Mungu wa Haki sio wa Kucheza nae Awadhi H Aulize alipo Jecha Jecha yule Unguja kwa Sasa

Mungu wa Haki sio wa Kucheza nae Awadhi H Aulize alipo Jecha Jecha yule Unguja kwa Sasa

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Ukimdhihaki Mungu kawaida majibu yake ni baya kwa baya na ubaya kwa Ubaya hainaga Ubwela.

Awadhi ajutie makosa yake mbingu hufunguka kwenye maombi na toba.

Chadema na vyama vingine ni watanzania wenzetu, sisi wana CCM hatuna hati miliki ya uhai wala haki ya kuishi ndani ya Tanzania.

Tanzania ni yetu sote rangi za CCM hazina hati miliki ya utanzania na akili.

Chief Wadiz
 
Ukimdhihaki Mungu kawaida majibu yake ni baya kwa baya na ubaya kwa Ubaya hainaga Ubwela.

Awadhi ajutie makosa yake mbingu hufunguka kwenye maombi na toba.

Chadema na vyama vingine ni watanzania wenzetu, sisi wana CCM hatuna hati miliki ya uhai wala haki ya kuishi ndani ya Tanzania.

Tanzania ni yetu sote rangi za CCM hazina hati miliki ya utanzania na akili.

Chief Wadiz
wanadamu bana dah🐒

eti anamtishia mwanadamu mwenzie kwa Mungu, utadhani ni wa kwake pekeyake 🤣
 
Ukimdhihaki Mungu kawaida majibu yake ni baya kwa baya na ubaya kwa Ubaya hainaga Ubwela.

Awadhi ajutie makosa yake mbingu hufunguka kwenye maombi na toba.

Chadema na vyama vingine ni watanzania wenzetu, sisi wana CCM hatuna hati miliki ya uhai wala haki ya kuishi ndani ya Tanzania.

Tanzania ni yetu sote rangi za CCM hazina hati miliki ya utanzania na akili.

Chief Wadiz
Screenshot_20240816-010853.png
 
Ukimdhihaki Mungu kawaida majibu yake ni baya kwa baya na ubaya kwa Ubaya hainaga Ubwela.

Awadhi ajutie makosa yake mbingu hufunguka kwenye maombi na toba.

Chadema na vyama vingine ni watanzania wenzetu, sisi wana CCM hatuna hati miliki ya uhai wala haki ya kuishi ndani ya Tanzania.

Tanzania ni yetu sote rangi za CCM hazina hati miliki ya utanzania na akili.

Chief Wadiz
tuacheni imani za kulaumu na kuwaombea watu mabaya ,kwahiyo watu wote waliokufa ni wamefanya makosa? Awadh kafanya kazi yake na ana mapungufu yake ila lazima amani ilindwe kwa nguvu zote, wafanye siasa zao kwa ustaarabu
 
Ukimdhihaki Mungu kawaida majibu yake ni baya kwa baya na ubaya kwa Ubaya hainaga Ubwela.

Awadhi ajutie makosa yake mbingu hufunguka kwenye maombi na toba.

Chadema na vyama vingine ni watanzania wenzetu, sisi wana CCM hatuna hati miliki ya uhai wala haki ya kuishi ndani ya Tanzania.

Tanzania ni yetu sote rangi za CCM hazina hati miliki ya utanzania na akili.

Chief Wadiz
Ukiwa na uchaguzi wa kuwachapa watu kumi ili mtu mmoja asife au usiwachape watu 10 mtu mmoja akifa si kitu.

Utachagua lipi hapo?
 
tuacheni imani za kulaumu na kuwaombea watu mabaya ,kwahiyo watu wote waliokufa ni wamefanya makosa? Awadh kafanya kazi yake na ana mapungufu yake ila lazima amani ilindwe kwa nguvu zote, wafanye siasa zao kwa ustaarabu
Amani ni pana siyo kwa Chadema tu,Nchimbi katoa Roadmap namna ya ku deal na wanasiasa. Awadh naye alikosa busara kwa hili.
 
Ukimdhihaki Mungu kawaida majibu yake ni baya kwa baya na ubaya kwa Ubaya hainaga Ubwela.

Awadhi ajutie makosa yake mbingu hufunguka kwenye maombi na toba.

Chadema na vyama vingine ni watanzania wenzetu, sisi wana CCM hatuna hati miliki ya uhai wala haki ya kuishi ndani ya Tanzania.

Tanzania ni yetu sote rangi za CCM hazina hati miliki ya utanzania na akili.

Chief Wadiz
Kweli ukimdhihaki Mungu ni ubaya ubaya tu hakuna Ubaya Ubwela 😂😂🤣🤣😆 !
 
Ukimdhihaki Mungu kawaida majibu yake ni baya kwa baya na ubaya kwa Ubaya hainaga Ubwela.

Awadhi ajutie makosa yake mbingu hufunguka kwenye maombi na toba.

Chadema na vyama vingine ni watanzania wenzetu, sisi wana CCM hatuna hati miliki ya uhai wala haki ya kuishi ndani ya Tanzania.

Tanzania ni yetu sote rangi za CCM hazina hati miliki ya utanzania na akili.

Chief Wadiz
Kwani nyie chadema hataenda aliko jecha au mtaishi milele?
 
wanadamu bana dah🐒

eti anamtishia mwanadamu mwenzie kwa Mungu, utadhani ni wa kwake pekeyake 🤣
Awadh kazingua sana yule na hana mwisho mwema ,si vema kufanyia wengine unyana kisa tu unataka ujipendekeze kwa mtu akuone mwema kwake. Sisi ni people awadh hakufanya uungwana
 
Ni bora uishi kwa kutenda mema kwa maana hujui huko uendako kuna lipi
Mambo mema ni mtazamo wa mtu jambo linaweza kuwa jema kwako kwa wengine likawa baya ndo maana hata JPM alipokuwa anajenga SGR ,madaraja, flyover, barabara na miundo mbinu mingine chadema walipinga wakisema analeta maendeleo ya vitu na sio ya watu
 
Back
Top Bottom