Mungu Yuko wapi?

Mungu Yuko wapi?

Hata ukiletewa authenticity utabisha ndo mana watu ni rahisi kwenda kwa mganga tofauti na aliyemuumba kwa jinsi akili na ufahamu ulivyokuwa programmed toka anakuwa.
Mganga nae Hana tofauti na mchungaji, wote wanatumia uongo kukutapeli.
 
Ishu sio utabiri ishu ni ufahamu wako umeuweka wapi so hata nikufafanulia vipi kama huamini Muumba yupo hutokubali.

Majira zilizopita imeonyesha wazi kuwa ukiwa mnyenyekevu kwa muumba ulikuwa unaweza kuona hata miaka 2,000 mbele au nyuma kama alivyoandika Mussa kitabu cha Mwanzo na kutoka au Isaya ujio wa nabii yesu au Yohana katika kisiwa cha patmo.
So unaamini Kuna dragon atakuja kupiga nyota angani na mkia wake alafu zitaanguka Kama mawe.
 
Exactly ndo maana mimi siongelei imani kwa sababu kwa imani hutapata ukweli hata punje ndo mana na kwambia Muumba sio wa imani fulani wala fulani bali ni wa wale watendao kwa haki bila kujali imani maana imani ni utengano.
We umeamua kuchagua Biblia out of all books in the world kuhusu Mungu. Why? Nipe sababu nje ya ukoloni, kuzaliwa katika ukristo, kudanganya na mchungaji mponyaji, etc. Why umechagua Biblia umeacha zingine. Kama ishu Ni ya kwanza sio kweli Kuna dini zenye maandiko kabla ya Biblia, so nipe sababu ya msingi
 
Unataka uthibitisho gani labda, maana kutaka uthibitisho kuna mawili moja kukubaliana na kweli mbili kupinga ili uonekane unahoja.

Shetani wengi wanajua yupo lakini haonekani kwamacho ila kupitia matendo ya mtu utajua, Je unafikiri Muumba anaonekana kwa macho kwa akilizako tu za kawaida!???
Shetani ni wewe na Mungu Ni wewe. Coz hata kwenye Biblia yako hamna kosa ambalo shetani kafanya, hamna sheria ambayo kavunja, Mungu kaua watu million huko shetani kauwa 10 tu na kwa ruhusa ya Mungu.
 
Biblia inasema kwamba mpende adui yako

Je hilo wakristo mnalitekeleza?

Naanza na wewe kukuuliza, je unalitekeleza hilo andiko?
Ndiyo, huwa nachukulia adui yangu ndiye huniongezea hali ya kujibidiisha zaidi, kimawazo na kiutendaji.

Napenda sana kuwasamehe ili siku moja waone wema wa Muumba juu yangu
 
Baba ake Joseph ni Jacob au heli. Na mbona Kuna majina tofauti kwenye shina lake na most importantly why wanafata family tree ya Joseph wakati kazaliwa kwa Mary tu bila mbegu ya Joseph...au lazma wafate ya baba coz kipindi hicho wanawake hawakuwa supawoman?
Tatizo unauliza swali na kujijibu, ila nadhani unaelewa unachouliza.
 
We Kuna kitabu Cha shule au Cha maarifa ambacho hakijaandikwa author's name na year of publication.. ? If yes why Biblia yako haijulikani imeandikwa Lini na nani na vitabu vimeandikwa na watu tofauti vipindi tofauti, imebadilishwa Mara kwa Mara na watawala husika kwa ajili ya kutawala watu mpaka imefikia kwako. Sio kitabu kizuri hakijaandikwa vizuri na hakijasambazwa vizuri. So Kama umeamua kukubali kisa mkoloni alikufundusha ili achukue dhahabu yako sawa.
Ujuaji mwingi braza.
Hivyo vitabu vya shule vilivyo andika una uhakika hao ndio wamiliki halali wa concepts na precepts hizo ndani ya hivyo vitabu.
Vitabu unavyoviona uandishi wake hauna tofauti mana uandishi mmoja vyanzo vya taarifa tofauti... Hujaliona hilo ?
 
Unamuabudu kakuambia umuabudu au mwarabu/myahudi/mrumi kakuambia umuabudu ili achukue hela zako na aendeshe maisha yako na anatumia story za Mungu Kama kivuli na kukuambia usiulize maswali utaunguzwa na we unakubali ka mtoto muoga
systems za dunia zilivo zinaonyesha kuwa yupo architect mkuu(mungu) , jua inachomoza inatua in perfect order, the air , life zote hizi ni ishara ya kuwepo kwake mungu,sihitaji mwarabu au myahudi kunidhihirishia bali ni imani yangu
 
Unataka uthibitisho gani labda, maana kutaka uthibitisho kuna mawili moja kukubaliana na kweli mbili kupinga ili uonekane unahoja.

Shetani wengi wanajua yupo lakini haonekani kwamacho ila kupitia matendo ya mtu utajua, Je unafikiri Muumba anaonekana kwa macho kwa akilizako tu za kawaida!???
Kukubaliana ni hatua ya mbele inayofuata baada ya kupewa uthibitisho

Huwezi kutanguliza kukubaliana kuanze kabla hatujaona huo uthibitisho

Thibitisha Mungu yupo
 
Ndiyo, huwa nachukulia adui yangu ndiye huniongezea hali ya kujibidiisha zaidi, kimawazo na kiutendaji.

Napenda sana kuwasamehe ili siku moja waone wema wa Muumba juu yangu
Kwa hiyo maadui zako unawapenda?
 
Hivi huu msimamo wa kwamba "hakuna Mungu" umejengwa kwenye msingi gani? Yani kipi kinabeba huu msimamo na kufanya kuwa ni uhakika kuwa Munguni hayupo tu na si vinginevyo?
 
Kukubaliana ni hatua ya mbele inayofuata baada ya kupewa uthibitisho

Huwezi kutanguliza kukubaliana kuanze kabla hatujaona huo uthibitisho

Thibitisha Mungu yupo
Unataka uthibitishiwe kuwa yupo wapi?
 
Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.

Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia, baadae vijana wakajitoa akili kwenda wakaona wazee ni waongo na hamna kitu mule. Wagiriki wakaja na miungu yao wakasema ipo ya milima ya Olympus, Leo hii watu wamepanda milima yote ugiriki hawajaona miungu hio.

Wakaja wayahudi, wakasema Mungu yupo mawinguni. Ukifuatilia hata Yesu alipaa mawinguni, Mungu alifungua madirisha ya mbinguni kuleta mafuriko, alichungulia kutoka mawinguni kwenye mnara wa babel, etc. Waislamu nao wakaja na mbingu Saba sijui. Anyways wazungu wametengeneza ndege na rocket zimeenda mawinguni, nje ya dunia, mpaka mwezini. Sasa hivi watu wa dini wanasema yupo nje ya ulimwengu.

So nikagundua trend, wanamficha, wanamweka mbali ili watu wasiweze kumfikia, why? Kwa sababu hayupo? Kwa sababu hajasema hizo sheria? Why wanamficha. Afu wanakuambia anataka uamini yupo ndo utapona usipoamini unaunguzwa. Ukiuliza nikimwona afu nikamwamini, anasema no, lazma usimwone ndo uamini. Na wanaweka kifo mwisho wa kumuani ili waweze kuendelea kutunga sheria kwa jina lake na kuweza kuendelea kutawala watu kwa sababu hamna mtu Ashawahi kurudi akasema baada ya kifo kipo hivi.

Mwanasayansi mi nauliza Mbinguni Kuna Nini. Hamna njaa hamna maumivu hamna ndoa hamna chochote zaidi ya kumuabudu Mungu. Watu kanisani na msikitini hawapendi kwenda unategemea watapenda milele ya Ibada. So wakaamua kuanzisha motoni kutishia watu kwamba wataunguzwa milele. Sasa, ukifa unaacha mwili wako hapa, wanasema una roho, roho ni Nini, hoo mawazo sijui pumzi, ukiuliza unajua kazi ya ubongo ni Nini mtu hajui, haya tufanye roho ni ka upepo kanaenda motoni ehe kanaunguaje, hakana nyama, hakana nervous system hakana ngozi, hakana pain receptors, hakana ubongo au spinal cord, maumivu unayasikiaje, na bado hatujauliza huu Moto upo wapi, walisemaga chini kisa mavolcano lakini now hawasemi Tena coz of elimu.

Tukienda kwenye sheria zenyewe sijui usivae nguo tofauti, usile shellfish, usichanganye mazao, usimwage nje, usiabudu sanamu lakini abudu kitu Cha kufikiriwa na myahudi, hivi kwa Nini mtu atengeneze nyota billion 60 na sayari trillion afu aje kujali binadamu wewe ambae ni Kama vumbi kwa huu ulimwengu unamwaga wapi. Na kwa Nini sheria hizi zinaonekana Kama sheria za kabila ya la zamani huko kwenye majangwa na haziendani na sheria za binadamu kuishi na watu vizuri. Na Wanavyosema tumuabudu siku ya Saba.

Siku zimekuja kutengenezewa baadae Sana na zimebadilika badilika Mara kwa Mara katika historia ya Mayans na Romans. Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku wote mnabidi mgundue kuwa binadamu walitengeneza miungu ili kujibu maswali magumu yasiyojibika kipindi kile na ku
Nitakujibu kulingana na kitabu cha mwanzo
Mwanzo 1-2:3
Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.

Mungu ni roho fulani ambayo ilitokea majini kulingana na andiko ilo Wanakuambia Maji yalikuwepo kabla ya Mungu
Alicho kifanya roho hiyo akatenganisha Maji Yale katikati kukapatikana anga
 
Ukweli ni kwamba, hakuna mtu anayeelewa Biblia wala qurani,

Ni vitabu ambavyoo kwa kweli siyo mantiki tu hata sarufi kama hazijatulia hvi.

Ila kwavile unavipenda na kuviamini tangu utotoni, ni kama Music tu, usipoelewa unatembea na beat
 
Naona umeassume dini zipo mbili dunia nzima. Ndo maana we mtanzania, soma dini zote za dunia ndo urudi sawa. Anza na uyahudi ndo dini mama wa uislam na ukristo

Sijaassume zipo mbili najua zipo nyingi sana nmetaja izo kwakuw ndo zinajulikana na wengi.
 
Back
Top Bottom