hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
- Thread starter
-
- #21
Shida ni kwamba waafrika tunabishi bila research yoyote hebu jaribu kufatilia yaani ulifanyie kazi hili Kisha uje na majibu , Sasa wewe hata kutafiti hutaki na unakataa tuHizo ni hadithi tu za alinacha. Hakuna kitu kama hicho.
Kujadiliana na mtu anayefikiri kuwa sayari zinazunguka dunia mpaka leo inataka moyo sana.Sayari hazizunguki dunia kama ulivyosema,sayari yetu(dunia) ni moja kati ya sayari ndogo kwenye Milk way galaxy achilia mbali ulimwengu wote.
Kuitoa Dunia kwenye ulimwengu ni sawa na kutoa punje moja ya mchanga ufukweni.
Halafu theory ya asili ya ulimwengu inaitwa Big Bang sio Big Bum.
Kuhusu hoja yako kuu ya uwepo wa Mungu nakubaliana na wewe katika imani kwamba Mungu yupo japo siwezi kuthibitisha.
Kujadiliana na mtu anayefikiri kuwa sayari zinazunguka dunia mpaka leo inataka moyo sana.
Yani mtu hajafika hata kwa Copernicus, Galileo, Bruno na Tycho Brahe mpaka leo, anaishi miaka angalau 500 iliyopita.
Nikikutana nanwatu hawa, kabla ya kujibu huwa nafikiria sana, najiuliza, huyu unaanza vipi kumuelimisha?
Hongera kwa ufafanuzi.
Jambo dogo Hilo mkuu ni makosa madogo tu ya kiuandishi.Kujadiliana na mtu anayefikiri kuwa sayari zinazunguka dunia mpaka leo inataka moyo sana.
Yani mtu hajafika hata kwa Copernicus, Galileo, Bruno na Tycho Brahe mpaka leo, anaishi miaka angalau 500 iliyopita.
Nikikutana nanwatu hawa, kabla ya kujibu huwa nafikiria sana, najiuliza, huyu unaanza vipi kumuelimisha?
Hongera kwa ufafanuzi.
Hapana, si jambo dogo wala si kosa la uandishi.Jambo
Jambo dogo Hilo mkuu ni makosa madogo tu ya kiuandishi.
ndo hivo mkuu. Wala sikumaanisha kabisaHapana, si jambo dogo wala si kosa la uandishi.
Unathibitishaje Mungu yupo?ndo hivo mkuu. Wala sikumaanisha kabisa
Kama nilivyokwisha elezea hapo juu, nadhani maelezo hayo yanajitosheleza labda swali lako lijikite kwenye moja ya proof zangu hizoUnathibitishaje Mungu yupo?
Juu wapi? Umeeleza nini?Kama nilivyokwisha elezea hapo juu, nadhani maelezo hayo yanajitosheleza labda swali lako lijikite kwenye moja ya proof zangu hizo
thread 'mungu yupo, fikiria kuhusu mambo haya, usiseme hakuna ushahidi' Mungu yupo, fikiria kuhusu mambo haya, usiseme hakuna ushahidiJuu wapi? Umeeleza nini?
Ukisema umeelezea hapo juu, weka na post namba tuhakiki juu wapi umesema nini.
Posts zimewekewa namba kwa sababu. Tumia namna. Usibumbebumbe tu kuandika "hapo juu".
Vinginevyo usipoweka namba ya post unaweza kudanganya tu na kuandika "kama nilivyokwisha eleza hapo juu" wakati hujaeleza popote.
tunawahakikishia kwanza Mungu yupo ndio tuwa preach, huwezi kumwambia mtu kuhusu ufalme wa Mungu ilihari hata Mungu mwenyewe hamuaminiStop this shit na upreach namna watu wataulithi huo ufalme hubili agizo kuu kama unahitaji kwel watu waelewe unaongelea nn. Imeisha io[emoji56]
Hii ni thread, post gani katika thread? Post namba ngapi?thread 'mungu yupo, fikiria kuhusu mambo haya, usiseme hakuna ushahidi' Mungu yupo, fikiria kuhusu mambo haya, usiseme hakuna ushahidi
Mungu ni nini?tunawahakikishia kwanza Mungu yupo ndio tuwa preach, huwezi kumwambia mtu kuhusu ufalme wa Mungu ilihari hata Mungu mwenyewe hamuamini
Mungu ni nini?
Thibitisha Mungu yupi
Mkuu kama hata hufahamu na maana ya Mungu , sidhani Kama hata unahitaji kuthibitishiwa Kuwa Kuna Mungu. Wewe endelea tu kukaza fuvu ukijifanya huelewi.Mungu ni nini?
Thibitisha Mungu yupo.
Kwani mtu akiuliza swali maana yake hananufahamu wa hicho kitu?Mkuu kama hata hufahamu na maana ya Mungu , sidhani Kama hata unahitaji kuthibitishiwa Kuwa Kuna Mungu. Wewe endelea tu kukaza fuvu ukijifanya huelewi.
wewe utaulizaje swali la jibu unalolifahamu , Mimi Nina uhakika unafahamu Mungu ni nani, na unaelewa kabisa hata proofs zake Ila unauliza tu bila sababu ya msingi , Kama umeisoma thread yangu me naona nimecover Kila kitu ambacho ungehitaji kufahamu Sasa wewe umeisoma title tu ya uzi uka comment au umeisoma hujaelewa.Kwani mtu akiuliza swali maana yake hananufahamu wa hicho kitu?
Unafahamu Socratic Method ni nini?
Unafahamu Socratic Method ni nini?wewe utaulizaje swali la jibu unalolifahamu , Mimi Nina uhakika unafahamu Mungu ni nani, na unaelewa kabisa hata proofs zake Ila unauliza tu bila sababu ya msingi , Kama umeisoma thread yangu me naona nimecover Kila kitu ambacho ungehitaji kufahamu Sasa wewe umeisoma title tu ya uzi uka comment au umeisoma hujaelewa.