Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Kumbe JamiiForums kuna Member aitwae Gentamycene? Sisi tunayemjua ni Yule anayejiita GENTAMYCINE ambaye hata Mimi Mightier ninamkubali mno tu.
Nakazia
 
Mwamposa ameshalipuliwa na Original East. Amezaa na mfanyakazi wa Wasafi na mama kichanga ndiye mnufaika wa fungu la kumi.
sizani kama aliwahi kupinga, ila alisha wahi elezea katika madhabau yake...
 
upuuzi mtupu , yani hawa manabii wa uongo wanashida sana ,jitu tapeeeli linauzia wenzie mafuta ya alizeti na maji ya canadian bado wanaliamini tu, njaa mbaya sana jameni
 
Tena hata sio mama wa kambo..huyo ni mama tu mange alijiweka kwake....hawana uhusiano wa karibu hata....yani haaaaataaaaaaaaa.........
Mange tu na hashuo zake mama.mama
uhusiano ulikuwepo na sababu alikuwa anapokea dushe toka kwa mmoja wa wana familia...
 
Mwamposa ameshalipuliwa na Original East. Amezaa na mfanyakazi wa Wasafi na mama kichanga ndiye mnufaika wa fungu la kumi.
Hata Nabii Daudi alizaa na nje ya ndoa na mke wa mtu wa Huria na akamuua mumewe achukue mkewe. Na Bwana Yesu akazaliwa ktk ukoo huo huo wa mke wa mtu aliyezaa naye. Mwanaume kuzaa na mwanamke zaidi ya mmoja siyo kashfa manabii wengi walizaa na wanawake zaidi ya mmoja na vitabu vyao tunavikubali. Kashfa angekuwa SHOGA au BASHA au MCHAWI hiyo ndiyo kashfa.
 
upuuzi mtupu , yani hawa manabii wa uongo wanashida sana ,jitu tapeeeli linauzia wenzie mafuta ya alizeti na maji ya canadian bado wanaliamini tu, njaa mbaya sana jameni
Mwamposa ameingia Ubia na Kampuni ya Maji ya Canadian cha Kushangaza sasa Yeye kule kila Chupa anauziwa Tsh 350 ila anakuja Kuwauzia Majuha na Wendawazimu wa Imani pale Tanganyika Packers Kawe Tsh 1,000 na bado tu inanunua.

Hivi Mtu wa Mungu kweli anapashwa kuwa Mdhulumati na Mnyonyaji tena kwa Waumini wake ambao anajua kabisa kuwa 90% yao ni Masikini? Ndiyo maana Rais Kagame wa Rwanda alizuia huu Upuuzi na Kufukuza kabisa Takataka kama hizi ( hawa ) nchini mwake.
 
sizani kama aliwahi kupinga, ila alisha wahi elezea katika madhabau yake...
Acha Uwongo Wewe hajawahi. Haya na huyo Mwanamke Mkalimani wake aliyenae pia alishawahi Kuwaelezea hapo Madhabahuni Kwenu / Kwake? Acha Unafiki na Ujuha tafadhali.
 
Hata Nabii Daudi alizaa na nje ya ndoa na mke wa mtu wa Huria na akamuua mumewe achukue mkewe. Na Bwana Yesu akazaliwa ktk ukoo huo huo wa mke wa mtu aliyezaa naye. Mwanaume kuzaa na mwanamke zaidi ya mmoja siyo kashfa manabii wengi walizaa na wanawake zaidi ya mmoja na vitabu vyao tunavikubali. Kashfa angekuwa SHOGA au BASHA au MCHAWI hiyo ndiyo kashfa.
Kwahiyo unahalalisha Uhuni na Umalaya kwa reference ya Daudi wa katika Biblia? Kuna Watu ni Fools na nashangaa kwanini Covid-19 haikuondoka tu nanyi ili mpungue duniani na tubakie wenye Akili tu.
 
upuuzi mtupu , yani hawa manabii wa uongo wanashida sana ,jitu tapeeeli linauzia wenzie mafuta ya alizeti na maji ya canadian bado wanaliamini tu, njaa mbaya sana jameni
Hata maji ya hills pia yapo pale ,by the way mbona wengine wanaenda na maji yao
 
Kwahiyo unahalalisha Uhuni na Umalaya kwa reference ya Daudi wa katika Biblia? Kuna Watu ni Fools na nashangaa kwanini Covid-19 haikuondoka tu nanyi ili mpungue duniani na tubakie wenye Akili tu.
Kile kipindi Cha kina daudi ni kipindi kingine tofauti na sisi tunachoishi
 
Kwahiyo unahalalisha Uhuni na Umalaya kwa reference ya Daudi wa katika Biblia? Kuna Watu ni Fools na nashangaa kwanini Covid-19 haikuondoka tu nanyi ili mpungue duniani na tubakie wenye Akili tu.
Kile kipindi Cha kina daudi ni kipindi kingine tofauti na sisi tunachoishi
 
Tell them
Hata Nabii Daudi alizaa na nje ya ndoa na mke wa mtu wa Huria na akamuua mumewe achukue mkewe. Na Bwana Yesu akazaliwa ktk ukoo huo huo wa mke wa mtu aliyezaa naye. Mwanaume kuzaa na mwanamke zaidi ya mmoja siyo kashfa manabii wengi walizaa na wanawake zaidi ya mmoja na vitabu vyao tunavikubali. Kashfa angekuwa SHOGA au BASHA au MCHAWI hiyo ndiyo kashfa.
 
Back
Top Bottom