Mungu yupo, fikiria kuhusu mambo haya, usiseme hakuna ushahidi

Mungu yupo, fikiria kuhusu mambo haya, usiseme hakuna ushahidi

Sayari hazizunguki dunia kama ulivyosema,sayari yetu(dunia) ni moja kati ya sayari ndogo kwenye Milk way galaxy achilia mbali ulimwengu wote.

Kuitoa Dunia kwenye ulimwengu ni sawa na kutoa punje moja ya mchanga ufukweni.

Halafu theory ya asili ya ulimwengu inaitwa Big Bang sio Big Bum.

Kuhusu hoja yako kuu ya uwepo wa Mungu nakubaliana na wewe katika imani kwamba Mungu yupo japo siwezi kuthibitisha.
Kujadiliana na mtu anayefikiri kuwa sayari zinazunguka dunia mpaka leo inataka moyo sana.

Yani mtu hajafika hata kwa Copernicus, Galileo, Bruno na Tycho Brahe mpaka leo, anaishi miaka angalau 500 iliyopita.

Nikikutana nanwatu hawa, kabla ya kujibu huwa nafikiria sana, najiuliza, huyu unaanza vipi kumuelimisha?

Hongera kwa ufafanuzi.
 
Jambo
Kujadiliana na mtu anayefikiri kuwa sayari zinazunguka dunia mpaka leo inataka moyo sana.

Yani mtu hajafika hata kwa Copernicus, Galileo, Bruno na Tycho Brahe mpaka leo, anaishi miaka angalau 500 iliyopita.

Nikikutana nanwatu hawa, kabla ya kujibu huwa nafikiria sana, najiuliza, huyu unaanza vipi kumuelimisha?

Hongera kwa ufafanuzi.

Kujadiliana na mtu anayefikiri kuwa sayari zinazunguka dunia mpaka leo inataka moyo sana.

Yani mtu hajafika hata kwa Copernicus, Galileo, Bruno na Tycho Brahe mpaka leo, anaishi miaka angalau 500 iliyopita.

Nikikutana nanwatu hawa, kabla ya kujibu huwa nafikiria sana, najiuliza, huyu unaanza vipi kumuelimisha?

Hongera kwa ufafanuzi.
Jambo dogo Hilo mkuu ni makosa madogo tu ya kiuandishi.
 
Kama nilivyokwisha elezea hapo juu, nadhani maelezo hayo yanajitosheleza labda swali lako lijikite kwenye moja ya proof zangu hizo
Juu wapi? Umeeleza nini?

Ukisema umeelezea hapo juu, weka na post namba tuhakiki juu wapi umesema nini.

Posts zimewekewa namba kwa sababu. Tumia namna. Usibumbebumbe tu kuandika "hapo juu".

Vinginevyo usipoweka namba ya post unaweza kudanganya tu na kuandika "kama nilivyokwisha eleza hapo juu" wakati hujaeleza popote.
 
Stop this shit na upreach namna watu wataulithi huo ufalme hubili agizo kuu kama unahitaji kwel watu waelewe unaongelea nn. Imeisha io[emoji56]
 
Juu wapi? Umeeleza nini?

Ukisema umeelezea hapo juu, weka na post namba tuhakiki juu wapi umesema nini.

Posts zimewekewa namba kwa sababu. Tumia namna. Usibumbebumbe tu kuandika "hapo juu".

Vinginevyo usipoweka namba ya post unaweza kudanganya tu na kuandika "kama nilivyokwisha eleza hapo juu" wakati hujaeleza popote.
thread 'mungu yupo, fikiria kuhusu mambo haya, usiseme hakuna ushahidi' Mungu yupo, fikiria kuhusu mambo haya, usiseme hakuna ushahidi
 
Stop this shit na upreach namna watu wataulithi huo ufalme hubili agizo kuu kama unahitaji kwel watu waelewe unaongelea nn. Imeisha io[emoji56]
tunawahakikishia kwanza Mungu yupo ndio tuwa preach, huwezi kumwambia mtu kuhusu ufalme wa Mungu ilihari hata Mungu mwenyewe hamuamini
 
Mkuu kama hata hufahamu na maana ya Mungu , sidhani Kama hata unahitaji kuthibitishiwa Kuwa Kuna Mungu. Wewe endelea tu kukaza fuvu ukijifanya huelewi.
Kwani mtu akiuliza swali maana yake hananufahamu wa hicho kitu?

Unafahamu Socratic Method ni nini?
 
Wanasayansi mabingwa hukiri waziwazi kuwa Mungu yupo......Sasa nashangaa mtu hata u Dr.wa kubambikwa huna na una kufuru waziwazi.....ipo siku utapata utulivu ukiwa peke yako...utakubali kwamba Mungu yupo.TRUST ME.
 
Kwani mtu akiuliza swali maana yake hananufahamu wa hicho kitu?

Unafahamu Socratic Method ni nini?
wewe utaulizaje swali la jibu unalolifahamu , Mimi Nina uhakika unafahamu Mungu ni nani, na unaelewa kabisa hata proofs zake Ila unauliza tu bila sababu ya msingi , Kama umeisoma thread yangu me naona nimecover Kila kitu ambacho ungehitaji kufahamu Sasa wewe umeisoma title tu ya uzi uka comment au umeisoma hujaelewa.
 
Watoto huwa tunawafundisha upepo upo ingawa hauonekani......mtoto mkubwa tunamfundisha juu ya umeme kwamba upo ingawa hauonekani....Sasa kwa mtu mzima.... ili ujue Mungu yupo....lazima tupime kwanza akili yako.ie. Dimensia na bipolar kisha tukupime tezi dume kwa njia ya haja kubwa. 🤑
 
wewe utaulizaje swali la jibu unalolifahamu , Mimi Nina uhakika unafahamu Mungu ni nani, na unaelewa kabisa hata proofs zake Ila unauliza tu bila sababu ya msingi , Kama umeisoma thread yangu me naona nimecover Kila kitu ambacho ungehitaji kufahamu Sasa wewe umeisoma title tu ya uzi uka comment au umeisoma hujaelewa.
Unafahamu Socratic Method ni nini?

Hujajibu swali hili.

It is entirely possible you do not posses the tools for this discussion.
 
Back
Top Bottom