begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
haha, nilikutana na kibano ndugu niliingia kijiji flan kigoma kijijini.imefika usiku nimeingia kulala ni kakalibishwa kwa shoti ukutaani kama za radi, siku ya pili nilikuwa naota ile kuamuka nakuta wazee wangwasuma wamenizingira geto natoa sauti ikawa haitoki ndipo nikajitoa ufahamu nikasema kwa jina la yesu wanga wakapotea pale pale.Ulikutana na kibano? Nami nilikuwa hivyo, sasa mtu hanidanganyi wala haniambii kitu kuhusu Mungu.
Sababu ni zile zile uoga au kuaminishwa tokea utotoni na mazingira uliyokulia,Na ndio maana nakwambia sasa wapo madaktari kabisa ambao wanaamini Mungu na kuamini story zilizoelezwa kwenye vitabu vya dini.
Sio waarabu wote matajiri, Kuna nchi uarabuni Kama Lebanon, Jordan, Yemen, west bank, Libya ni maskini, waarabu sio Dubai tuNimetaja waarabu kama watu ambao ni matajiri ila wanaamini Mungu, waislamu wapo hata afrika ambako ni masikini kwahiyo ni wewe tu mwenye umekurupuka.
Waganga wa kienyeji wapo wengi bongo kuliko ulaya, so huwezi prove chochoteDuh! Mkuu jaribu kuwa muelewa sijui kwanini bado umekazania kushindanisha? Waafrika elimu wanayo ndio maana kuna mahospitali na kuna madaktari sio waganga wa kienyeji.
Coz hayupo ndo maana, Ila ubongo wangu ungeamua kumuota ningesema kanitokea, si ka watu wanaotokewa na Bikra maria chumbani, Kama we sio mkatoliki huwezi tokewa nae why asa, it shows ni mind imeamua kuamini na kutengeneza thoughts za Mungu Ila sio realityKwanini anitokee mimi? Kwa nini hauulizi hajakutokea wewe?
Umechagua bible na sio kitabu Cha wahindi why? Kwa nini Biblia isieleweke directly mpaka mtu asome in a way kila kitu kimake sense, kwani vitabu vingine vyote huvisomi hivyo ila Biblia inapokosea unafosi kuipatishaNimejaribu kukaa kimya lakini nimeshindwa. Sijui lengo la wanaopinga juu ya uwepo wa Mungu wanafanya hivyo kwa nia gani hasa! Ni kweli hawaamini kuwa Mungu Yupo au ni wanataka kuwafikirisha watu zaidi? Lengo lao ni ili watu wakazane zaidi kumtafuta Mungu au waachane na imani ya kumwamini Mungu?
Wengine wanadai Vitabu vitakatifu vina contradiction, jambo ambalo siliamini.
Kwa mfano Biblia, na ninaizungumzia Biblia kwa sababu ndiyo niliyoisoma, haina mkanganyiko wowote ule. Tatizo linakuwa tu kwenye uelewa wa mtu mwenyewe.
Nimesoma baadhi ya hoja zinazodaiwa ni za wanazuoni wa Biblia, za kile wanachokisema contradictions za Bible. Nimeshangaa kama the so called professor wa Theology anakanganywa na mambo mepesi hivyo, huo uprofesa sijui ailupataje! Ndiyo wale wale wanaofikiria wanaijua Biblia kisa tu wamekariri vichwani mwao lakini hawajaliruhusu Neno kuingia mioyoni mwao. Kama Maandiko yamewajaa vichwani lakini mioyoni ni kukame, ni rahisi kujichanganya na hata kuwachanganya wengine
Mahali pekee sahihi kwa Neno la Mungu ni moyoni mwa mtu, ni hapo ndipo uhalisia Wake utakapoweza kuonekana na kuwa msaada kwa mhusika.
Wanaodai Biblia inakanganya ni kwa sababu hawajaitafsiri kwa kufuata maelekezo ya Biblia yenyewe. Maandiko yanatafsiriwa kwa Maandiko.
Ikiwa utakutana na Andiko usilolielewa, usikurupuke kujipa maana unayohisi. Tulia. Omba na kusubiria majibu kwa "Librarian" wa Mbinguni.
Biblia inasemaje kwa habari ya kutafsiri Maandiko? Kila Neno lithibitishwe kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu. Maana yake, endapo ukikutana na mstari unaozungumzia jambo fulani, hupaswi kuitumia kama reference mpaka utakapopata ushahidi wa Andiko lingine linaloiunga mkono. Vinginevyo, huo mstari unaweza ukawa unamaanisha kitu kingine tofauti na ulivyofikiri.
Kama haujalielewa Andiko, ni bora uliache mpaka utakapolielewa. Ndivyo Biblia inavyoelekeza: "Mambo ya siri ni ya BWANA, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele..." Kumbukumbu la Torati 29:29.
Kuhusu kutafsiri Maandiko, thibitisha kwa kutumia Maandiko mengine. Ukikosea Andiko linalounga mkono, inawezekana likawa na maana tofauti na uliyoidhani au huenda wewe ndiyo hujaelewa. Unaweza ukawauluza unaowaamini wanao uelewa kukuzidi.
Muhimu ni kuhakikisha kuwa kila Andiko lina Andiko linalokubalinana nalo.
"... Kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno litathibitishwa." 2Wakorintho 13:1
"...jambo na lithibitishwe kwa vinywa vya mashahidi wawili, au watatu." Kumbukumbu la Torati 19:15
"...ili kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno lithibitike"Mathayo 18:16
"Usikubali mashitaka ya mzee Ika kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu" 1Timotheo 5:19.
Kamwe, hakuwezi kuwa na mkanganyiko endapo utaitafsiri Biblia kwa kuitumia Biblia.
Siogopi Mimi, nikikuambia mama Ako kafa lakini we unamwona afu nakuambia we unaona yupo coz huamini Kama hayupo, we si utaniona chizi, lakini comes to God ambae hamna mtu Ashawahi kumwona Ila tunaambiwa yupoSijasema kukuaminisha ila nachokuuliza kwanini unakimbilia uthibitisho? Ina maana unaogopa kuaminishwa ndio maana unakimbilia kudai uthibitisho kama kinga ya kuzuia usibadilishiwe mtazamo uliyonao sasa?
Sio elimu ya darasani ya kujua mitochondria is the powerhouse of the cell, elimu ya kureason na logic na kugenerate ideas, hamna scientific discoveries au philosophical ideas za mtanzania, si kazi yetu ni kusoma kilichogunduliwa na wenzetu so huwezi linganisha elimu yetu na ya kwaoNarudia kusema kwamba unachokieleza sasa ni issue yenye kuhusu afrika na kutokuwa na maendeleo na si suala tena la madai ya waafrika kutokuwa na elimu ndio kunafanya wanaamini Mungu.
Kuhusu suala la elimu unataka nikanushe nini ikiwa wewe mwenyewe bado unarukaruka mara waafrika wenye elimu wanaigiza wanaamini Mungu kwa sababu tu za kisiasa na kuhofia jamii mara tena waafrika na waarabu hawana elimu kama waliyonayo sijui Northern europe ndio maana bado wanaamini Mungu mara waafrika hawaamini Mungu ndio maana wanafanya yaliyokatazwa na huyo Mungu.
Yani ukiona watu afrika wanafanya mambo yaliyo kinyume na makatazo ya Mungu unasema hawaamini Mungu ila huko kwengine wenye elimu unaona elimu yao ndio inawafanya wasiamini Mungu.
Why kila aspect ya maisha unataka uthibitisho wowote uwe convinced Ila kwenye swala la Mungu unajitoa akili?Swali langu kwanini unakimbilia kudai evidence? Sio kwamba nataka kulazimisha ukubali uwepo wake ila nachouliza ni huko kukimbilia kwenye hitimisho la kudai evidence, unaogopa nini? Nasema hivyo kwa sababu kudai evidence imekuwa kama kinga.
Unajuaje nguvu ni ya MunguMungu ni jina tu ila tambua hakuna kitu kinafanyika bila nguvu fulani, na wewe pia ni sehemu ya hiyo nguvu isiyokuwa na mwisho , kwa hyo ukimtafuta huyo unaempa jina la Mungu njee yako hautapata jibu sahihi , udhibitisho wowote wa Mungu [ nguvu kuu y uumbaji) inakujumuisha na wewe na vyote vilivyopo na visivyonekana kama hewa ,joto na nk.
Wewe unaweza ukawa na matatizo yako ukasema ni uchawi mwingine akatafsiri kilogic na akalitatua bila uganga Wala mwamposa, we kusema umetokea na mapepo ni we kushindwa kutafsiri natural phenomena ukaassume ni mapepo. Mi nililala usiku nikaganda Ila sikupanic coz najua ni sleep paralysis ila mtu mwingine atajua ni jinamizi ataanza kutafuta mganga au mchungaji. Knowledge is power, ukielewa circumstances za ubongo vizuri huwezi kuamini uchawihuamini kwa sababu haijakutokea,so waliopata shida kwa hayo ambayo huya amini sasaivi wana kuchukulia fara tu,kwanza hujitambui, nyindo wale mkifanikiwa ubisho mwingi munaona wengine hawajui kutafuta
Hiyo tafsiri ya kusema imani ni kuamini kitu bila uthibitisho umeipata wapi? Hebu nipe mfano wa jambo moja la kuamini kwa uthibitisho.Hope sio sawa na faith. Kiswahili ni lugha pungufu imefanya neno liwe moja. Hope ni kutamani kitu fulani litokee...Imani ni kuamini kitu bila udhibitisho... Kuna uthibitisho mkubwa kuwa mtu akilala anaamka, lakini hamna uthibitisho wa Mungu kuwepo
Hujiulizi why vinatokea kigoma a place ambao Ina watu wenye low level of economic status na low level of education. Why not Moshi, dar, Arusha na bukoba. Why places za tanga, sumbawanga, shinyanga na kigoma places zenye watu wenye maisha duni na wasio na elimuhaha, nilikutana na kibano ndugu niliingia kijiji flan kigoma kijijini.imefika usiku nimeingia kulala ni kakalibishwa kwa shoti ukutaani kama za radi, siku ya pili nilikuwa naota ile kuamuka nakuta wazee wangwasuma wamenizingira geto natoa sauti ikawa haitoki ndipo nikajitoa ufahamu nikasema kwa jina la yesu wanga wakapotea pale pale.
Google maana ya faith halafu urudi.Hiyo tafsiri ya kusema imani ni kuamini kitu bila uthibitisho umeipata wapi? Hebu nipe mfano wa jambo moja la kuamini kwa uthibitisho.
Kutokuwa na uthibitisho wa kuwepo Mungu ni jambo moja na wewe kudai kwa uhakika kuwa hakuna Mungu ni jambo lengine, uhakika wa kwamba hakuna Mungu we umeupata wapi?
Halafu katika jamii zote hizi duniani mifano yenu ni kwa wazungu tu.Kama kitu hujui tafuta majibu ndo maana wazungu wanaotengeneza dawa na chanjo Nyie mnakesha makanisani
Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.
Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia, baadae vijana wakajitoa akili kwenda wakaona wazee ni waongo na hamna kitu mule. Wagiriki wakaja na miungu yao wakasema ipo ya milima ya Olympus, Leo hii watu wamepanda milima yote ugiriki hawajaona miungu hio.
Wakaja wayahudi, wakasema Mungu yupo mawinguni. Ukifuatilia hata Yesu alipaa mawinguni, Mungu alifungua madirisha ya mbinguni kuleta mafuriko, alichungulia kutoka mawinguni kwenye mnara wa babel, etc. Waislamu nao wakaja na mbingu Saba sijui. Anyways wazungu wametengeneza ndege na rocket zimeenda mawinguni, nje ya dunia, mpaka mwezini. Sasa hivi watu wa dini wanasema yupo nje ya ulimwengu.
So nikagundua trend, wanamficha, wanamweka mbali ili watu wasiweze kumfikia, why? Kwa sababu hayupo? Kwa sababu hajasema hizo sheria? Why wanamficha. Afu wanakuambia anataka uamini yupo ndo utapona usipoamini unaunguzwa. Ukiuliza nikimwona afu nikamwamini, anasema no, lazma usimwone ndo uamini. Na wanaweka kifo mwisho wa kumuani ili waweze kuendelea kutunga sheria kwa jina lake na kuweza kuendelea kutawala watu kwa sababu hamna mtu Ashawahi kurudi akasema baada ya kifo kipo hivi.
Mwanasayansi mi nauliza Mbinguni Kuna Nini. Hamna njaa hamna maumivu hamna ndoa hamna chochote zaidi ya kumuabudu Mungu. Watu kanisani na msikitini hawapendi kwenda unategemea watapenda milele ya Ibada. So wakaamua kuanzisha motoni kutishia watu kwamba wataunguzwa milele. Sasa, ukifa unaacha mwili wako hapa, wanasema una roho, roho ni Nini, hoo mawazo sijui pumzi, ukiuliza unajua kazi ya ubongo ni Nini mtu hajui, haya tufanye roho ni ka upepo kanaenda motoni ehe kanaunguaje, hakana nyama, hakana nervous system hakana ngozi, hakana pain receptors, hakana ubongo au spinal cord, maumivu unayasikiaje, na bado hatujauliza huu Moto upo wapi, walisemaga chini kisa mavolcano lakini now hawasemi Tena coz of elimu.
Tukienda kwenye sheria zenyewe sijui usivae nguo tofauti, usile shellfish, usichanganye mazao, usimwage nje, usiabudu sanamu lakini abudu kitu Cha kufikiriwa na myahudi, hivi kwa Nini mtu atengeneze nyota billion 60 na sayari trillion afu aje kujali binadamu wewe ambae ni Kama vumbi kwa huu ulimwengu unamwaga wapi. Na kwa Nini sheria hizi zinaonekana Kama sheria za kabila ya la zamani huko kwenye majangwa na haziendani na sheria za binadamu kuishi na watu vizuri. Na Wanavyosema tumuabudu siku ya Saba.
Siku zimekuja kutengenezewa baadae Sana na zimebadilika badilika Mara kwa Mara katika historia ya Mayans na Romans. Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku
Unasali wapi?
Sjasema ni ya mungu ila hyo nguvu waliipa jina la Mungu , ni namna tu ya utambulisho.Unajuaje nguvu ni ya Mungu
Hayo mambo yapo. Shetani yupo, na Mungu Yupo, lakini Mungu anao uweza wote.haha, nilikutana na kibano ndugu niliingia kijiji flan kigoma kijijini.imefika usiku nimeingia kulala ni kakalibishwa kwa shoti ukutaani kama za radi, siku ya pili nilikuwa naota ile kuamuka nakuta wazee wangwasuma wamenizingira geto natoa sauti ikawa haitoki ndipo nikajitoa ufahamu nikasema kwa jina la yesu wanga wakapotea pale pale.
Kwahiyo hiyo tafsiri ya imani ni kuamini bila uthibitisho umeitoa google? Mimi sijaiona huko google nipe link, halafu nipe na mifano ya kuamini kwa uthibitisho.Google maana ya faith halafu urudi.
Hauna uhakika kwamba Babu Christmas, fairies, goblins, vampires, were wolves, dragons, unicorns, easter bunny etc hawapo, Ila huwaamini kuwa wapo, same as me, Sina uhakika Kama Mungu yupo au hayupo, nyie mnasema mna uhakika ndo maana naomba uthibitisho kuwa Mungu yupo na ndio aliyeandikwa kwenye Biblia au Quran na sio wa kihindi au kigiriki
Ulishawahi kusafiri kwa basi toka Dar hadi Mwanza, au kwingineko ambako ilikuwa ni safari ya mbali? Labda ilikuwa ni safari yako ya kwanza kwenye hiyo route, ulipotea kwa vile hujawahi kuipita?Umechagua bible na sio kitabu Cha wahindi why? Kwa nini Biblia isieleweke directly mpaka mtu asome in a way kila kitu kimake sense, kwani vitabu vingine vyote huvisomi hivyo ila Biblia inapokosea unafosi kuipatisha