Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umemuweka picha zake hapa na yeye anasubiri za kwako azione ndio muanzie hapo.Aman iwe juu yenu wakuu wa jukwaa hili
Kama kichwa cha cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nishawahi kuleta uzi hapa nikielezea kwa masikitiko makubwa sana ni kwa namna gani namzimikia butogwa, watu waliniponda sana na kudai kuwa nimepotea njia kwa kuwa demu ana sura ya baba yake ni mbaya sijui hana shep
Niliwashangaa sana walionibeza maana wao wanazani kila aliye mbaya kwao basi pia atakuwa mubaya kwa wengine,
Mimi kwangu butogwa ni wife material ni mwanamke aliye kamilika kuanzia sura, umbo urefu hadi akili
Kuna watu watasema kuwa yule dada ni msomi hivyo sitaweza lakin mimi nitawacheka kisukuma hiiiiiiii afu nitarudi kwenye mandiko ya kitabu kimoja kitakatifu cha bible ambacho kimesema ishini na wanawake kwa akili tu, kwa msitari huo wa biblia inamanisha kuwa mwanamke akikuzid urefu siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi rangi siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi kipato siyo mbaya ila kibaya tu asikuzidi akili na pia kibaya zaid ni kuwa malio hicho ndo kibaya
Mimi bado sijachoka kukupenda wewe butogwa shija mimi nakupenda sana tena upendo kutoka moyoni kabisa
Nakuhitaji sana wewe dada
Ni bora nipigwe mawe lakin si kukosa upendo wako
Ni ukweli usio na shaka ya kwamba mimi hunijui wala hujawahi kuniona lakin mimi nakupenda sana, naomba ujue hilo na kama itakupendeza bas unijue pia
Butogwa wewe ndo mwanamke ambaye niko tiar nikose chakula lakini siyo kukukosa wewe, ndo maana ninamuomba Mungu mwenyezi afanikishe katika hili
Mimi ni kijana mwenzako wa kisukuma
Nakuzimikia sana butogwa
Kwa wasiojua maana ya butogwa, BUTOGWA ni jina la kisukuma likiwa na maana ya UPENDO AU PENDO
Naomba dunia nzima inisaidie kufukikisha ujumbe huu kwa mhusika naomba hata media au blog zinisaidie sana
Naomba dunia nzima ijue kuwa nampenda huyu dada
Asanteni sana
Nawasilisha
View attachment 1193725View attachment 1193726View attachment 1193727
na **** ivyo ivyoNgoshaa
Umedata na nini hapo au huo mdomo bakuli
na **** piqNgoshaa
Umedata na nini hapo au huo mdomo bakuli
Acha tamaa najua huyo mtoto kweli ni wife material una haki lakini na moderator Farida vip? https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1569976/
Mkuu mbona umeniandama sanaMleta mada Ni kidume Cha mjini kitapeli kula kulala kwa wazazi
Kinatafuta Wanawake wenye kazi wa kumlea na kumuweka kinyumba!!! Hakipati mtu.Vidume koko Kama mleta mada baada ya vyuma kukaza huwinda Wanawake wenye kazi au biashara vipate pa kupumlia.Kidume tafuta Cha kufanya iwe umachinga au kibarua Cha kubeba nzege au mizigo masokoni.Internet hutapata mwanamke wa kumtapeli kuoa.Mleta mada pambana na Hali yako
Aman iwe juu yenu wakuu wa jukwaa hili
Kama kichwa cha cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nishawahi kuleta uzi hapa nikielezea kwa masikitiko makubwa sana ni kwa namna gani namzimikia butogwa, watu waliniponda sana na kudai kuwa nimepotea njia kwa kuwa demu ana sura ya baba yake ni mbaya sijui hana shep
Niliwashangaa sana walionibeza maana wao wanazani kila aliye mbaya kwao basi pia atakuwa mubaya kwa wengine,
Mimi kwangu butogwa ni wife material ni mwanamke aliye kamilika kuanzia sura, umbo urefu hadi akili
Kuna watu watasema kuwa yule dada ni msomi hivyo sitaweza lakin mimi nitawacheka kisukuma hiiiiiiii afu nitarudi kwenye mandiko ya kitabu kimoja kitakatifu cha bible ambacho kimesema ishini na wanawake kwa akili tu, kwa msitari huo wa biblia inamanisha kuwa mwanamke akikuzid urefu siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi rangi siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi kipato siyo mbaya ila kibaya tu asikuzidi akili na pia kibaya zaid ni kuwa malio hicho ndo kibaya
Mimi bado sijachoka kukupenda wewe butogwa shija mimi nakupenda sana tena upendo kutoka moyoni kabisa
Nakuhitaji sana wewe dada
Ni bora nipigwe mawe lakin si kukosa upendo wako
Ni ukweli usio na shaka ya kwamba mimi hunijui wala hujawahi kuniona lakin mimi nakupenda sana, naomba ujue hilo na kama itakupendeza bas unijue pia
Butogwa wewe ndo mwanamke ambaye niko tiar nikose chakula lakini siyo kukukosa wewe, ndo maana ninamuomba Mungu mwenyezi afanikishe katika hili
Mimi ni kijana mwenzako wa kisukuma
Nakuzimikia sana butogwa
Kwa wasiojua maana ya butogwa, BUTOGWA ni jina la kisukuma likiwa na maana ya UPENDO AU PENDO
Naomba dunia nzima inisaidie kufukikisha ujumbe huu kwa mhusika naomba hata media au blog zinisaidie sana
Naomba dunia nzima ijue kuwa nampenda huyu dada
Asanteni sana
Nawasilisha
View attachment 1193725View attachment 1193726View attachment 1193727
ni zile aina ya mashine zilizotunatuna zaitwa qummer mvimbo..Huyu anaonekana atakuwa na kitumbua kitam sana
Kwa hiyo Kwa butogwa ndo umezama kuliko kwa moderator 😂😂Siyo hivyo mkuu kwa huyu mtoto hakika niko mateka
Licha ya ivo check domo tu ilo LA kunyonya..ni zile aina ya mashine zilizotunatuna zaitwa qummer mvimbo..
Unataka kuua ndege wawili Kwa jiwe moja sio?Farida yeye ni wa pemben
Mbona unapenda Farida ana kazi huyu wa pili Buhogwa baada ya kumwacha Farida ana kazi pia mbona hukwenda kutafuta wasio na kazi ? Jamii forums Sio danguro la kuwinda Wanawake Leo uko kwa Farida Kesho kwa Buhogwa.OkMkuu mbona umeniandama sana
Kwani huyu binti ni mtoto wa nani kwa mfano na ana kazi gan hadi nimpende?
Mimi nimempenda yeye kama yeye wala siyo kazi maana hata kazi hana