Mungu Yuko wapi?

Wewe hujanielewa huwezi ukamzungumzia Musa ukaacha kuizungumzia Dini, ndio maana nakwambia ukiondoa DINI hakuna MUNGU, ondoa DINI alafu nionyeshe MUNGU namaanisha ondoa zile simulizi za biblia na Qur'an weka kando nionyeshe MUNGU nje ya DINI
 
Wewe hujanielewa huwezi ukamzungumzia Musa ukaacha kuizungumzia Dini, ndio maana nakwambia ukiondoa DINI hakuna MUNGU, ondoa DINI alafu nionyeshe MUNGU namaanisha ondoa zile simulizi za biblia na Qur'an weka kando nionyeshe MUNGU nje ya DINI

Hapo ndo wengi akili zilipoaminishwa kwamba ni DINI,Lakini hata Ibrahimu mwenyewe hakuwa na DINI wala adamu lakini utakuta kwa wakristo na waislam na dini zengine.
 
Kwani wewe kinachokukwaza nini,? kwamba jina? Kwamba katika utatu..na nadhani unachokiuliza unakifahamu maana unauliza swali na kujijibu
 
Hapo ndo wengi akili zilipoaminishwa kwamba ni DINI,Lakini hata Ibrahimu mwenyewe hakuwa na DINI wala adamu lakini utakuta kwa wakristo na waislam na dini zengine.
Ibrahimu umemtoa wapi wewe km sio kwenye kitabu Cha DINI? Ondoa Ibrahim ondoa Musa ondoa Isaka sijui Yakobo Ishemail wote weka kando funga biblia fanya hujawahi kuiona kabisa na hujui simulizi za biblia, sasa hapo nionyeshe MUNGU usinionyeshe kutoka kwenye biblia nionyeshe MUNGU nje ya biblia
 
Kwani wewe kinachokukwaza nini,? kwamba jina? Kwamba katika utatu..na nadhani unachokiuliza unakifahamu maana unauliza swali na kujijibu

Hamna kinachonikwaza, najaribu kuelezea mistari ambayo ipo na imeshafika majira yake lakini kwakuwa wengi wana mapokeo ya DINI, thehebu, theologia, psychologia na philosophia wengi wamebaki hapo kwenye hizo elimu za dunia.
 
Ndugu kaa na ufikiri kwa makini,hivi ulishawahi fikiri wewe kuwepo duniani nani sababu ya wewe ulivyo?wewe ulishawahi fikiri ulitoka wapi?ulishawahi tafakari huu uumbaji wa Mungu ulivyo?ndugu tafakari,usijivune mwamini na mwabudu Mungu yeye ndiye kila kitu usifanye moyo kuwa mgumu utajua siku moja
 

Je kwenye uislam hakuna Ibrahim o Isaka, wengi wamebaki kweny kituo cha DINI na thehebu ambavyo kiuhalisia ni utengano kiimani ulioletwa na dunia na ulimwengu lakini Muumba wa vyote hana dini wala thehebu.
 
Katika ulimwengu wa giza yaani falme na mamlaka katika ulimwengu wa Roho walikuwa wanaweza kuona nyota yako miaka hata mia (100) kabla hujazaliwa na kuchukua kila kitu au kukubadilishia kusudi la kuumbwa kwako, Lakini wengi hawajui hilo.

But KITABU (biblia) kilikuwa kinatumika hasa katika ulimwengu wa giza kuweka maagano ya kumfunga mwenye haki.
 
Mpaka sasa hakuna like hata moja!
 
Hii simulizi na hekaya umeitoa wapi ? Uliwahi kua na huo mwili mpya ukaonja joto ya jiwe au umesimuliwa na waliowahi kufanywa hivyo ? Mda mwingine tuwe na kiasi Cha kuogopeshana jaman, usiwajaze watu uoga swali ni kwamba ukifa unaenda wapi ?
Sijakuogopesha, woga umeutengeneza wewe kwenye ubongo wako kama mtoto tu anavyotazama filamu la kutisha saa ya kulala akaogopa kuzima taa.
 
Je kwenye uislam hakuna Ibrahim o Isaka, wengi wamebaki kweny kituo cha DINI na thehebu ambavyo kiuhalisia ni utengano kiimani ulioletwa na dunia na ulimwengu lakini Muumba wa vyote hana dini wala thehebu.
Wewe naona lugha gongana, Mimi naongea kifaransa wewe unaongea kipotuguizi, basi sawa mkuu Ila kaa uelewe nje ya DINI hakuna MUNGU kuna sayansi na wana sayansi
 
Sijakuogopesha, woga umeutengeneza wewe kwenye ubongo wako kama mtoto tu anavyotazama filamu la kutisha saa ya kulala akaogopa kuzima taa.
Ukifa unaenda wapi ? Kuzimu ?
 
Wewe naona lugha gongana, Mimi naongea kifaransa wewe unaongea kipotuguizi, basi sawa mkuu Ila kaa uelewe nje ya DINI hakuna MUNGU kuna sayansi na wana sayansi

Sio kweli japo unalazimisha iwe kweli, kwani wasio na dini inamaana wao sio wa Muumba?
 
Muumba anaangalia atendae kwa haki ila sio huyu anajua biblia o huyu anajua quran na vitabu vinginevyo.

Kwakuwa dunia na ulimwengu (falme na mamlaka) ilijua ivyo ndo maana ikaandika mateso ya mwenye haki ni mengi zaburi 34:19 na haki ya mwenye haki haita msaidia kwakuwa wakati huo uumbaji ulikuwa chini yao Luka 4:6.
 
Ubongo una imperfections nyingi ambazo zinathibitisha kuwa ulikuwa designed na master brain.

Hata huyo aliyetoa hilo wazo ni matokeo ya taarifa za uongo zilizosababishwa na wrong interpretation kwenye ubongo wake.
 
Inategemeana na imani yako. Ww unaamini unakwenda wapi?
First law of thermodynamics, states that the energy of a closed system must remain constant—it can neither increase nor decrease without interference from outside.

This law, first proposed and tested by Émilie du Châtelet, means that energy can neither be created nor destroyed; rather, it can only be transformed or transferred from one form to another.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…