Mungu sio mwema

Kiukweli sijakuelewa kabisa na sitaki kuamini kama hueleweki maana umejitahidi kuandika kisomi sana lakini daaah sijaipata hoja yako.
Ana maanisha kwanini huyo Mungu asinge msamehe shetani wakakaa kitako wakayajenge yaishe ili wananzengo tule bata tu kama tupo peponi?
 
Aisee.. Mimi ninajaji mambo kama yalivyo na Sio kama walivyo.

Haijalishi alitokea wapi lakini hii dunia kuna Something behind mpaka uwepo wake so Thats my God. He created me
 
 
Aisee.. Mimi ninajaji mambo kama yalivyo na Sio kama walivyo.

Haijalishi alitokea wapi lakini hii dunia kuna Something behind mpaka uwepo wake so Thats my God. He created me
Mkuu huyo Sir God unaye amini ameumba ulimwengu unadhani ana interfere maisha yetu au ameacha yanakwenda logically?
 
Mungu gani mwema anaacha maelfu ya watoto wasio na hatia yeyote ile wanakufa na kuteseka kwa njaa, vita, magonjwa na majanga ya asili?

Kama huyo Mungu yupo ni Mungu Muovu, Mbaya na Mkatili sana na hana hata chembe ya wema.View attachment 3040600
Shetani atakuponda kisigino na wewe utamponda kichwa ....ndiyo sababu
 
Ana maanisha kwanini huyo Mungu asinge msamehe shetani wakakaa kitako wakayajenge yaishe ili wananzengo tule bata tu kama tupo peponi?
Bado hajasema huyu.
 
Mkuu huyo Sir God unaye amini ameumba ulimwengu unadhani ana interfere maisha yetu au ameacha yanakwenda

Alitupa akili na utashi wa kufanya Tutachofikiri ni sahihi kufanya..

Kwahiyo hakuna kanuni yeyote,
Kila mtu anaishi The way akili yake inafikiri ni sahihi..

Ukimuamini atakupa Nguvu sababu ananguvu Ukizingatia uumbaji wake.

Usipomuamini hana shida na maisha yako ishi utakavyo .

Thats what i think..
 
Hakuna maandiko yanasema Mungu kasema tumchukie shetani! Mbona shetani saa nyingine huwa anaenda kuomba kibali kwa Mungu kwa ajili ya kumpa majaribu mwanadamu!.
Na Mungu anakubali kumpa shetani hicho kibali?
 
Binadamu acheni uoga, mlio jazwa huko Sunday school, madrasa
Juzi tumesikia hapa MTU akisema ( MTU anaye mwamini Mungu hawezi kumtukana kiongozi)

Dini iliwekwa ili kuwatawala binadamu, ndio Hata baada ya kupata Uhuru , still Dini ziliachwa ziendelee Ku operate bila pingamizi,

Wakati Dini zote zilikuwa chachu ya ukoloni Kwa vipindi tofauti.
 
Of coz, hayo unayoeleza Ni ambayo yanathibitisha kwamba aliumba lkn si kwamba yupo. Swali Mara nyingi lilitakiwa liwe Ni vipi uthibitishe kwamba yupo?

Hapa ndipo wengi tunamkosa Mungu na kuanza kuwa wapingaji. Ni uhayawani tu unatusumbua, maana hatujui gharama ya uhai huu Ni kiasi gani. Pia hatuelewi utaratibu na miiko ya kitu kinachoitwa uhai.

Mara nyingi tunawaza kwamba ile miiko ya uhai ndiyo itupeleke kwenye uthibitisho wa uwepo wake, Jambo ambalo haliwezekani.

Na kumbe njia pekee yakutupeleka kwenye uthibitisho ule ndio hii hii inayotuvuta kwenye ukosoaji.

Jambo la msingi hapa Ni kumuamini yeye Mungu. Lkn wale ambao hawamuamini inabidi tumuachie mwenye watu wake maana atakuwa anawajua vizuri kuliko sisi.
 
Hasa huyu wa Waisraeli, aliyemtoa mwanae kafara bila huruma, akashindwa kumuangamiza shetani.
 
tumaini la waisrael kwa Yesu alipokuja kuwakomboa walidhani anawatoa kwenye utumwa wa warumi
lakini yeye alisisitiza kuwa malengo yake ni ya juu ya zaidi ya hapo , ni kukomboa ulimwengu wote from anguko lake na kuwatupeleka mbinguni na siyo kufanya ulimwengu huu kuwa bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…