Stunnaman008
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 238
- 272
Tatizo akili zako hazipo na sina evidence kama zipo so huna akiliSkia ukiwa na nia ya kuelewa utaniambia.
Ukiwa na akili nambie siwezi ongea na mtu aliekuwa hana maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo akili zako hazipo na sina evidence kama zipo so huna akiliSkia ukiwa na nia ya kuelewa utaniambia.
Sawa tembea.Tatizo akili zako hazipo na sina evidence kama zipo so huna akili
Ukiwa na akili nambie siwezi ongea na mtu aliekuwa hana maisha
Ulikutana na kibano? Nami nilikuwa hivyo, sasa mtu hanidanganyi wala haniambii kitu kuhusu Mungu.hahaha ,mkuu umenishinda tabia sasa, je una amini majini na wachawi wapo? mi nilikuwa mbishi kama wewe ila sasaivi nimekuwa mpole naomba unijibu swali hilo tafadhali.
Ila wewe bhna [emoji16][emoji16]Hope sio sawa na faith. Kiswahili ni lugha pungufu imefanya neno liwe moja. Hope ni kutamani kitu fulani litokee...Imani ni kuamini kitu bila udhibitisho... Kuna uthibitisho mkubwa kuwa mtu akilala anaamka, lakini hamna uthibitisho wa Mungu kuwepo
Nan kakuambia kuamini kitu lazima kiwe na evidence?Sina evidence ya kuamini yupo
Kwahyo mkuu hauamini Mungu au biblia? Au nimedandia gar kwa mbele!!Hahaha kmk[emoji1787]nani Hana ubongo afu kaishi...[emoji28]afu si watu wazima sawa.
Siamini kwa sababu wamejitamkia, kwamba kitabu chao ndo Cha kweli na wanatumia vitisho ili watu waamini, [emoji1787]daktari au serikali haikuambii utaungua usipoamini hiki cheti na watu wengi wanaamini, ukienda kuomba kazi unaenda na cheti Cha ufaulu na Cha kuzaliwa kwenye institution zingine, Biblia Ina makosa lakini haikubali Ina makosa, cheti Cha kuzaliwa chenye makosa kinabadilishwa Ila vitabu vyenu vya hekaya za mababu ndo mnasema Mungu ndo anataka tuishi hivyo Mungu anataka tuwe na watumwa, tuwatreat wanawake Kama ng'ombe, tuwapige watu mawe Kama mbwa afu ndo kitabu Cha Mungu mpendwa wote ..[emoji28]it shows kimeandikwa na wazee wasio na maarifa juu ya umuhimu wa binadamu na maisha duniani ndo maana wanawaza kufa kufa na pepo pepo tu ambalo halipo
Kwa hoja yako ninaweza kusema bado wao wanaweza kukuambia kuwa ndioo mana waliletewa wao hizo dini ili wapone ,na ndo ndio maana hizo za akina James hazikuwafikia.Mungu angetaka watu wamwamini angewatokea watu wote at the same way. Sio huyu kaona hiki huyu kaambiwa hiki huyu sijui kaambiwa lugha hii... Sio kosa langu kutoamini. We unafata mkumbo coz we huamini Krishna au Zeus au kina James Smith unaamini particular Allah au Yahweh coz ndo dini ulizoletewa na wakoloni wako, usingeletewa ungeabudu miungu ya kabila lako na ungesema una uhakika nao wapo...na kila mtu wa kila dini anasema ana uhakika mungu wake yupo, anaongea nae, anajibu maombi, anafanya wepesi...[emoji1787]Sasa Mungu wako wangapi.... We mwenye uhakika mlete hapa tumwone
Navyoishi mimiNan kakuambia kuamini kitu lazima kiwe na evidence?
Siamini vyote ambavyo havina uthibitisho Kama una uthibitisho uleteKwahyo mkuu hauamini Mungu au biblia? Au nimedandia gar kwa mbele!!
Ni swala la nani kakutawala...Egypt walikuwa Wana dini zao waarabu wakawaletea uislamu, waafrika walikuwa na dini zao wazungu wakawaletea ukristo. Kama Mungu yupo kila mahali mbona alisubiri mpaka miaka ya CE awatokee watu wa jamii moja jangwani afu dunia nzima iamini kuwa ndo Mungu. Why asingetokea Moshi New York Australia atokee tu Judea. It means either wamemtengeneza wao au Mungu hayupo sehemu zoteKwa hoja yako ninaweza kusema bado wao wanaweza kukuambia kuwa ndioo mana waliletewa wao hizo dini ili wapone ,na ndo ndio maana hizo za akina James hazikuwafikia.
Mungu ni stori zilizotungwa tu. Infact kuna stori nyingi sana mfano soma ancient egyptian creation myths, kintu myths (bugandan), mande creation myths, unkululu, yoruba creation myth, serei creation myths, ngai( kamba, kikuyu, masai) kaang creation myths (bushmen)Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.
Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi...
Sasa biblia haina uthibitsho vipi? Au ulitaka uiandike wewe ?Siamini vyote ambavyo havina uthibitisho Kama una uthibitisho ulete