Mungu wa Haki sio wa Kucheza nae Awadhi H Aulize alipo Jecha Jecha yule Unguja kwa Sasa

Mungu wa Haki sio wa Kucheza nae Awadhi H Aulize alipo Jecha Jecha yule Unguja kwa Sasa

Mungu wa Haki anashughulika na Jecha anamwacha aliyemtuma?

Badili fikira zako wewe mtu mweusi!
 
Mambo mema ni mtazamo wa mtu jambo linaweza kuwa jema kwako kwa wengine likawa baya ndo maana hata JPM alipokuwa anajenga SGR ,madaraja, flyover, barabara na miundo mbinu mingine chadema walipinga wakisema analeta maendeleo ya vitu na sio ya watu
Kama una akili timamu kabisa utakuwa mtu wa ajabu kama hujui mambo mema
 
Kama una akili timamu kabisa utakuwa mtu wa ajabu kama hujui mambo mema
Jambo linaweza kuwa jema kwako ndio maana chadema mlikuwa mnawakusanya vijana majobless mkafanye maandamano mbeya lakini afande Awadhi hakuona ni jambo jema akaamua kuwaadhibu na nyie kuadhibiwa mumeona sio jambo jema
 
Mungu wa Haki anashughulika na Jecha anamwacha aliyemtuma?

Badili fikira zako wewe mtu mweusi!
Roho itendayo dhambi ndiyo inayoadhibiwa. Aliyetuma? Mkapa Yuko wapi si alisafiri usiku kwa usiku kwenda kupindua meza. Usiwatetee CCM tunawajua. Tena huku chini ndo kabisa.
 
Jambo linaweza kuwa jema kwako ndio maana chadema mlikuwa mnawakusanya vijana majobless mkafanye maandamano mbeya lakini afande Awadhi hakuona ni jambo jema akaamua kuwaadhibu na nyie kuadhibiwa mumeona sio jambo jema
Tulia trust imechukua zaidi ya jobless wengine Wana umri chini ya miaka 18 wanatumikishwa na mwanasheria Kwa ujira mdogo.
 
Awadh kazingua sana yule na hana mwisho mwema ,si vema kufanyia wengine unyana kisa tu unataka ujipendekeze kwa mtu akuone mwema kwake. Sisi ni people awadh hakufanya uungwana
nadhani ni muhimu kudeal na mwisho mzuri wako ikiwa unaujua, hukumu ya mwanadamu mwingine ni Mwenyezi Mungu pekee ndie anaijua 🐒
 
Mungu ni wa wote lakini Mungu hawezi kuwa Upande wa Muonevu , Right ?!
wema na uovu wako unaujua mwenyewe na Mungu wako, uovu na hukumu ya mwingine anahesabu Mungu pekee...

nadhani mihemko na hukumu ya mwanadamu kwa mwanadamu mwingine haina maana yoyote 🐒
 
Issue ni kwamba hamjamuelewa. Ni kwamba Awadhi alitumia nguvu kubwa kuzidi tukio lenyewe. Kama Jecha lakini Jecha alimfaidisha nani Kwa uovu ule? Na Yuko wap
Kwani Jecha baada ya kufanya alichofanya, ilibidi iweje ionekane alifanikiwa kwa alichofanya na sasa imekuwaje inaonekana hajafanikiwa kwa alichofanya! Kwasababu Mimi ninachojua Jecha alitaka CCM isitoke madarakani na mpaka Sasa hivi CCM ipo madarakani! Au sio?
 
Hapo umeona kutishiwa siyo?

Ni anakumbushwa
ni muhimu viongozi wa masuala ya imani wakaachiwa jukumu lao,

hii kuvamia majukumu ya wengine ni shida kidogo ikiwa kuhukumu ni kukumbusha na sio kuhitimisha 🐒
 
ni muhimu viongozi wa masuala ya imani wakaachiwa jukumu lao,

hii kuvamia majukumu ya wengine ni shida kidogo ikiwa kuhukumu ni kukumbusha na sio kuhitimisha 🐒
Ccm mna watetezi wenu wapo, na ndiyo maana mnafurahia mwananchi anapotekwa na kuuliwa, hao wasio na mtetezi wao, yupo Mungu anayeshusha nyundo kwa hao wasiothamini damu za wengine
 
Ukimdhihaki Mungu kawaida majibu yake ni baya kwa baya na ubaya kwa Ubaya hainaga Ubwela.

Awadhi ajutie makosa yake mbingu hufunguka kwenye maombi na toba.

Chadema na vyama vingine ni watanzania wenzetu, sisi wana CCM hatuna hati miliki ya uhai wala haki ya kuishi ndani ya Tanzania.

Tanzania ni yetu sote rangi za CCM hazina hati miliki ya utanzania na akili.

Chief Wadiz
Nimeona akiwafanyisha mazoezi hadharani mapolisi wake kule Mbeya kama alivyokuwa anafanya JPM ili kuwatisha wapinzani.
 
Roho itendayo dhambi ndiyo inayoadhibiwa. Aliyetuma? Mkapa Yuko wapi si alisafiri usiku kwa usiku kwenda kupindua meza. Usiwatetee CCM tunawajua. Tena huku chini ndo kabisa.
Siwatetei CCM wala hawanihusu, lakini misingi ya hoja zako ni mibovu.
Eti, Mkapa yuko wapi? Kifo si adhabu, ni faradhi ya kila mja. Yesu mwenyewe alikufa!
 
Ukimdhihaki Mungu kawaida majibu yake ni baya kwa baya na ubaya kwa Ubaya hainaga Ubwela.

Awadhi ajutie makosa yake mbingu hufunguka kwenye maombi na toba.

Chadema na vyama vingine ni watanzania wenzetu, sisi wana CCM hatuna hati miliki ya uhai wala haki ya kuishi ndani ya Tanzania.

Tanzania ni yetu sote rangi za CCM hazina hati miliki ya utanzania na akili.

Chief Wadiz
Amuulize pascal mayala kuhusu somo la karma amweleweshe vizuri. Hii dunia siyo ya kujidai sana
 
Back
Top Bottom