Mbona kama unazungumzia kitu ambacho unajua kiliwahi kuwepo na sasa ndio hakipo? Maana ni sawa mimi niseme Magufuli angekuwepo asingeruhusu huu mkataba wa bandari kutokana na jinsi nilivyomjua huyo Magufuli.Nikweli hayupo angekuepo asinge ruhusu contradiction kuwepo
Mfano huo ni toshelezi na hauhitaji kitu cha kuongezea.Nitakuuliza John yupi unamzungumzia kwanza?
Hapo ni kwamba unataka kubadili mantiki katika framework anayotumia.Mbona kama unazungumzia kitu ambacho unajua kiliwahi kuwepo na sasa ndio hakipo? Maana ni sawa mimi niseme Magufuli angekuwepo asingeruhusu huu mkataba wa bandari kutokana na jinsi nilivyomjua huyo Magufuli.
Kumbe unaamini tu ila huna uhakika huo kama yupo?Mimi naamini kuwepo Mungu hivyo nina sababu za kuamini.
Fear ya nini?
Unaweza nieleza sababu hizoMimi naamini kuwepo Mungu hivyo nina sababu za kuamini.
Fear ya nini?
Mtu anayesema kwamba naamini kuwa jua kesho litachomoza mashariki na kuzama maghribi,Mfano wa imani ya kweli ni ipi? Ni yenye uthibitisho?
Hujanielewa nlichokwambia hapo juu.Sasa ni bora mngesimamia hapo hapo kuwa hamuwezi kutambua uwepo wa Mungu kupitia milango ya utambuzi na tukajadili hilo maana ndio msimamo wenu, kuliko kuingia kwenye masuala ya contradictions ambapo ubaya wake mnajikuta mnalazimisha huo uwepo wa contradiction utoe jibu moja tu kuwa hakuna Mungu na si vinginevyo.
Kuna miungu mingi sana na katika yote hiyo hakuna hata mmoja mnayekubali uwepo wake na hiyo nadhani ni kwa sababu iliyoitaja kuwa hamuwezi kutambua uwepo wa mungu kupitia milango ya utambuzi.
Wewe umetambua vipi kama kuna Mungu huyo anaexist kama huwezi hata kuthibitisha?Sasa ni bora mngesimamia hapo hapo kuwa hamuwezi kutambua uwepo wa Mungu kupitia milango ya utambuzi na tukajadili hilo maana ndio msimamo wenu, kuliko kuingia kwenye masuala ya contradictions ambapo ubaya wake mnajikuta mnalazimisha huo uwepo wa contradiction utoe jibu moja tu kuwa hakuna Mungu na si vinginevyo.
Kuna miungu mingi sana na katika yote hiyo hakuna hata mmoja mnayekubali uwepo wake na hiyo nadhani ni kwa sababu iliyoitaja kuwa hamuwezi kutambua uwepo wa mungu kupitia milango ya utambuzi.
Waingie hapa tuje kujenga hoja.Duh!! Hili jukwaa Mashekhe na Mapadri wasiingie
Kuna wanaume wamejigeuza wanawake.Mfano huo ni toshelezi na hauhitaji kitu cha kuongezea.
John unayeuliza kuwa ni yupi, ni huyo mwenye sifa ya kuwa mwanaume bishoo halafu ni mwanamke mrembo.
Hilo ndio tatizo la kulazimisha kutumia hiyo unayoita contradiction kuhalalisha huo msimamo wako kuwa hakuna Mungu, wewe unaleta hoja ya contradiction na hapo hapo unatoa hitimisho la hiyo contradiction kuwa hakuna Mungu na hapo hapo unataka na uthibitishiwe uwepo wa Mungu.Hapo ni kwamba unataka kubadili mantiki katika framework anayotumia.
Anaposema kwamba Mungu huyo mwenye sifa ya uwezo wote ujuzi wote na upendo wote (ambae ndiyo anazungumzwa hapa) anayesimuliwa kila siku angelikuwepo kweli kusingelikiwa na utata katika dhana ya uwepo wake.
Ubaya wa contradiction hizo haziwezi kuondolewa na muumini yeyote labda tu abadilishe storyline nzima.
Ukikiri Mungu si wa upendo wote, si muweza wa yote ama si mjuzi wa yote atleast unakuwa umepunguza kitu,
Huyo Mungu hayupo, ukitaka kujua kwa hakika kama hayupo, jaribu kuthibitisha uwepo wake.
Sina mashaka hivyo nina uhakika.Kumbe unaamini tu ila huna uhakika huo kama yupo?
Umetoa mfano wako binafsi pasina kutoa maelezo imani ya kweli ina sifa zipi maana kwa hapo mie sijaelewa bado.Mtu anayesema kwamba naamini kuwa jua kesho litachomoza mashariki na kuzama maghribi,
hiyo ni imani ya kweli
Ingekuwa hivyo usingekuwa unatoa jibu moja tu la kuhitimisha kuwa hakuna Mungu kwa sababu ya hiyo contradiction, mara kadhaa nasema hili suala.Hujanielewa nlichokwambia hapo juu.
Nmekwambia kwamba katika mjadala, kuna muda pia inabidi uzame ndani ya dhana kwa kuassume ni kweli, yaan unaassume ni postive tu walau ili kuielewa zaidi dhana hyo (immanent critique / kwa mujibu wa mzungumzaji)
Sasa hata tukiassume ni postive kuwa Mungu yupo(for the sake of mjadala)
Bado unaona contradiction hzo zenye kukuonesha Mungu huyo hayupo.
Hivyo huwezi kuondoa kuwa uwepo wa contradiction sio sababu ya kudhihirisha kutokuwepo kwa Mungu.
Ama hujui kuwa kuna logical proof?
Can you prove that God exists even in logical form?"
Kwanza ina maana kila tunachojua lazima kiwe na uthibitisho au kujua kumeaambatana na uthibitisho tu?Wewe umetambua vipi kama kuna Mungu huyo anaexist kama huwezi hata kuthibitisha?
Kwa dhana ya kitu ambacho ni chenye ukweli, logical proof ni njia mojawapo ya kuthibitisha uhalali wa dhana hiyoHilo ndio tatizo la kulazimisha kutumia hiyo unayoita contradiction kuhalalisha huo msimamo wako kuwa hakuna Mungu, wewe unaleta hoja ya contradiction na hapo hapo unatoa hitimisho la hiyo contradiction kuwa hakuna Mungu na hapo hapo unataka na uthibitishiwe uwepo wa Mungu.
Unaelewa hata maana ya imani!?Sina mashaka hivyo nina uhakika.
Imani ya kweli siku zote inajengwa na facts + logical consistency.Umetoa mfano wako binafsi pasina kutoa maelezo imani ya kweli ina sifa zipi maana kwa hapo mie sijaelewa bado.