Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hana jipya tena huyo dadaMsiba ukiisha atapost. Hivyo bomu la Mwamposa lipo pale pale. Labda Mange mwenyewe afe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana jipya tena huyo dadaMsiba ukiisha atapost. Hivyo bomu la Mwamposa lipo pale pale. Labda Mange mwenyewe afe.
Acha kuudhalilisha Uislamu kma ww ni Muislamu jina fanya yko ila usiwakashifu mitume wa MunguNa wewe unae fanya zinaa sio muislamu pia sio?
Anyways me nakula Hadi kitimoto seuze kumkashifu MTU wa kwenye story ya kutungwa.
Ninge mkashifu baba ako mzazi usinge mind lakini Lutu ambae ni MTU wa kwenye story ya kutungwa umemind. Acha utoto mkuu.
Katika Maisha yako baba ako Na mama ako Ni muhimu Zaidi kwako kuliko Lutu ambae ni character wa kutungwa
Wivu tu unakusumbua..karibu ibada ya leo uje ujipatie keki yako..mapepo na mabaya yakutoke..ujionee muujiza wako.kwanza nikuite wewe mpumbavu kujiita muislamu huku unaamini manabii wa uongo. waislamu mchongo kama nyinyi wapo wengi kwa mwaposa waislamu feki kama wewe wapo wengi mitaani. ukiulizwa nguzo za uislamu ni ngapi hujui eti mimi ni muislamu pumbavu
Alitoa ushauri sio amri..nashangaa sana wanaodhani kuwa na mke mmoja ni amri.Ni kitabu gani kwenye agano jipya ambapo Yesu alisema mwanaume awe na mke mmoja?
sheikh kila kitu kipo wazi huyu mzee anajivisha tu joho lisilomhusu.Acha kuudhalilisha Uislamu kma ww ni Muislamu jina fanya yko ila usiwakashifu mitume wa Mungu
Kwa kauli yko pia unapinga nguzo za imani za kiislamu
Le mutuz na mwele zilikua haziivi?Mm nachojua ile vita ambayo le kokobanga papaa mobimba imepata ahueni kwenye mgao wa mzee malecela atapata pakubwa maana yule mshindan wake hatunae Tena
Na mange alijiunga na ntuli ili kumuatack le kibamiaz
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
kweli kabisaasheikh kila kitu kipo wazi huyu mzee anajivisha tu joho lisilomhusu.
Sasa kuficha huyo waloshare nae dudu inasaidia nini? Wanakufahamu?Mange na mwele malecela wanashare mama.
Mama yake Mange alizaa na Malecela ndio hao akina Mwele Kisha akapigwa chini. Mama akaenda kuolewa Kwa Kimambi akazaa akina Mange.
Mange kumuita mwele mama ni sawa kwasabb Mwele kamlea ingawa huko zamani (marehem hasemwagi) waliwahigi kushare dyudyu bila kujijua Kwa mtu sitak kumtaja. Na Mange alipikuja kujua kiwa wanachanganywa akawaachana na huyo mtu. Mwele hakubahatikaga kupata mtoto hivyo Naomi na Mange walikuwa ni watoto wake wa kuwalea kabisa
Nasikia jamaa hana mke wala nini ni single mwenzetu sasa tujiulize anaponea wapi.au ndio masharti...Moja...huyo pastor miyamba alikuwa anahubiri b4 hujamuona kwenye movie...nilisoma nae jitegemee so naelewa nnachokizungumza
Pili...kusema eti kuwa nabii hawez kudanganya kwa miaka 3 ni uongo mtupu,hiyo theory umeitoa wapi?tuanze na hilo
Tatu..ktk bible Imeelezwa tutawajua kwa matendo yao,na si kila aitae bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni
Nne...mm nna ushahidi kutoka kwa mwanadada aliekuwa anaimba kwaya kwenye kanisa la jamaa mmoja anaejiita MTUME NA NABII namna alivyokuwa akitakwa kimapenzi na mtumishi huyo wa Mungu
Hawa watu washajua kizaz hiki kinapendaaa miujiza ndo maana kila mara wana kipindi cha TESTIMONY
Kumwamini mtu ambae sijui katokea wapi..huo utume na nabii kaupataje pataje hapana aisee
uchafu kwa hisia zako tu au Kuna lolote la maana unalolijua kuhusu hao watumishi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] takataka kabisaaaa.... eti madhabahu ya mwampoo. Hawa manabii wenu uchafu wao ungekua unawekwa hadharani tungekimbiana.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Please prophesize papaaa..uchafu kwa hisia zako tu au Kuna lolote la maana unalolijua kuhusu hao watumishi.
Punguza kuhemkia mambo ya kijiweni ambayo hujui chochote chenye ukweli.
nabishana na waislamuMmmmh
Kumbe! Nilikuwa najaribu kuilinda imaniu
nabishana na waislamu