Mungu nisaidie bado nina ndoto za kumuoa Butogwa Shija

Mungu nisaidie bado nina ndoto za kumuoa Butogwa Shija

OK sawa ngoja nikwambie kitu Kama dogo langu la kiume.
#mwanamke aliliwi hadharani hivyo unajua kwann wengine hawapendi publicity unaweza kumpoteza moja kwa moja na hakakuona mshambaa sana.

#Hata Kama anapenda unajua akiwa na wewe kitatokea nn..!
atakuwa anakupeleka kishezi maana anajua umedata kwake siyo yeye aliyedata in short mwanamke usimuoneshe direct kuwa umekufa kuoza kuwa mgumu (ugumu wa kiumee).
#mwanmke abembelezwi kupitiliza anawindwa kimya kimya mnamaliza huko kikibuma unamuweka kipolo unaendelea mbele.

#kwa huo umri na mahusiano uliyopitia ongeza juhudi Sana unajua experience make perfect Ongeza juhudi za kutongoza acha kulialia..

#Acha kuangalia movie Za kikorea na philipino hizo aziwi practical kwa mademu wa bongo.

#mwisho mchawi pesa tafuta pesa ndio mchawi wa kila kitu..
Umemaliza kila kitu!!
 
Mbona unapenda Farida ana kazi huyu wa pili Buhogwa baada ya kumwacha Farida ana kazi pia mbona hukwenda kutafuta wasio na kazi ? Jamii forums Sio danguro la kuwinda Wanawake Leo uko kwa Farida Kesho kwa Buhogwa.Ok
Farida ana kazi gan? Pia na huyo buhongwa ana kazi gan
 
Aman iwe juu yenu wakuu wa jukwaa hili

Kama kichwa cha cha habari kinavyosomeka hapo juu

Nishawahi kuleta uzi hapa nikielezea kwa masikitiko makubwa sana ni kwa namna gani namzimikia butogwa, watu waliniponda sana na kudai kuwa nimepotea njia kwa kuwa demu ana sura ya baba yake ni mbaya sijui hana shep

Niliwashangaa sana walionibeza maana wao wanazani kila aliye mbaya kwao basi pia atakuwa mubaya kwa wengine,

Mimi kwangu butogwa ni wife material ni mwanamke aliye kamilika kuanzia sura, umbo urefu hadi akili

Kuna watu watasema kuwa yule dada ni msomi hivyo sitaweza lakin mimi nitawacheka kisukuma hiiiiiiii afu nitarudi kwenye mandiko ya kitabu kimoja kitakatifu cha bible ambacho kimesema ishini na wanawake kwa akili tu, kwa msitari huo wa biblia inamanisha kuwa mwanamke akikuzid urefu siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi rangi siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi kipato siyo mbaya ila kibaya tu asikuzidi akili na pia kibaya zaid ni kuwa malio hicho ndo kibaya


Mimi bado sijachoka kukupenda wewe butogwa shija mimi nakupenda sana tena upendo kutoka moyoni kabisa

Nakuhitaji sana wewe dada

Ni bora nipigwe mawe lakin si kukosa upendo wako

Ni ukweli usio na shaka ya kwamba mimi hunijui wala hujawahi kuniona lakin mimi nakupenda sana, naomba ujue hilo na kama itakupendeza bas unijue pia


Butogwa wewe ndo mwanamke ambaye niko tiar nikose chakula lakini siyo kukukosa wewe, ndo maana ninamuomba Mungu mwenyezi afanikishe katika hili

Mimi ni kijana mwenzako wa kisukuma

Nakuzimikia sana butogwa

Kwa wasiojua maana ya butogwa, BUTOGWA ni jina la kisukuma likiwa na maana ya UPENDO AU PENDO


Naomba dunia nzima inisaidie kufukikisha ujumbe huu kwa mhusika naomba hata media au blog zinisaidie sana

Naomba dunia nzima ijue kuwa nampenda huyu dada


Asanteni sana

Nawasilisha



View attachment 1193725View attachment 1193726View attachment 1193727
Mbona hujaweka no. yake tukusaidie kumwelekeza. Fanya hivyo basi tumeguswa kukusaidia.
 
Mbona ni mzuri ana mdomo mzuri mnooo sijapata kuuona navutia picha french kiss lake,inshort ni mzuri sio mbaya kama watu wanavyokuaminisha pia inaonekana ni mtoto mwenye ubongo uliolelewa na sato na sangara tangu mtoto so anaonyesha ni mwenye akili

Sidhani kama hana mchumba,ila ukimpata mpe mapenzi moto moto mtoto yupo gudi
I Recomend ng'ombe 30
 
Mbona ni mzuri ana mdomo mzuri mnooo sijapata kuuona navutia picha french kiss lake,inshort ni mzuri sio mbaya kama watu wanavyokuaminisha pia inaonekana ni mtoto mwenye ubongo uliolelewa na sato na sangara tangu mtoto so anaonyesha ni mwenye akili

Sidhani kama hana mchumba,ila ukimpata mpe mapenzi moto moto mtoto yupo gudi
I Recomend ng'ombe 30
Watu wanaotaka mademu wa kupiga nao picha za kuweka Instagram hawawezi kukuelewa juu ya hili.
 
OK sawa ngoja nikwambie kitu Kama dogo langu la kiume.
#mwanamke aliliwi hadharani hivyo unajua kwann wengine hawapendi publicity unaweza kumpoteza moja kwa moja na hakakuona mshambaa sana.

#Hata Kama anapenda unajua akiwa na wewe kitatokea nn..!
atakuwa anakupeleka kishezi maana anajua umedata kwake siyo yeye aliyedata in short mwanamke usimuoneshe direct kuwa umekufa kuoza kuwa mgumu (ugumu wa kiumee).
#mwanmke abembelezwi kupitiliza anawindwa kimya kimya mnamaliza huko kikibuma unamuweka kipolo unaendelea mbele.

#kwa huo umri na mahusiano uliyopitia ongeza juhudi Sana unajua experience make perfect Ongeza juhudi za kutongoza acha kulialia..

#Acha kuangalia movie Za kikorea na philipino hizo aziwi practical kwa mademu wa bongo.

#mwisho mchawi pesa tafuta pesa ndio mchawi wa kila kitu..
Acha kumkatisha tamaa mwenzio
 
Wish you all the best nigga..Usiishie tu kuanzisha miUzi chukua hatua vinginevyo utaishia kumuona tu kwenye profile pics...















Mungu Ibariki Tanzania[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
 
Aman iwe juu yenu wakuu wa jukwaa hili

Kama kichwa cha cha habari kinavyosomeka hapo juu

Nishawahi kuleta uzi hapa nikielezea kwa masikitiko makubwa sana ni kwa namna gani namzimikia butogwa, watu waliniponda sana na kudai kuwa nimepotea njia kwa kuwa demu ana sura ya baba yake ni mbaya sijui hana shep

Niliwashangaa sana walionibeza maana wao wanazani kila aliye mbaya kwao basi pia atakuwa mubaya kwa wengine,

Mimi kwangu butogwa ni wife material ni mwanamke aliye kamilika kuanzia sura, umbo urefu hadi akili

Kuna watu watasema kuwa yule dada ni msomi hivyo sitaweza lakin mimi nitawacheka kisukuma hiiiiiiii afu nitarudi kwenye mandiko ya kitabu kimoja kitakatifu cha bible ambacho kimesema ishini na wanawake kwa akili tu, kwa msitari huo wa biblia inamanisha kuwa mwanamke akikuzid urefu siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi rangi siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi kipato siyo mbaya ila kibaya tu asikuzidi akili na pia kibaya zaid ni kuwa malio hicho ndo kibaya


Mimi bado sijachoka kukupenda wewe butogwa shija mimi nakupenda sana tena upendo kutoka moyoni kabisa

Nakuhitaji sana wewe dada

Ni bora nipigwe mawe lakin si kukosa upendo wako

Ni ukweli usio na shaka ya kwamba mimi hunijui wala hujawahi kuniona lakin mimi nakupenda sana, naomba ujue hilo na kama itakupendeza bas unijue pia


Butogwa wewe ndo mwanamke ambaye niko tiar nikose chakula lakini siyo kukukosa wewe, ndo maana ninamuomba Mungu mwenyezi afanikishe katika hili

Mimi ni kijana mwenzako wa kisukuma

Nakuzimikia sana butogwa

Kwa wasiojua maana ya butogwa, BUTOGWA ni jina la kisukuma likiwa na maana ya UPENDO AU PENDO


Naomba dunia nzima inisaidie kufukikisha ujumbe huu kwa mhusika naomba hata media au blog zinisaidie sana

Naomba dunia nzima ijue kuwa nampenda huyu dada


Asanteni sana

Nawasilisha



View attachment 1193725View attachment 1193726View attachment 1193727
Ana lips nzuri.
 
Ushaul wa kibandidu
OK sawa ngoja nikwambie kitu Kama dogo langu la kiume.
#mwanamke aliliwi hadharani hivyo unajua kwann wengine hawapendi publicity unaweza kumpoteza moja kwa moja na hakakuona mshambaa sana.

#Hata Kama anapenda unajua akiwa na wewe kitatokea nn..!
atakuwa anakupeleka kishezi maana anajua umedata kwake siyo yeye aliyedata in short mwanamke usimuoneshe direct kuwa umekufa kuoza kuwa mgumu (ugumu wa kiumee).
#mwanmke abembelezwi kupitiliza anawindwa kimya kimya mnamaliza huko kikibuma unamuweka kipolo unaendelea mbele.

#kwa huo umri na mahusiano uliyopitia ongeza juhudi Sana unajua experience make perfect Ongeza juhudi za kutongoza acha kulialia..

#Acha kuangalia movie Za kikorea na philipino hizo aziwi practical kwa mademu wa bongo.

#mwisho mchawi pesa tafuta pesa ndio mchawi wa kila kitu..
 
Back
Top Bottom