Mungu Si Athumani Wasiojulikana Waanza Kujulikana

Mungu Si Athumani Wasiojulikana Waanza Kujulikana

Acheni kukariri mambo, kama hujui ni bora ukauliza uelekezwe.. Aliyekuambia kinachomtambulisha askari ni uniform ni nani?

Ndani ya jeshi la polisi kuna vitengo vingi sana kama ffu,traffic, CID n.k

Kitendo cha CID ndio ambao hawavai uniform na wakat mwingne unaweza kumkuta kafuga mpaka rasta.

Nenda kituo cha polisi halafu omba kuonana na mtu nayeitwa mkuu Wa upelelezi Wa makosa ya jinai uone kama utamkuta na uniform.
Kama hujui na wewe funga domo lako!! Kisheria askali asie na uniform haruhusiwi kukamata watu! Anaweza tu kufanya uchunguzi na kupeleka ripoti kwa askari wanaohusika na ukamataji. Kabla ya kumkamata muharifu anapaswa kutoa sababu ya ukamataji na kuonyesha kitambulisho! Sasa akiwa civilian nini kitakuhakikishia kuwa umekwa chini ya ulinzi na kibaka au askali?
 
Acheni kukariri mambo, kama hujui ni bora ukauliza uelekezwe.. Aliyekuambia kinachomtambulisha askari ni uniform ni nani?

Ndani ya jeshi la polisi kuna vitengo vingi sana kama ffu,traffic, CID n.k

Kitendo cha CID ndio ambao hawavai uniform na wakat mwingne unaweza kumkuta kafuga mpaka rasta.

Nenda kituo cha polisi halafu omba kuonana na mtu nayeitwa mkuu Wa upelelezi Wa makosa ya jinai uone kama utamkuta na uniform.
kwani sheria yetu ya ku arrest mtu inasemaje?!!?
 
Kama hujui na wewe funga domo lako!! Kisheria askali asie na uniform haruhusiwi kukamata watu! Anaweza tu kufanya uchunguzi na kupeleka ripoti kwa askari wanaohusika na ukamataji. Kabla ya kumkamata muharifu anapaswa kutoa sababu ya ukamataji na kuonyesha kitambulisho! Sasa akiwa civilian nini kitakuhakikishia kuwa umekwa chini ya ulinzi na kibaka au askali?
Nyie ndio mnapigwa na matapeli wanaokutwa na sare za maaskari.
Ni hivi unapokamatwa inatakiwa askari ajitambulishe Kwa jina na kituo anachotoka na akuoneshe kitambulisho chake na akumbie kosa lako.

Hyo ni Kwa askari yoyote asiye na uniform na mwenye uniform. Acheni kukariri mambo
 
Kama hujui na wewe funga domo lako!! Kisheria askali asie na uniform haruhusiwi kukamata watu! Anaweza tu kufanya uchunguzi na kupeleka ripoti kwa askari wanaohusika na ukamataji. Kabla ya kumkamata muharifu anapaswa kutoa sababu ya ukamataji na kuonyesha kitambulisho! Sasa akiwa civilian nini kitakuhakikishia kuwa umekwa chini ya ulinzi na kibaka au askali?
Labda nikuulize askari anayeitwa detective unamjua??
 
Kinachomtambulisha askari Polisi ni sare ya jeshi la Polisi ndyo maana pia huwa inakuwa na beji yenye jina la askari husika tofauti na hapo kama mtu atafanya kazi ya uaskari Polisi na hana sare ya jeshi la Polisi huyo ni muhalifu, ndyo maana kwa nchi yetu ni kosa kubwa sana kwa mtu yeyote asiye askari kuvaa sare za jeshi lolote lile la hapa Tanzania

Kwa kifupi Huyo aliyemkamata Zitto Kabwe ni mhalifu tu (mtu asiyejulikana)
Sio kila askari polisi anavaa sare kwenye jeshi la polisi kuna vitengo vingi mfano CID
 
Taratibu ndugu.
Dalili za kiongozi dhaifu ni pamoja na kutumia vitisho kuwatisha wanaompinga au kutofautiana nao mawazo.badala ya serikali kuwaogopa watu kwakuwa ndiyo walioiweka madarakani na ndio wenye nchi yenyewe inataka iogopwe na watu
mabutu
nguesu
mubaraka
magufuli
museven
hawa ni mifano ya viongozi dhaifu, wanaamini kwenye umachiavel wa zamani kuwatisha watu wakijipa sifa za kimungu wakati ni binaadamu kama tulivyo sisi
 
Asiyejulikana mwingine huyu hapa.
FB_IMG_1610278902500.jpg
 
Back
Top Bottom