Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Kwani Nini kilitokea Kati ya mange na nabii!!?ugomvi wao ni Nini hasa!!?tujuzeni
 
Hawa watenda miujiza wengi wao ufanya white magic, white magic ni uchawi usiodhuru uchawi baridi.
 
Duh aiseee
Huyu LIKUD ni miyeyusho sana, imagine Mange atake kumlipua Mwamposa, then afe mtu baki kama pigo kutoka juu badala ya Mange mwenyewe kufa ili kudhihirisha kwamba Mange alitaka kumkosea mtumishi Mwamposa. Binafsi sina Imani kabsaaaa na huyu Mwamposa.
 
Mungu wetu aui kwa kuogopa mtumishi wake kuumbuliwa.. Mitume wa zaman waliuawa na Mungu akuzuia kwasababu ni Mungu mwenye utaratibu..
 
Shetani ameigiza kuwa Mungu kwa miaka mingi sana sana lakini hajawahi kuwa hata malaika.

Baba hawezi kuzidiwa na mtoto
 
Mimi ni muislamu lakini kauli mbiu yangu siku zote huwaga Ni " Usimtukane Nabii hata kama umesikia watu wanasema Ni Nabii WA uongo". Kwa Sababu for my personal opinion MTU hawezi kufake kitu Kwa Zaidi ya miaka mitatu mfululizo. ( U will always become what u pretend to be )
 
Bomu lilikuwa Mwamposa kazaa na mademu wawili ambao si wake zake. Yaani Mwamposa anapiga mechi za nje ya ndoa.
Kumbe hilo tu? Sasa mtumishi kazi yake si kuhudumia kondoo wa bwana kwa maneno, kwa vitendo na kutimiza wajibu😃😃
 
Sasa mama wa kambo wa mange amehusika na nini?
Huyu mungu wenu mbona jau sana, ana tabia za kike sana huyo mungu[emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa umenishangaza na kuniacha hoi, huo ujasiri sio poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…