Ndio unithibitishie sasa kuwa yupo, sio unaniletea porojo za kutaka nianze kuaminiExactly ndo maana mimi siongelei imani kwa sababu kwa imani hutapata ukweli hata punje ndo mana na kwambia Muumba sio wa imani fulani wala fulani bali ni wa wale watendao kwa haki bila kujali imani maana imani ni utengano.
Kuota unafanya ngono ukaamka ume ejaculate hiyo ndio uhalisia kwamba ulikuwa unafanya ngono?What is reality?
Umeshawahi kuota unafanya ngono ukachafua boxer? How real was it?
Au ushawahi ota unakimbizwa na ukashtuka hadi jasho linakutoka? How fake was it?
Tukiweka assumption kuwa usiamke, utapima vipi kuwa ndoto unayoota haikuwa real?
Ndio unithibitishie sasa kuwa yupo, sio unaniletea porojo za kutaka nianze kuamini
Unaweza kuthibitisha?
Sio vitisho ndo ukweli halisiPUNGUZENI vitisho.
Toeni hoja = ELIMISHENI.
#YNWA
Kwa tafsiri yako wewe scars, Uhalisia ni nn?Kuota unafanya ngono ukaamka ume ejaculate hiyo ndio uhalisia kwamba ulikuwa unafanya ngono?
Jasho kutoka ndio uhalisia kwamba kweli ulichokiota kuwa unakimbizwa, ulikuwa unakimbizwa kweli?
Ingekua jambo la busara umjibu mtoa mada na si kumtisha . Kama majibu yapo mpe ili asikufuru tenaUsitake kuonekana mwelevu kufanya kufuru ili ufurahishe watu au kikundi fulani nakushauri usijitafutie laana kwa haya maandiko yako maana hasira ya Mungu ni kali sana tubu jiepusha na hizi kauli (acha kumfanyia kazi shetani kupotosha kondoo wa Mungu ) usipo sikia ipo siku na saa utakumbuka maandishi haya
Naona umeassume dini zipo mbili dunia nzima. Ndo maana we mtanzania, soma dini zote za dunia ndo urudi sawa. Anza na uyahudi ndo dini mama wa uislam na ukristoSio kweli maana hata kipindi cha Ibrahim ambapo wakristo kwa waislam wanaamini ndo Baba yao kila mtu akivutia kwake hakukuwa na DINI na Ibrahimu hakuwa na DINI.
Dini zimeanza baada ya Isaka na Ishamael kumzika baba yao Ibrahim na kila mmoja kwenda njia yake akifundishwa namna ya kuabudu na mama yake ndo ukatokea ukristo na uislam kabla ya hizi zengine zote.
Muumba wa vyote, wote na yote hana DINI.
Soma definition ya pagan, pagan ni mtu ambae anaamini dini nyingini, ndo maana wanaita pagan religions, atheist Ni mtu ambae haamini Mungu. Bongo mnamistranslate vitu, Mpagani sio mtu ambae hana dini, ni mtu ambae anaamini dini tofauti na iliyokubalikaUshawahi msikia mpagani anaogopa kwamba akifa huko aendako anaenda kuchomwa Moto na kupewa mateso yasiyovumilika ?
Baba ake Joseph ni Jacob au heli. Na mbona Kuna majina tofauti kwenye shina lake na most importantly why wanafata family tree ya Joseph wakati kazaliwa kwa Mary tu bila mbegu ya Joseph...au lazma wafate ya baba coz kipindi hicho wanawake hawakuwa supawoman?Wapi pamekuchanganya hapo. hakuna ujanga wowote hapo ni kuelimishana
Hamna mtu anaabudu hela, Kama Kuna mtu anaabudu hela basi we unaabudu njaa. Eleweni maana ya kuabudu kwanza.Hakuna ambaye haabudu chochote yaani wapagani kama wanavyoitwa,ndo maana ikaandikwa hazina ya mtu ilipo ndipo na moyo wake ulipo.
So kama unaabudu sana hela basi huyo ndo mungu wako maana hela ni Roho.
Soma inasemaje si wavivu kusoma hekaya ndefuIsaya 66:1
Kila tamaduni Ina Mungu wake. Umewajua wa kiislamu na kiyahudi kwa sababu ya utumwa na ukoloni, tungetawaliwa na wahindi tungekuwa wahindu tunaabudu masanamu. Hamna Mungu wa ukweliUsisome Kitabu (biblia) kama historia ndo maana kuna majira na wakati wa kila jambo katika Kitabu mfano, Katika 1Korintho 15:28 inasema mwana naye yaani Yesu atawekwa Chini ya Muumba wa vyote,wote na yote “Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.”
Na katika Zekaria 14:9 inasema Majira ikifika “Naye Bwana atakuwa Mfalme juu ya nchi yote; siku hiyo Bwana atakuwa mmoja, na jina lake moja.”
Lakini wengi wanaamini aliyeumba anamajina meeengiiii but hayo majina yote ni nafsi zinazojitegemea katika majira husika ilikuwa sawa.
Basi na ulimwengu hujaumbwa...ni chanzo halisi. Nipe good argument sio assumption.Ukikaa kwenye kituo cha dini sijui ukristo na uislam au dini yeyote hutamwelewa aliyeumba maana yeye hana dini wala dhehebu. Na aliyeumba yeye hajaumbwa bali yeye ndo CHANZO HALISI (Real Source) wa kila kitu.
Hiyo dini inaitwa judaism, au uyahudi. Ndo maana nakuambia upo bongo unajua dini mbili tu duniani wakati zipo zaidi ya 10000. Kila mmoja na Mungu wake na sheria zake.Biblia sio kitabu cha dini ndo maana nakiita KITABU but kupitia mabadiliko ya majira na wakati mbalimbali ikafanywa ya dini ila hata kabla ya ukristo kilikuwepo kipindi cha Mussa ambaye ndie ameandika kitabu cha MWANZO,Isaya na manabii wengi tu wakubwa.
Adam hakuwa na dini kwa sababu Adam hakuwepo. Na the story of creation katika bustani mwanaume na mwanamke na nyoka na Nini imeibwa kutoka story za zamani za dini zingine. Dini zinaibiana story, hata ya Noah hivyo hivyo.Hapo ndo wengi akili zilipoaminishwa kwamba ni DINI,Lakini hata Ibrahimu mwenyewe hakuwa na DINI wala adamu lakini utakuta kwa wakristo na waislam na dini zengine.
Hahaha acha uwoga wa maisha na uvivu wa kufikiri. Walisema mvua Ni madirisha ya mbinguni kufunguliwa, Leo hii unajua mvua Ni Nini..unajua vitu vingi havitokei kimiujiza. Swala la kutojua mwanzo lisikufanye uishi kwenye story za mababu wa kale wa jangwani ambao hawakujua Jua linaenda wapi usiku. Huyu Mungu ambaye unasema ameumba yote kaumbwa na nani...Kama una assume alikuwepo tu, then kwa Nini usiassume ulimwengu kuwepo tu...Kama unasema ulimwengu ni mkubwa unahitaji muumbaji, na huyo muumbaji atakuwa ana uwezo na akili Sana kiasi kwamba anahitaji kitu kilichomuumba pia...the cycle continues .hence infinite regress. Acha utumwa wa fikra, waliokuletea(wazungu) wametumia kukutawala na ujinga na wameendelea wameacha, Leo hii tunawaita mashetani. Hivi Leo hii mtu akufundishe kupika ili akufanye aumwe je atapika chakula hicho hicho ale? Hizi story zilikuwa Zina wakati wake, saa hivi dunia imeendelea ndo maana wenzetu wanajenga viwanda si tunajenga makanisa.Ndugu kaa na ufikiri kwa makini,hivi ulishawahi fikiri wewe kuwepo duniani nani sababu ya wewe ulivyo?wewe ulishawahi fikiri ulitoka wapi?ulishawahi tafakari huu uumbaji wa Mungu ulivyo?ndugu tafakari,usijivune mwamini na mwabudu Mungu yeye ndiye kila kitu usifanye moyo kuwa mgumu utajua siku moja
Ulimwengu wa Giza ni upi? Upo wapi? Una ushahidi Kama upo? Kama huna kwa Nini huamini tembo wanaopaa usiku Ila unaamini hayo madudeKatika ulimwengu wa giza yaani falme na mamlaka katika ulimwengu wa Roho walikuwa wanaweza kuona nyota yako miaka hata mia (100) kabla hujazaliwa na kuchukua kila kitu au kukubadilishia kusudi la kuumbwa kwako, Lakini wengi hawajui hilo.
But KITABU (biblia) kilikuwa kinatumika hasa katika ulimwengu wa giza kuweka maagano ya kumfunga mwenye haki.
We Kuna kitabu Cha shule au Cha maarifa ambacho hakijaandikwa author's name na year of publication.. ? If yes why Biblia yako haijulikani imeandikwa Lini na nani na vitabu vimeandikwa na watu tofauti vipindi tofauti, imebadilishwa Mara kwa Mara na watawala husika kwa ajili ya kutawala watu mpaka imefikia kwako. Sio kitabu kizuri hakijaandikwa vizuri na hakijasambazwa vizuri. So Kama umeamua kukubali kisa mkoloni alikufundusha ili achukue dhahabu yako sawa.Nimekuuliz nani aliyeandika.
Hiyo taarifa nani kaitaka ?
Vitabu vya mwanzo ni vya dini ya Hinduism ambayo zipo za 3000BC so kusema Biblia ni ya kwanza ni uwongo. Kulikuwa na maandiko ya dini za Persia, ugiriki, Norse, na zingine kabla ya uyahudi na ukristo. So hoja yako sio kweli. Sema ni kitabu Cha kwanza Kati ya viwili unavyoviona bongo. Usiseme uwongo.Kwanza lazima ujue KITABU kipi kilianza na lipi kusudi, pili sio kila kilichoandikwa alikusudia Muumba ndo maana nikakwambia uumbaji ulikuwa chini ya mteka so hata hao waliotumwa including Yesu ilikuwa vivyo hivyo ndo maana haikuwa rahisi kwa mwenye haki kutenda haki au kusema kweli akasalimika kutokana na maagano mengi yalikuwa yamewafunga tangu hapo kwanza.
Hata Yesu aliulizwa na Pilato KWELI ni nini na hakuweza kujibu kwa wakati ule sababu kweli ilikuwa bado imefichwa gizani.
Ndo maana Kuna watu wanatokewa na Jua na bikira Mariam chumbani.Illusion
Ubongo sio wa kuaminika mara zote, unaweza kukupa fake informations ambazo zinapingana na reality