Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Hata Nabii Daudi alizaa na nje ya ndoa na mke wa mtu wa Huria na akamuua mumewe achukue mkewe. Na Bwana Yesu akazaliwa ktk ukoo huo huo wa mke wa mtu aliyezaa naye. Mwanaume kuzaa na mwanamke zaidi ya mmoja siyo kashfa manabii wengi walizaa na wanawake zaidi ya mmoja na vitabu vyao tunavikubali. Kashfa angekuwa SHOGA au BASHA au MCHAWI hiyo ndiyo kashfa.
Mwenyewe namshangaa wanapanic vitu vya kawaida,eti kazaa.....
 
Mange na mwele malecela wanashare mama.
Mama yake Mange alizaa na Malecela ndio hao akina Mwele Kisha akapigwa chini. Mama akaenda kuolewa Kwa Kimambi akazaa akina Mange.

Mange kumuita mwele mama ni sawa kwasabb Mwele kamlea ingawa huko zamani (marehem hasemwagi) waliwahigi kushare dyudyu bila kujijua Kwa mtu sitak kumtaja. Na Mange alipikuja kujua kiwa wanachanganywa akawaachana na huyo mtu. Mwele hakubahatikaga kupata mtoto hivyo Naomi na Mange walikuwa ni watoto wake wa kuwalea kabisa
Umeongea nini wewe?hueleweki mbona
 
Mange Kimambi alisema ata mlipua Mwamposa Kesho tarehe 11 February

Leo amepost amepatwa na msiba mzito wa mama yake wa kambo ambae alikuwa kama godmother wake Dr. Mwele Malecela.

Maana yake ni kwamba Mange Kimambi hatopost kuhusu Mwamposa hiyo tarehe 11 ya Kesho Kwa Sababu atakuwa kwenye msiba.

Je Jambo hili limetokea kama coincidence au Madhabahu ya Mungu wa Mwamposa imetenda kazi?

Ushauri wangu Kwa Mange . Watu wanao itwa Watumishi WA Mungu achana nao unaweza kupata matatizo ambayo hukuyatarajia.

Huko kwenye Madhabahu ZA kiroho huwaga Kuna prayer line maarufu Sana inatumiwa Na prayer warriors Ina SEMA " THOSE WHO WANT US TO CRY , OUR LORD GOD WILL THEM CRY BLOOD FIRST"


Hivi Mwamposa akisema kwamba Huo msiba ulio kupata dada angu Mange Ni Kwa Sababu Kwa kuwa wewe ulitaka yeye Mwamposa Alie basi Mungu wa madhabahu yake amekufanya wewe Mange uanze kulia kabla yake , Je anaweza kukosa Kweli Kundi la watu watakao amini hoja yake? Hapana hawezi kukosa.

Maana yake Ni kwamba Imani ya watu Kwa Mwamposa itaongezeka Zaidi.


Mimi ni muislamu lakini kauli mbiu yangu siku zote huwaga Ni " Usimtukane Nabii hata kama umesikia watu wanasema Ni Nabii WA uongo". Kwa Sababu for my personal opinion MTU hawezi kufake kitu Kwa Zaidi ya miaka mitatu mfululizo. ( U will always become what u pretend to be )

Kwa hiyo hata kama mtu alikuwa ana pretend unabii mwanzoni wakati anaanza baadae anaweza kujikuta consciousness yake Ina msuta Ina mtaka awe Nabii Kweli.

Hiki ninacho kisema kimekuwa proved Kwa watu wengi Sana.

Masanja Mdandamizaji alikuwaga anaigiza upasta mwisho wa siku Kawa pasta Kweli.

Pastor Miyamba alikuwa anaigiza kama pastor kwenye movie mwisho wa siku kawa pasta Kweli.

Yule jamaa aliye igiza movie ZA YESU mwisho wa siku alijikuta anatenda miujiza Kweli

Mifano IPO Mingi Sana Na sio ya upasta Tu Na hapo nimezungumzia hiyo ya watu kuigiza kwenye movie Na sio wale wanao pretend huku mitaani Na kwingineko kama vile Mwijaku amekuwa Aki pretend kwamba yeye ni mtu muhimu katika jamii Sasa hivi mpaka Rais anamtaja hadharani.

Mifano Ni Mingi mno.

Rest in peace DK Mwele Malecela.

Pole Sana Mange Kimambi Na wafiwa wote

Mwenyezi Mungu awatie nguvu

kwanza nikuite wewe mpumbavu kujiita muislamu huku unaamini manabii wa uongo. waislamu mchongo kama nyinyi wapo wengi kwa mwaposa waislamu feki kama wewe wapo wengi mitaani. ukiulizwa nguzo za uislamu ni ngapi hujui eti mimi ni muislamu pumbavu
 
reymage bila ya wewe mshikaji wangu, mie hapa mjini siku hizi nakuwa mweupe kama karatasi za rim.
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Niko mkoa kaka kwa muda nikirudi ntakuja na maudambwidambwi yoote!!![emoji846]umbea huu unakujaga live live sio kwa siku!!!
 
Wahuni wote tz wamekimbilia kumdhalilisha Muumba kwamba wao ni manabii! Yaani njaa hii! Sijui wakifa wataenda kusema nini! Haya manabii uchwara sisi yetu macho!
 
Hivi unajua huyo uliyempost hapo kama hizo ndio Characters zake Huoni kwamba atakuwa ni Katili sana...

Yaani ili usimuumize mtu fulani (ana upendeleo) anaamua kumuua mwingine (ambaye hana kosa) ili kumziba mdomo third party...

Pili atakuwa sio Efficient Kabisa kwanini asingempiga usahaulifu akasau alichotaka kufanya ?

Hizi Imani hizi !!!!; To each his/her own....
 
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Niko mkoa kaka kwa muda nikirudi ntakuja na maudambwidambwi yoote!!![emoji846]umbea huu unakujaga live live sio kwa siku!!!
Nakukubali 😂
 
Back
Top Bottom