Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Na wewe unae fanya zinaa sio muislamu pia sio?

Anyways me nakula Hadi kitimoto seuze kumkashifu MTU wa kwenye story ya kutungwa.

Ninge mkashifu baba ako mzazi usinge mind lakini Lutu ambae ni MTU wa kwenye story ya kutungwa umemind. Acha utoto mkuu.

Katika Maisha yako baba ako Na mama ako Ni muhimu Zaidi kwako kuliko Lutu ambae ni character wa kutungwa
Acha kuudhalilisha Uislamu kma ww ni Muislamu jina fanya yko ila usiwakashifu mitume wa Mungu

Kwa kauli yko pia unapinga nguzo za imani za kiislamu
 
kwanza nikuite wewe mpumbavu kujiita muislamu huku unaamini manabii wa uongo. waislamu mchongo kama nyinyi wapo wengi kwa mwaposa waislamu feki kama wewe wapo wengi mitaani. ukiulizwa nguzo za uislamu ni ngapi hujui eti mimi ni muislamu pumbavu
Wivu tu unakusumbua..karibu ibada ya leo uje ujipatie keki yako..mapepo na mabaya yakutoke..ujionee muujiza wako.

#MaendeleoHayanaChama
 
mitume wa Mungu unawajua wewe ? Mungu unamjua ww? Acha utoto basi mkuu
Acha kuudhalilisha Uislamu kma ww ni Muislamu jina fanya yko ila usiwakashifu mitume wa Mungu

Kwa kauli yko pia unapinga nguzo za imani za kiislamu
 
Ulitaka kumaanisha mange asingetaka kumzungumzia mwamposa basi mama yake angeishi milele?
Kama singeishi milele basi unacho kisema hakina uhalisia wowote.

Tz wajinga ni wengi sana acha kina mwamposa wajitajirishe kupitia ujinga wenu
 
Mange cheza na wanasiasa hawa watu wa kiroho waache hivyo hivyo maadamu awaibi cha mtu ni hiari yako tu
 
Acha kuudhalilisha Uislamu kma ww ni Muislamu jina fanya yko ila usiwakashifu mitume wa Mungu

Kwa kauli yko pia unapinga nguzo za imani za kiislamu
sheikh kila kitu kipo wazi huyu mzee anajivisha tu joho lisilomhusu.
 
Labda atatueleza mganga wake anapatikana wapi. Watu wanamtumia Yesu kwa kujinufaisha, ukiamgalia kwa makini, wanacheza na ulimwengu wa roho. Huenda Yesu hakuwepo kiuhalisia, angekuwapo kweli angewalipua hawa watu. Basi Ukristu ni mambo yaliyotengenezwa na wajanja. Mungu wa kweli hawezi kumtoa mwanae wa pekee kafara.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mange na mwele malecela wanashare mama.
Mama yake Mange alizaa na Malecela ndio hao akina Mwele Kisha akapigwa chini. Mama akaenda kuolewa Kwa Kimambi akazaa akina Mange.

Mange kumuita mwele mama ni sawa kwasabb Mwele kamlea ingawa huko zamani (marehem hasemwagi) waliwahigi kushare dyudyu bila kujijua Kwa mtu sitak kumtaja. Na Mange alipikuja kujua kiwa wanachanganywa akawaachana na huyo mtu. Mwele hakubahatikaga kupata mtoto hivyo Naomi na Mange walikuwa ni watoto wake wa kuwalea kabisa
Sasa kuficha huyo waloshare nae dudu inasaidia nini? Wanakufahamu?
 
Moja...huyo pastor miyamba alikuwa anahubiri b4 hujamuona kwenye movie...nilisoma nae jitegemee so naelewa nnachokizungumza

Pili...kusema eti kuwa nabii hawez kudanganya kwa miaka 3 ni uongo mtupu,hiyo theory umeitoa wapi?tuanze na hilo

Tatu..ktk bible Imeelezwa tutawajua kwa matendo yao,na si kila aitae bwana bwana atauona ufalme wa mbinguni

Nne...mm nna ushahidi kutoka kwa mwanadada aliekuwa anaimba kwaya kwenye kanisa la jamaa mmoja anaejiita MTUME NA NABII namna alivyokuwa akitakwa kimapenzi na mtumishi huyo wa Mungu

Hawa watu washajua kizaz hiki kinapendaaa miujiza ndo maana kila mara wana kipindi cha TESTIMONY

Kumwamini mtu ambae sijui katokea wapi..huo utume na nabii kaupataje pataje hapana aisee
Nasikia jamaa hana mke wala nini ni single mwenzetu sasa tujiulize anaponea wapi.au ndio masharti...
Naomba niishie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] takataka kabisaaaa.... eti madhabahu ya mwampoo. Hawa manabii wenu uchafu wao ungekua unawekwa hadharani tungekimbiana.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
uchafu kwa hisia zako tu au Kuna lolote la maana unalolijua kuhusu hao watumishi.

Punguza kuhemkia mambo ya kijiweni ambayo hujui chochote chenye ukweli.
 
Et huwezi kufake miaka mitatu
Kuna waganga wa kienyeji wengi tu huku kwetu wanafanya kazi hadi miaka ishirini
 
Back
Top Bottom