Hapo ni kwamba unataka kubadili mantiki katika framework anayotumia.
Anaposema kwamba Mungu huyo mwenye sifa ya uwezo wote ujuzi wote na upendo wote (ambae ndiyo anazungumzwa hapa) anayesimuliwa kila siku angelikuwepo kweli kusingelikiwa na utata katika dhana ya uwepo wake.
Ubaya wa contradiction hizo haziwezi kuondolewa na muumini yeyote labda tu abadilishe storyline nzima.
Ukikiri Mungu si wa upendo wote, si muweza wa yote ama si mjuzi wa yote atleast unakuwa umepunguza kitu,
Huyo Mungu hayupo, ukitaka kujua kwa hakika kama hayupo, jaribu kuthibitisha uwepo wake.