbele.

#kwa huo umri na mahusiano uliyopitia ongeza juhudi Sana unajua experience make perfect Ongeza juhudi za kutongoza acha kulialia..

#Acha kuangalia movie Za kikorea na philipino hizo aziwi practical kwa mademu wa bongo.

#mwisho mchawi pesa tafuta pesa ndio mchawi wa kila kitu..
 
Sio mbaya wanaume tumeumbwa kutamani ila kila ukitamani unaanzisha uzi ipo siku unaweza kuwa serious watu wakajua ndo yaleyale.
Ni kweli ina gharama kwenye maisha hata siku ukiwa serious watu wanakuona tapeli
 
Sawa mkuu wewe unazan kumuoa mtu hadi uwe unaish naye mtaa mmoja? Au mnasoma shule moja?
Shule,kanisani,kazini nk hakuna mtu aweza kubali kuolewa na mtu ambaye yeye hamjui na yeye hamjui hizo zinaitwa internet marriage za scam
 
Vyuma naona vimekaza.
Mleta mada Ni kidume Cha mjini kitapeli kula kulala kwa wazazi
Kinatafuta Wanawake wenye kazi wa kumlea na kumuweka kinyumba!!! Hakipati mtu.Vidume koko Kama mleta mada baada ya vyuma kukaza huwinda Wanawake wenye kazi au biashara vipate pa kupumlia.Kidume tafuta Cha kufanya iwe umachinga au kibarua Cha kubeba nzege au mizigo masokoni.Internet hutapata mwanamke wa kumtapeli kuoa.Mleta mada pambana na Hali yako
 
Back
Top Bottom