kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
kashadakwa msela?Kigogo angekuwa hajakamatwa lazima angeweza kutuambia huyu ni nani. Sasa ndio basi tena tutabaki kubahatisha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kashadakwa msela?Kigogo angekuwa hajakamatwa lazima angeweza kutuambia huyu ni nani. Sasa ndio basi tena tutabaki kubahatisha tu
Kama hujui na wewe funga domo lako!! Kisheria askali asie na uniform haruhusiwi kukamata watu! Anaweza tu kufanya uchunguzi na kupeleka ripoti kwa askari wanaohusika na ukamataji. Kabla ya kumkamata muharifu anapaswa kutoa sababu ya ukamataji na kuonyesha kitambulisho! Sasa akiwa civilian nini kitakuhakikishia kuwa umekwa chini ya ulinzi na kibaka au askali?Acheni kukariri mambo, kama hujui ni bora ukauliza uelekezwe.. Aliyekuambia kinachomtambulisha askari ni uniform ni nani?
Ndani ya jeshi la polisi kuna vitengo vingi sana kama ffu,traffic, CID n.k
Kitendo cha CID ndio ambao hawavai uniform na wakat mwingne unaweza kumkuta kafuga mpaka rasta.
Nenda kituo cha polisi halafu omba kuonana na mtu nayeitwa mkuu Wa upelelezi Wa makosa ya jinai uone kama utamkuta na uniform.
kwani sheria yetu ya ku arrest mtu inasemaje?!!?Acheni kukariri mambo, kama hujui ni bora ukauliza uelekezwe.. Aliyekuambia kinachomtambulisha askari ni uniform ni nani?
Ndani ya jeshi la polisi kuna vitengo vingi sana kama ffu,traffic, CID n.k
Kitendo cha CID ndio ambao hawavai uniform na wakat mwingne unaweza kumkuta kafuga mpaka rasta.
Nenda kituo cha polisi halafu omba kuonana na mtu nayeitwa mkuu Wa upelelezi Wa makosa ya jinai uone kama utamkuta na uniform.
Nyie ndio mnapigwa na matapeli wanaokutwa na sare za maaskari.Kama hujui na wewe funga domo lako!! Kisheria askali asie na uniform haruhusiwi kukamata watu! Anaweza tu kufanya uchunguzi na kupeleka ripoti kwa askari wanaohusika na ukamataji. Kabla ya kumkamata muharifu anapaswa kutoa sababu ya ukamataji na kuonyesha kitambulisho! Sasa akiwa civilian nini kitakuhakikishia kuwa umekwa chini ya ulinzi na kibaka au askali?
Labda nikuulize askari anayeitwa detective unamjua??Kama hujui na wewe funga domo lako!! Kisheria askali asie na uniform haruhusiwi kukamata watu! Anaweza tu kufanya uchunguzi na kupeleka ripoti kwa askari wanaohusika na ukamataji. Kabla ya kumkamata muharifu anapaswa kutoa sababu ya ukamataji na kuonyesha kitambulisho! Sasa akiwa civilian nini kitakuhakikishia kuwa umekwa chini ya ulinzi na kibaka au askali?
Mtaje kwa Kiswahili acha ukoloni mambo leoLabda nikuulize askari anayeitwa detective unamjua??
Sio kila askari polisi anavaa sare kwenye jeshi la polisi kuna vitengo vingi mfano CIDKinachomtambulisha askari Polisi ni sare ya jeshi la Polisi ndyo maana pia huwa inakuwa na beji yenye jina la askari husika tofauti na hapo kama mtu atafanya kazi ya uaskari Polisi na hana sare ya jeshi la Polisi huyo ni muhalifu, ndyo maana kwa nchi yetu ni kosa kubwa sana kwa mtu yeyote asiye askari kuvaa sare za jeshi lolote lile la hapa Tanzania
Kwa kifupi Huyo aliyemkamata Zitto Kabwe ni mhalifu tu (mtu asiyejulikana)
Halafu sura yake utafikiri maffi..Huyu jamaa sio polisi lakini yupo hapo anashiriki kukamata, kumdhalilisha, kumbuguzi, mchana kweupeView attachment 1487865
Dalili za kiongozi dhaifu ni pamoja na kutumia vitisho kuwatisha wanaompinga au kutofautiana nao mawazo.badala ya serikali kuwaogopa watu kwakuwa ndiyo walioiweka madarakani na ndio wenye nchi yenyewe inataka iogopwe na watu
mabutu
nguesu
mubaraka
magufuli
museven
hawa ni mifano ya viongozi dhaifu, wanaamini kwenye umachiavel wa zamani kuwatisha watu wakijipa sifa za kimungu wakati ni binaadamu kama tulivyo sisi
Huyu jamaa sio polisi lakini yupo hapo anashiriki kukamata, kumdhalilisha, kumbuguzi, mchana kweupeView attachment 1487865
atakuwa alitumwa na magufuli huyo.magufuli aliwapa kiburi sanaHuyu jamaa sio polisi lakini yupo hapo anashiriki kukamata, kumdhalilisha, kumbuguzi, mchana kweupeView attachment 1487865