Mungu Tunakuomba Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu 2025 Tanzania Uwe ni Uchaguzi Huru na wa Haki

Mungu Tunakuomba Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu 2025 Tanzania Uwe ni Uchaguzi Huru na wa Haki

Kitimoto

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2012
Posts
6,941
Reaction score
7,808
Mungu tenda miujiza yako kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu 2025 CCM ishindwe sababu wamejimilikisha ukuu wako.



“kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.

— Luka 1:37 (Biblia Takatifu)

GOD BLESS TANGANYIKA
 
Amini, mwaka huu ni wa mwisho kufungwa kongwa za utumwa wa CCM. Na CCM itapotea taratibu kama ilivyotokea kwa KANU ya kenya.
 
Mungu tenda miujiza yako kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu 2025 CCM ishindwe sababu wamejimilikisha ukuu wako.

View attachment 3218910

“kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.

— Luka 1:37 (Biblia Takatifu)

GOD BLESS TANGANYIKA
Prayer starts where human capacity ends! 😂😂
 
Back
Top Bottom