Nimekuuliz nani aliyeandika.Watu Kama mimi na wewe. Tena hawajulikani hata. Niambie Marko kaandika nani ..na kwa taarifa yako haijulikani Kama unabisha kasearch umtafute mwandishi. Halafu uje uniambie mwanzo kaandika nani. Na sio Musa.
Biblia inasema kwamba mpende adui yakoTatizo lako una soma Biblia kama story book.
Biblia ni kitabu kilichokamilika tena kwa matukio mengi haswa..Jibu lako lipo kitabu cha Mathayo 1:1-17
Hizi ni reference za kuonesha Mungu yupo au mnamabishano yenu binafsi ambayo mi sijayaelewa yanahusu nini?Wapi pamekuchanganya hapo. hakuna ujanga wowote hapo ni kuelimishana
Kabla hujanipeleka kwenye kujua kipi kilianza na kipi kilifuata, kwanza nataka kujua authenticity ya hivyo vitabu kuonesha kweli viliandikwa na Mungu na sio janja janja zilizokuwa invented na watu kwa maslahi yaoKwanza lazima ujue KITABU kipi kilianza na lipi kusudi, pili sio kila kilichoandikwa alikusudia Muumba ndo maana nikakwambia uumbaji ulikuwa chini ya mteka so hata hao waliotumwa including Yesu ilikuwa vivyo hivyo ndo maana haikuwa rahisi kwa mwenye haki kutenda haki au kusema kweli akasalimika kutokana na maagano mengi yalikuwa yamewafunga tangu hapo kwanza.
Hata Yesu aliulizwa na Pilato KWELI ni nini na hakuweza kujibu kwa wakati ule sababu kweli ilikuwa bado imefichwa gizani.
Hivi tafsiri ya wrong unapohusisha ubongo ni nn?Ubongo una imperfections nyingi ambazo zinathibitisha kuwa ulikuwa designed na master brain.
Hata huyo aliyetoa hilo wazo ni matokeo ya taarifa za uongo zilizosababishwa na wrong interpretation kwenye ubongo wake.
IllusionHivi tafsiri ya wrong unapohusisha ubongo ni nn?
Mfano 1. object rangi yake halisi ni ipi? Sisi ndo tunapachika rangi au object ndo ina rangi? Wenye tatizo la colour blindness wanatoa wapi rangi ambazo tusio na tatizo hatuzioni?
Mfano 2. Unapoota unatumbukia shimoni, wakati wa ndoto ubongo wako upo wright au wrong? Kama upo wrong kwanini unafeel so wright?
Kabla hujanipeleka kwenye kujua kipi kilianza na kipi kilifuata, kwanza nataka kujua authenticity ya hivyo vitabu kuonesha kweli viliandikwa na Mungu na sio janja janja zilizokuwa invented na watu kwa maslahi yao
Haya, huko kwenye first law ndipo utakapokwenda utakapokufa.First law of thermodynamics, states that the energy of a closed system must remain constant—it can neither increase nor decrease without interference from outside.
This law, first proposed and tested by Émilie du Châtelet, means that energy can neither be created nor destroyed; rather, it can only be transformed or transferred from one form to another.
Okey' Fake ni nn? Ndoto ni illussion?Illusion
Ubongo sio wa kuaminika mara zote, unaweza kukupa fake informations ambazo zinapingana na reality
Ukishaanza kutanguliza utabiri mbele maana yake ushaupima huo unaouita uthibitisho ukaona kuna loop holes kibao ambazo zina contradict logic.Hata ukiletewa authenticity utabisha ndo mana watu ni rahisi kwenda kwa mganga tofauti na aliyemuumba kwa jinsi akili na ufahamu ulivyokuwa programmed toka anakuwa.
Sasa ndoto ni reality?Okey' Fake ni nn? Ndoto ni illussion?
Ukishaanza kutanguliza utabiri mbele maana yake ushaupima huo unaouita uthibitisho ukaona kuna loop holes kibao ambazo zina contradict logic.
Na mimi nimeomba uthibitisho kwakua najua imani sio kitu muhimu kwenye kuupata ukweli.Ishu sio utabiri ishu ni ufahamu wako umeuweka wapi so hata nikufafanulia vipi kama huamini Muumba yupo hutokubali.
Majira zilizopita imeonyesha wazi kuwa ukiwa mnyenyekevu kwa muumba ulikuwa unaweza kuona hata miaka 2,000 mbele au nyuma kama alivyoandika Mussa kitabu cha Mwanzo na kutoka au Isaya ujio wa nabii yesu au Yohana katika kisiwa cha patmo.
Na mimi nimeomba uthibitisho kwakua najua imani sio kitu muhimu kwenye kuupata ukweli.
Imani ingekuwa ukweli basi leo hii kungekuwa na dini moja yenye kuamini Mungu mmoja tu.
Since kuna lundo la imani tena zinazopingana zenyewe kwa zenyewe hiyo inanipa tafsiri kwamba imani sio njia sahihi kujua ukweli wa jambo.
What is reality?Sasa ndoto ni reality?
Hakuna hoja za kutetea?Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Zaburi 14:1
PUNGUZENI vitisho.Usitake kuonekana mwelevu kufanya kufuru ili ufurahishe watu au kikundi fulani nakushauri usijitafutie laana kwa haya maandiko yako maana hasira ya Mungu ni kali sana tubu jiepusha na hizi kauli (acha kumfanyia kazi shetani kupotosha kondoo wa Mungu ) usipo sikia ipo siku na saa utakumbuka maandishi haya
Sasa ni vibaya kujua yuko wapi?Hamna haja yakujua aliko mungu au alitokea wapi ,ww jua yupo tu na umwabudu ,hayo mengine angetaka tujue angeacha clues