Embu leta hayo maandiko hapaYou mean kwamba wakina Isaac Newton tumewasoma kwenye maandiko hayohayo na ndo walibuni vitu hadi sasa tunatumia pia ni uwongo?
Embu leta hayo maandiko hapa
We jamaa.Unakubali kuwa Kuna watu walishawahi kufa na kufufuka?
Mkuu, hivyo ni vitabu vya dini?View attachment 2666465
Au ulifikiri maandiko yapo kwenye Bible na Quran pekee?
Bible haina contradiction bali contradiction ni mawazo ya msomaji...... kwenye saikolojia kuna kitu huitwa perception...hii ni mitazamo tofauti juu ya picha moja mtu ana jinsi anavyouona ulimwengu na kila kitu kilichopo sø hata ww kusema bible ina contradiction kisaikolojia tunacoclude kwamba madai yako h\yawezi kuchukuliwa kuwa ni sahihi kwa sababu kwa upande mwingine kile unachoona hakipo sawa kwake kipo sawa na kinaeleweka na hata post yako haiwez kusimama kama principal maana ile ni idea yako na si idea ya watu wote.Hizo habari ni hadithi za kutunga tu kwa sababu ya hizo contradictions.
Hadithi inaweza kuwa na contradiction, ukweli hauna contradiction.
Wapotoshaji hawaj anz jana na leo. Wapo tokea miaka ile.Musa mwenyewe historia inasema hajawahi kuishi, archaeology iliyofanyika Egypt na Israel inasema story yote ya Exodus haina uthibitisho wa kihistoria
Yani hata hujaniuliza contradictions ziko wapi ushakimbilia kusema Bible haina contradictions?Bible haina contradiction bali contradiction ni mawazo ya msomaji...... kwenye saikolojia kuna kitu huitwa perception...hii ni mitazamo tofauti juu ya picha moja mtu ana jinsi anavyouona ulimwengu na kila kitu kilichopo sø hata ww kusema bible ina contradiction kisaikolojia tunacoclude kwamba madai yako h\yawezi kuchukuliwa kuwa ni sahihi kwa sababu kwa upande mwingine kile unachoona hakipo sawa kwake kipo sawa na kinaeleweka na hata post yako haiwez kusimama kama principal maana ile ni idea yako na si idea ya watu wote.
Ujue kuna watu psychology zenu bhana huwa zinahitaji umakini ili kuendana nazo. Mpo tyari kutumia kila hila ili mjinasibu na muoneshe kuwa kilichoandikwa kwenu ni sahihi.
Inakusaidia nini hiyo mkuu?
Hapa sioni cha kujibu
Kwanza kabisa naomba huo mstari wa quran ili tuthibitishe dai lako.
Bila kuuona huo mstari, ntasema wewe ni muongo.
Qur'an 86:6-7.
Ameumbwa mwanadamu kwa tone linalotoka kati ya mgongo na mbavu.
Unauhakika kabsa hzo mbegu za kiume zinazalishwa kwenye uti wa mgongo na si kama ulivyofundishwa sekondari?
Kwa mara ya kwanza tafiti hii ilifanywa na Prof Keith Moore Toronto University early 1980's akachapicha vitabu na majalida vilivyotumika kufundishia duniani kote ktk universities fani ya embryology.
Kwahiyo wewe unamuamini mtu ambae hakuwa anajua kusoma na kuandika badala yake unaacha Science hii tuionayo leo kwa shuhuda na proof tele?
Ujue kuna watu psychology zenu bhana huwa zinahitaji umakini ili kuendana nazo. Mpo tyari kutumia kila hila ili mjinasibu na muoneshe kuwa kilichoandikwa kwenu ni sahihi.
Inakusaidia nini hiyo mkuu?
Kwanza kabisa naomba huo mstari wa quran ili tuthibitishe dai lako.
Bila kuuona huo mstari, ntasema wewe ni muongo.
Unauhakika kabsa hzo mbegu za kiume zinazalishwa kwenye uti wa mgongo na si kama ulivyofundishwa sekondari?
Kwahiyo wewe unamuamini mtu ambae hakuwa anajua kusoma na kuandika badala yake unaacha Science hii tuionayo leo kwa shuhuda na proof tele?
Wewe tuonyeshe ya kuwa hivyo vitu vinaweza kutokea pasi na chochote.Hautoi nafasi ya hata kidogo kuwa si lazima mtu awepo aliyefanya hivo?
Akili zisizo za kawaida zikoje ?Kwanini hufikirii kutumia akili zisizo za kawaida?
Kama Dunia ina chanzo, huyo Mungu yeye atakuwa katoka wapi
Mola yupo na najua yupo na hajawahi kutokuwepo.Mungu yupo?
Au unaamini yupo?
Bac if hutaki kujibu acha...umeshindwa mdahaloNilishakujibu hili swali. Wewe ni bishi
Maandiko yapi unayatumia na kumthibitisha Mungu yupiSi lazima awepo mtu aliyefanya ndiyo ila kuna nguvu inayowezesha hayo, Haya wewe nikuulize tuu swali mimi naweza kutumia maandiko ya vitabu vya dini kuthibitisha uwepo wa Mungu haya na wewe unathibitisha na nini kwamba hayupo?
Basi niambie watu au malaika wangapi walikuwepo kaburini, ukitoka hapo uniambie je lugha tofauti zilianza baada ya watoto wa nuhu kusambaa au baada ya tower of babel, na Mungu aliumba mwanamke na mwanaume au mwanaume then mwanamke, na pia nani alimwambia Daudi afanye sensa...Bible haina contradiction bali contradiction ni mawazo ya msomaji...... kwenye saikolojia kuna kitu huitwa perception...hii ni mitazamo tofauti juu ya picha moja mtu ana jinsi anavyouona ulimwengu na kila kitu kilichopo sø hata ww kusema bible ina contradiction kisaikolojia tunacoclude kwamba madai yako h\yawezi kuchukuliwa kuwa ni sahihi kwa sababu kwa upande mwingine kile unachoona hakipo sawa kwake kipo sawa na kinaeleweka na hata post yako haiwez kusimama kama principal maana ile ni idea yako na si idea ya watu wote.
😂Kama hamna ushahidi wa hizo story si za uwongo au...we ndo umepotoshwa na kanisa lako ili uwanunulie magariWapotoshaji hawaj anz jana na leo. Wapo tokea miaka ile.
Kwa ufupi tu chunga kauli zako, usijifanye mjanja. Zitakuja kukuponza
Tulikuwa tunashindana?Bac if hutaki kujibu acha...umeshindwa mdahalo
Ujue imani yenu bhana katika kuharibu tafiti za watu sio vzuri.Qur'an 86:6-7 Ameumbwa mwanadamu kwa tone linalotoka kati ya mgongo na mbavu. Hii imeandikwa karne ya 7.
Wanasayansi wakaanza tafiti zao 1980's chini ya Prof Keith Moore wa Toronto University, wakathibitisha baadae sana,
Kama unaiamini science huwezi ukaamini hiko kitabu chako chenye uongo wa wazi kabisa wakati sayansi hiyo hiyo inakiprove wrong kila kukicha.Namuamini asiyejua kusoma na kuandika, naiamini pia science ya leo yenye ushuhuda, GOOD LUCK ni kwamba havipishani, usiwe tu mvivu wa kusoma, 'free-mind' as well
Nikikwambia sijui utasemaje?Wewe tuonyeshe ya kuwa hivyo vitu vinaweza kutokea pasi na chochote.
Yaani tueleze ilikuwaje vikawa hivi vilivyo.