Nyiye watu siwawezi aiseeHayana umuhimu kwasasa.
Hili tulisha jadili 2013 huko.
Enzi mwendazake alipokuwa anatoka na Kim Mgaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyiye watu siwawezi aiseeHayana umuhimu kwasasa.
Hili tulisha jadili 2013 huko.
Enzi mwendazake alipokuwa anatoka na Kim Mgaya
Shetani akishindwa kuingia sehemu humtumia mwanamke...usisahau ilo.Mwamposa ameshalipuliwa na Original East. Amezaa na mfanyakazi wa Wasafi na mama kichanga ndiye mnufaika wa fungu la kumi.
Wanao msikiliza Mange wote bogus!!Ukiwa na akili timamu hauwezi kushawishiwa na MANGE KIMAMBI hata kidogo.. wafuasi wake wengi ni wanaenda kama hawaendi.. hivi nimsikilize mange kweli.. maandamano yake yalee yalionesha tosha kama hana mtu anayemsikiliza tatizo watanzania tunapenda tu UMBEA hili ndio tatzo ila hakuna anayemsikiliza seriously
Pumbavu.Mijinga kama nyie ndio inakuta inamtumia habari.. yaani mitanzania ni mijitu ya ovyo tu
Mmh aisee hii familia basi inachanganya. Haya ww unasema mwele mchepuko wa baba. Mwingine katujibu kuwa alikuwa mchepuko wa kaka wa Mange.Si kweli hata kidogo,mama yake Mwele ni marehemu mke wa kwanza wa mzee Malecela.Mama yake Mange ni mmakonde.Mama yake Mwele ni mnyakyusa tena aliolewa na mzee Malecela na kifo ndo kiliwatenganisha.Nimeamini duniani kuna watu waongo.Mwele alikuwa mchepuko wa Marehemu Kimambi ambae ni baba yake Mange.
Itakuwa umesahau. Mwele ni mtoto wa kwanza wa kike wa Mzee Malecela,kaka yake mkubwa anaitwa Senyagwa (Ni marehemu)ana wadogo zake Dr Sece,Mwendwa,Ipyana (Marehemu)Dr Irene (marehemu)wote hao mama yao ni mmoja ambae ndo alikuwa mke wa ndoa wa kwanza wa mzee Malecela. Huyu mama yao nae ni marehemu.Mmh aisee hii familia basi inachanganya. Haya ww unasema mwele mchepuko wa baba. Mwingine katujibu kuwa alikuwa mchepuko wa kaka wa Mange.
Lakini haya ya kushare mama nayo yaliandikwa humu humu. Basi tuseme tuu undugu wao wanaujua wenyewe
Aliolewa na Kimambi.so Ni mama yake wa kambo.Tena hata sio mama wa kambo..huyo ni mama tu mange alijiweka kwake....hawana uhusiano wa karibu hata....yani haaaaataaaaaaaaa.........
Mange tu na hashuo zake mama.mama
Nchi hii ni ya kipekee ile video ya mtumishi watu wameikataaYaani nikikumbuka Gwajima eti mkono wa baunsa. Na wafuasi wake wakaamini. Huyu Mwamposa nae tapeli tu. Acha awalie book book zao.
Mi mwenyewe Nilijua bongeeee la issue kumbe kuijaza dunia,hamna issue hapoDah kumbe ishu yenyewe ya kitoto namna HII basi nikafikiria bonge la ishu.
Kwa vyovyote vile haiwezi kufikia ishu ya Nabii Ibrahimu baba wa Imani ambae alizaa Na dada yake walie share baba mmoja ila mama mbalimbali ( MWANZO 20:12) au ( Nabii?) Lutu Alie zaa Na binti zake wawili WA kuwazaa mwenyewe.
Mange Kimambi alisema ata mlipua Mwamposa Kesho tarehe 11 February
Leo amepost amepatwa na msiba mzito wa mama yake wa kambo ambae alikuwa kama godmother wake Dr. Mwele Malecela.
Maana yake ni kwamba Mange Kimambi hatopost kuhusu Mwamposa hiyo tarehe 11 ya Kesho Kwa Sababu atakuwa kwenye msiba.
Je Jambo hili limetokea kama coincidence au Madhabahu ya Mungu wa Mwamposa imetenda kazi?
Ushauri wangu Kwa Mange . Watu wanao itwa Watumishi WA Mungu achana nao unaweza kupata matatizo ambayo hukuyatarajia.
Huko kwenye Madhabahu ZA kiroho huwaga Kuna prayer line maarufu Sana inatumiwa Na prayer warriors Ina SEMA " THOSE WHO WANT US TO CRY , OUR LORD GOD WILL THEM CRY BLOOD FIRST"
Hivi Mwamposa akisema kwamba Huo msiba ulio kupata dada angu Mange Ni Kwa Sababu Kwa kuwa wewe ulitaka yeye Mwamposa Alie basi Mungu wa madhabahu yake amekufanya wewe Mange uanze kulia kabla yake , Je anaweza kukosa Kweli Kundi la watu watakao amini hoja yake? Hapana hawezi kukosa.
Maana yake Ni kwamba Imani ya watu Kwa Mwamposa itaongezeka Zaidi.
Mimi ni muislamu lakini kauli mbiu yangu siku zote huwaga Ni " Usimtukane Nabii hata kama umesikia watu wanasema Ni Nabii WA uongo". Kwa Sababu for my personal opinion MTU hawezi kufake kitu Kwa Zaidi ya miaka mitatu mfululizo. ( U will always become what u pretend to be )
Kwa hiyo hata kama mtu alikuwa ana pretend unabii mwanzoni wakati anaanza baadae anaweza kujikuta consciousness yake Ina msuta Ina mtaka awe Nabii Kweli.
Hiki ninacho kisema kimekuwa proved Kwa watu wengi Sana.
Masanja Mdandamizaji alikuwaga anaigiza upasta mwisho wa siku Kawa pasta Kweli.
Pastor Miyamba alikuwa anaigiza kama pastor kwenye movie mwisho wa siku kawa pasta Kweli.
Yule jamaa aliye igiza movie ZA YESU mwisho wa siku alijikuta anatenda miujiza Kweli
Mifano IPO Mingi Sana Na sio ya upasta Tu Na hapo nimezungumzia hiyo ya watu kuigiza kwenye movie Na sio wale wanao pretend huku mitaani Na kwingineko kama vile Mwijaku amekuwa Aki pretend kwamba yeye ni mtu muhimu katika jamii Sasa hivi mpaka Rais anamtaja hadharani.
Mifano Ni Mingi mno.
Rest in peace DK Mwele Malecela.
Pole Sana Mange Kimambi Na wafiwa wote
Mwenyezi Mungu awatie nguvu
Umemuona Hilo Joka?mbona watu mnaongeaga Kama mmekatwa vichwa?Na Joka kubwa alilonalo Watu wa Maliasili wana taarifa nalo? LIKUD unataka tufunguke na mengineyo ujue kuwa huyo Tapeli wa Kiroho kuna Watu wanamjua ndani nje, ila wameamua tu Kunyamaza aendelee Kutajirika kutokana na Upumbavu wa wengi wenu mnayemuona Mungu Mtu hapa duniani?
MmmmhAkishuka kwenye gari watu wanapiga magoti.
Wewe lazima Ni mzee wa Upako..maana si kwa chuki hiziMwamposa acha Kutisha Watu na huna Nguvu hiyo Wala Ubavu huo. Anza na Ndugu zako hasa Dada yako wa Gongo la Mboto na aliyekuwa Mfanyakazi wako sasa anaishi Bunju kisha maliza na Mmoja wa Watendaji wako hapo Kanisani unayemuamini na Kumpenda mno kwa Kuvuja kwa Siri zako za Ndani na Upuuzi wako sawa?
Uchawi wako umeutoa nchini Nigeria mji wa Kanu ila kwa sasa unapata sana Uchawi mkubwa kutoka Congo DR, Msumbiji na Zambia achilia mbali na ule wa kutoka Mkoani Kigoma.
Tunajua kuwa ulitakiwa uhame hapo Kawe, ila sasa wamekuacha ubakie hapo kwakuwa kila Wiki huwa unawapa Rushwa Waandamizi Wakubwa Wanne katika Serikali ya Rais Samia hivyo wanakukingia Kifua na ule mpango wako wa Kujenga Kanisa lako Kubwa Goba kwa sasa umeusitisha.
au unataka tuweke Hadharani ya Moshi?
Cc: LIKUD
Una uchungu Sana,huu muda uko hapa kunung'unika unaweza utumia kutapeli na wewe ukanunue nyumba ya 2B,mjini akili babaHizo Sadaka wanazotoa Masikini Wapumbavu kila Will Kwake ndiyo amezitumia Kununua Nyumba nzuri na yenye Eneo Kubwa ya aliyekuwa Rubani wa Ndege wa Hayati Mwalimu Nyerere kwa Shilingi Bilioni 2 hapo Avocado Mikocheni mita chache tu kutoka ilipo Tripple Seven Hotel na nyumba ya Mkwewe Rais Dk. Mwinyi wa Zanzibar.
Cc: LIKUD
Mwamposa Ni binadamu,kuzaa ni kawaida tu.Kwani kwa original east hawajaona file la mwamposa limeanza kutolewa,dada aliezaa nae etc mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91]